NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wahutu na watusi washaanza kuparuana hapa,ngoja nifiche mapanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kamuulize.Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Maendeleo my foot labda vikosi vya kigaidiKagame anaweza akawa haji Tanzania au ukamuona haisadii Tanzania, ila ninachojua kwa Maendeleo haya ya Tanzania ya sasa anahusika mno tu.
Je kumshitaki mahakamani mtu mwenye kiherehere haiwezekani?
Hukijui unachoongea....ushangae hata uraia huna afu unapwayuka tu Kama mhamiaj haramuKagame is a smart guy,hawezi kufanya urafiki na mbumbumbu.Baada ya kugundua kumbe Tanzania hamna lolote ni kichwa tu cha mwendawazimu ameamua kuingia zake mitini.
Kwan Pierre n wa RwandaJiwe hakwenda kumzika Pierre, unafikiri wao hawaoni!
Kwan Pierre n wa Rwanda
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Huyu nae haeleweki mara awe avatar ya kike mara ya kiume km Tyson.Ukiwa ktk hali ya kuzurula huwezi ona alicho andika
mwizi akipigwa na mwizi huwa siriMkuu, nasikia wamezikana hela..pk kamzidi ujanja meko.
Uchawi wa kurithi hauwezi kukuacha salama. Utaendelea kukunyima usingizi na kukutesa zaidi we mwenyewe.Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Wanaojua watakushangaaItakuwa ni wivu tu wa sisi Tz kuishinda Corona. Labda walijua tutakuwa kama USA
We mdau upo au umetembelewa na covidoLaizer kaharibu dili
Walipigana changa la macho 'dili' la mererani!
Aaaah! mkuu uchawi upo? mbona mama watoto kashindwa niroga, na huyu wa pili yupo yupo tu, sijui nimuache??? nataka rogwa mie nione......nasikiaga tuUchawi wa kurithi hauwezi kukuacha salama. Utaendelea kukunyima usingizi na kukutesa zaidi we mwenyewe.
Pengine Mafuguli kapendekeza muungano kama wa Zanzibar, Kagame akaona bora yaishe 😉Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.