Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
GENTAMYCINE naona Watutsi mnatusiwa huku.
Watutsi wana tutsiwa huku??!!--- vipi wahutu nao je??, wana-hutuwa kule??!!.š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE naona Watutsi mnatusiwa huku.
[emoji23][emoji23][emoji23]Watutsi wana tutsiwa huku?--- vipi wahutu nao je? Wana-hutuwa kule?[emoji1787]
Kagame alikuwa the next door neighbour
unayo evidence.Alisema mwenyewe hayo mbele ya Kagame
Huyo mzukulu ni mtutsi kumbeGENTAMYCINE naona Watutsi mnatusiwa huku.
[emoji3][emoji3][emoji42][emoji42][emoji849][emoji849][emoji848][emoji848]Watutsi wana tutsiwa huku??!!--- vipi wahutu nao je??, wana-hutuwa kule??!!.[emoji1787]
Nilijua tu kuna kitu
Amekuwa akijitambulisha hivyo kwa muda sasa.Huyo mzukulu ni mtutsi kumbe
Mh.! Kagame aisaidie Tanzania maendeleo? Hebu tufafanulie angalao tukuelewe kidogoKagame anaweza akawa haji Tanzania au ukamuona haisadii Tanzania, ila ninachojua kwa Maendeleo haya ya Tanzania ya sasa anahusika mno tu.
@Gentamycine anasumbuliwa na Inferiority complexAmekuwa akijitambulisha hivyo kwa muda sasa.
Kama hujui ndio ujue kuanzia leo na wewe kama unatabia hiyo uache...Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Sasa umeandika nini
Je kumshitaki mahakamani mtu mwenye kiherehere haiwezekani?Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Kagame anapenda marafiki wenye akili kubwa kama akina Jen Kaguta Mseven walipata nchi kwa jasho na damu. Sio hizi za kupewa kwa kijiko mezani.Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.