Uhusiano wangu na mwanamke wangu kipenzi umeingia doa, muda wowote nitakipoteza nilichokipenda kwa moyo wote

Nasikitika kuona idadi ya wanaume inazidi kupungua kila kukicha, sasa unataka kupewa ushaur gan wewe mvulana na jibu unalo mwenyewe
 
Yaani focus yako ni kuhakikisha hakosi mzigo kwa huyo manzi....mtu mbad
 
Timua mbio, usipifanya hivyo utarudi kutoa ushuhuda kwenye ule uzi wa waliokose akuoa
 
Wanaume tunazidi kuisha umeambiwa sasa hapa unataka nn
Tatizo ni kuondosa viboko mashuleni. Huyu anatakiwa kukungutwa mboko za maana ili akili imkae kisawasawa. Ameshakwambia katoa mimba na haikuwa yako halafu unasema inaendelea kumpenda na unaomba ushauri. Huyu si mzima kabisa. Vijana mmekuwaje?
 
Aisee... Yakupasa kuinusuru roho yako.
 
Khaaaaa hujui cha kufanya kuna wimbo barnaba anaimba anasema ukiachwa achika huyo siyo wako tena ukiendelea nae atakutesa sana achana nae
 
https://jamii.app/JFUserGuide you motherfucker. You're such a dumb asshole mf
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nchi kama china ushauawa kwa kupigwa risasi[emoji379]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…