Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What do you mean?Nigga where you at?
Piga chini haraka........Habari
Ni kijana 25-27 years
Nina mpenzi Yuko chuo anamalizia mwaka wake wa mwisho.
Ninampenda na yeye alinipenda( kwa Sasa sijui make simuelewi elewi)
mpaka nikapanga akimaliza tu masomo yake nipeleke mahari kwao niishi nae.
Uhusiano wetu umedumu kwa mwaka mmoja Sasa.
Kuna taarifa mbaya nilizipata juu yake kuwa wakati akiwa likizo kwenye mafunzo ya vitendo, aliingia mapenzini na mtu mwingine mpaka akapata ujauzito then akauchomoa.
Chuo kimefunguliwa nikamtembelea nikawa nimepewa taarifa na mtu wake wa karibu kuhusu kilichotokea.
Nilimuuliza ila Cha kushangaza hakuonesha kushtuka kwanza aliniuliza Kama napenda kuambiwa ukweli au kudanganywa Kisha akasema nilichokisikia Ni ukweli na kuwa Yale yalishapita hivyo vyovyote nitakavyomchukulia Ni sawa tu.
Niko njiapanda sielewi nimuache vipi coz nampenda Sana
Na anachokionyesha Ni kuwa Yuko tayali kwa maamuzi yangu yoyote.
Mara ananimbia tuachane kisa amefikiria siwezi kumsamehe kwa alichokifanya.
Nifanyeje?
Asanteni.
Huwa nakua makini mno na michango ya member wakongweMtongoze rafiki yake aliokupa umbeya awe demu wako
Muhimu sana mkuu! Fanya hivyo.Huwa nakua makini mno na michango ya member wakongwe
Asante bro
For sure alinishika nikashikikaEti unampenda sana. Ujinga ni Karama
Nimemzoea mnoMtu anakuambia ni kweli nilicheat.
Ni kweli nilipata mimba.
Ni kweli nilitoa.
Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.
Usingeipata je?
Na anasema yupo tayari kwa lolote.
Na bado hauna nguvu ya kumove on.
😂😂😂😂😂😂ety hajui[emoji23][emoji23][emoji23], seriously hujui ufanye Nini..?
Huyu Nigga mnyonge sana hajui kutongoza wanawake wengine!!?Mtu anakuambia ni kweli nilicheat.
Ni kweli nilipata mimba.
Ni kweli nilitoa.
Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.
Usingeipata je?
Na anasema yupo tayari kwa lolote.
Na bado hauna nguvu ya kumove on.
Ugonjwa wa kupenda ni mmbayaMtu anakuambia ni kweli nilicheat.
Ni kweli nilipata mimba.
Ni kweli nilitoa.
Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.
Usingeipata je?
Na anasema yupo tayari kwa lolote.
Na bado hauna nguvu ya kumove on.
Mwezi wa kufunga mwaka huu lazma watu wamwagane mwaka mpya na mambo mapya😅Nyuzi za kusalitiana huu mwezi zimekua nyingi sana !!
Hiki ndio nimemshauri ili kupunguza impact bora awe na huyu rafiki yake apooze rejeta kidogo maana kupigwa na kitu kizito ukiwa huna uzoefu unaweza ukabugia sumu😅Mbona majibu yako wazi? Ni ngumu sana ila jitahidi utaweza! Utaumia kwa muda ila wanawake wako wengi, mchukue hata Rafiki yake acha ujinga.....au huyo aliyekupa huo umbea pita nae huyo huyo
Siku chache tu atarudi kwako kwa machozi akiomba msamaha
Thats not trueHuyu Nigga mnyonge sana hajui kutongoza wanawake wengine!!?
Ku move on ni kama kuacha kazi ya mshahara wa 10M kwa mwezi😅 kisha uende kuwa jobless au mlinzi wa geti kama mmasai!Mapenzi ya kifala kweli ushafunguliwa dots zote bado huelewi mzee wa kazi kweli kupenda matatizo sana
Acha ufala kwanzia sasa piga chini na usimwambie wala nn yani mpotesee tu mazima kata mawasiliano cold turkey
Tena mnamalizikiaWanaume tunazidi kuisha umeambiwa sasa hapa unataka nn
AiseeKu move on ni kama kuacha kazi ya mshahara wa 10M kwa mwezi[emoji28] kisha uende kuwa jobless au mlinzi wa geti kama mmasai!
Ni ngumu sana jamani tumuonee huruma kijana wetu bado mchanga kwenye game. Akifuzu hapo atatunukiwa shahada ya heshima yani honors. Bachelor in Relationship Management
Hahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahhahahahahhaah we ni boya😅Ni kosa sana kwa mwanaume kuwa na Mpenzi mmoja yani ungekuwa na wawili au ziadi wala usingejiuliza mara mbili ungepiga chini maisha yanasonga sasa ww inaonekana huna backup ni sawa umeme umekatika na huna Generator kichokuogopesha ni giza baada ya umeme kukatika
Hana haja yakuwaumiza watu wasio na hatia ili kupona maradh yake ya moyo nikukubali ukwel kuwa ameachwa na afute Namba za huyo mwanamke kila sehem.Mbona majibu yako wazi? Ni ngumu sana ila jitahidi utaweza! Utaumia kwa muda ila wanawake wako wengi, mchukue hata Rafiki yake acha ujinga.....au huyo aliyekupa huo umbea pita nae huyo huyo
Siku chache tu atarudi kwako kwa machozi akiomba msamaha
[emoji3][emoji3]Hahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahhahahahahhaah we ni boya[emoji28]