Uhusiano wangu na mwanamke wangu kipenzi umeingia doa, muda wowote nitakipoteza nilichokipenda kwa moyo wote

Piga chini haraka........
mauwa yapo mengi
 
Mtu anakuambia ni kweli nilicheat.

Ni kweli nilipata mimba.

Ni kweli nilitoa.

Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.

Usingeipata je?

Na anasema yupo tayari kwa lolote.

Na bado hauna nguvu ya kumove on.
Nimemzoea mno
Daah!
 
Mtu anakuambia ni kweli nilicheat.

Ni kweli nilipata mimba.

Ni kweli nilitoa.

Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.

Usingeipata je?

Na anasema yupo tayari kwa lolote.

Na bado hauna nguvu ya kumove on.
Huyu Nigga mnyonge sana hajui kutongoza wanawake wengine!!?
 
Mtu anakuambia ni kweli nilicheat.

Ni kweli nilipata mimba.

Ni kweli nilitoa.

Na taarifa umeipata kwa mtu wa kando.

Usingeipata je?

Na anasema yupo tayari kwa lolote.

Na bado hauna nguvu ya kumove on.
Ugonjwa wa kupenda ni mmbaya
 
Mbona majibu yako wazi? Ni ngumu sana ila jitahidi utaweza! Utaumia kwa muda ila wanawake wako wengi, mchukue hata Rafiki yake acha ujinga.....au huyo aliyekupa huo umbea pita nae huyo huyo


Siku chache tu atarudi kwako kwa machozi akiomba msamaha
Hiki ndio nimemshauri ili kupunguza impact bora awe na huyu rafiki yake apooze rejeta kidogo maana kupigwa na kitu kizito ukiwa huna uzoefu unaweza ukabugia sumu😅
 
Mapenzi ya kifala kweli ushafunguliwa dots zote bado huelewi mzee wa kazi kweli kupenda matatizo sana

Acha ufala kwanzia sasa piga chini na usimwambie wala nn yani mpotesee tu mazima kata mawasiliano cold turkey
Ku move on ni kama kuacha kazi ya mshahara wa 10M kwa mwezi😅 kisha uende kuwa jobless au mlinzi wa geti kama mmasai!

Ni ngumu sana jamani tumuonee huruma kijana wetu bado mchanga kwenye game. Akifuzu hapo atatunukiwa shahada ya heshima yani honors. Bachelor in Relationship Management
 
Aisee
 
Hahahahahhahahahahahahahahhahahahahahahhahahahahhaah we ni boya😅
 
Mbona majibu yako wazi? Ni ngumu sana ila jitahidi utaweza! Utaumia kwa muda ila wanawake wako wengi, mchukue hata Rafiki yake acha ujinga.....au huyo aliyekupa huo umbea pita nae huyo huyo


Siku chache tu atarudi kwako kwa machozi akiomba msamaha
Hana haja yakuwaumiza watu wasio na hatia ili kupona maradh yake ya moyo nikukubali ukwel kuwa ameachwa na afute Namba za huyo mwanamke kila sehem.
Asikate tamaa wapo bado wanawake wema wanaish na asiwachukie wanawake wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…