chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
agiza energy hapo,nalipia bill mwenyewe.Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
agiza energy hapo,nalipia bill mwenyewe.Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
[emoji1][emoji1][emoji1]Sasa unazurura utajua nini na jua kali hili
Wanajeshi wake waliojaa huku wanatosha kumwakilisha.Hata wale waliofanya ile shughuli si uliwaona wanafanana na raisi wao.Au hukuwaona unatafuta uchokozi tuKagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Nenda kanywe naye chai hayatuhusu.Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Vital question [emoji780]Anakuja?
Huwenda Covid-19 inawaogopesha baadhi ya viongozi kusafiri.Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
KP kajaza watu wake wengi kwenywe system ya nchi Yenu anawajua in and out,watz mmekuwa makolo sanaKagame anataka mtu wa kumfanya mjinga pia hapendi mtu awe mashuhuri kuliko yeye. Kwa hivyo hawezi kuendeleza uhusiano sana na magufuli. Hoja zake ni kunufaika nchi yake. Angependa mikataba ya siri kama wanyarwanda watutsi kufuga mifugo tanzania bila bughudha au magendo ya madini na uwindaji haramu kuingia rwanda bila shida. Congo rd ndio wanyonge wa kagame sio tz 😂😂