Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Nenda kamuulize.
 
Kagame is a smart guy,hawezi kufanya urafiki na mbumbumbu.Baada ya kugundua kumbe Tanzania hamna lolote ni kichwa tu cha mwendawazimu ameamua kuingia zake mitini.
Hukijui unachoongea....ushangae hata uraia huna afu unapwayuka tu Kama mhamiaj haramu
 
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.

Watu wanaogopa kusafiri kwasababu ya Corona. Rwanda ni moja ya nchi za kwanza kabisa katika Afrika kuanzisha lockdown.
 
Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Uchawi wa kurithi hauwezi kukuacha salama. Utaendelea kukunyima usingizi na kukutesa zaidi we mwenyewe.
 
Siasa za maziwa makuu huwezi wakumbatia warithi wa Nkuruzinza ukawa rafiki wa kagame at the samatime
 
Uchawi wa kurithi hauwezi kukuacha salama. Utaendelea kukunyima usingizi na kukutesa zaidi we mwenyewe.
Aaaah! mkuu uchawi upo? mbona mama watoto kashindwa niroga, na huyu wa pili yupo yupo tu, sijui nimuache??? nataka rogwa mie nione......nasikiaga tu
 
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Pengine Mafuguli kapendekeza muungano kama wa Zanzibar, Kagame akaona bora yaishe 😉
 
Back
Top Bottom