DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
We zuzu unadhan nan alimpa 30k za AbortionJiweke kwenye nafasi yangu
Ujibu serious mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We zuzu unadhan nan alimpa 30k za AbortionJiweke kwenye nafasi yangu
Ujibu serious mkuu
Nitajie wapi alifanyia field yakeWe zuzu unadhan nan alimpa 30k za Abortion
huyu mwanamke hakutaki kwaiyo tumia akili anza kufikiri maumivu utakayopata kwa kulazimisha penzi au umuache ukubali ili kuponya moyo wakoAkili imegota mpaka nimekuja hapa
Help me.
Yule demu wako ungejua tulivyokuwa tunamgeuza km chapatiNitajie wapi alifanyia field yake
Maamuzi yapo kwako.lakini ushapewa jibu.Akili imegota mpaka nimekuja hapa
Help me.
Nashukuru mno kwa huu ushaurihuyo hata ukimsamehe bado atarudia tu mana ndo tabia yake
hata ukija kumuoa awe mke wako bado atachepukua tu
kakuonesha rangi yake halis mapema mno...shukuru Mungu, mwache aende
wanawake wapo wengi
Nothing defeats time. Ni ngumu kuacha lakini baada ya miezi kadhaa utakua poa. Tena utashangaa makosa ambayo ungeingia. Just cut contact. Focus on you. You'll heal. I have beem there. Hadi sasa najiona fala kwa kumbembeleza mwanamke. Plenty of fish in the sea. Mapenzi yanalewesha hadi unaona hakuna mwingine. Lakini utampata mwingine. Yeye ndo atapata taabu. Stay calm. Contact me for more help.Aiseee
I need psychological counseling
Coz nikimsamehe atafanya Tena na hivi alivyoonesha kunichoka
Kumuacha ndo mtihani mwingine.
Achana naye fasta.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Ni ngumu sana kuelewa mwanamke anataka nini, lkn ni rahisi kujua moyo wako unataka nini.Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Nani alikwambia mwanamke huwa anampenda mwanamme?Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.