Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Huku ni kukosa hoja na kubaki mnawashwawashwa kuleta umbea? Anga la Rwanda lipo wazi? Mbona hukuhoji, Kenya au Uganda?
 
wait, magufuri alishauliwa na ka kagame anunue hizi ndege?
 
Kagame anaweza akawa haji Tanzania au ukamuona haisadii Tanzania, ila ninachojua kwa Maendeleo haya ya Tanzania ya sasa anahusika mno tu.
Mh.! Kagame aisaidie Tanzania maendeleo? Hebu tufafanulie angalao tukuelewe kidogo
 
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Kama hujui ndio ujue kuanzia leo na wewe kama unatabia hiyo uache...
Kwenda kwenda kwa jirani ni kupeleka uchuro sometimes tumasalamu au mwakilishi.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Je kumshitaki mahakamani mtu mwenye kiherehere haiwezekani?
 
Watz wanasahau sana!jiulize kwani kagame alikuja kumzika Dr.Omary Ali Juma?Alikamilisha mission akiwa mbali!Je kwenye hii mlidhanije???Ni watoto pekee wanaoamini LodiLofa died natural Death!!
 
Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.

Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.

Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Kagame anapenda marafiki wenye akili kubwa kama akina Jen Kaguta Mseven walipata nchi kwa jasho na damu. Sio hizi za kupewa kwa kijiko mezani.
 
Back
Top Bottom