Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameandika Kilichoandikwa. yaani we boya kweli!Sasa umeandika nini
Kagame hapendi Ujinga!Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Kagame ndio Mjinga sasa kwa taarifa yako, Tanzania haijawahi kupapaswa makari-o na Kunyenyekea tuNchi kama Wilaya wa Uyui. Urafiki wetu nayeye ulikuwa wa kimkakati baaada ya biffu la Miaka 10 na Kikwete tuliona isiwe shida japo urafiki wa miezi 6 siyo mbaya.Kagame hapendi Ujinga!
Sasa kwani aliwaita? Si wajinga mlijipeleka wenyewe? Akawapa na UlinziKagame ndio Mjinga sasa kwa taarifa yako, Tanzania haijawahi kupapaswa makari-o na Kunyenyekea tuNchi kama Wilaya wa Uyui. Urafiki wetu nayeye ulikuwa wa kimkakati baaada ya biffu la Miaka 10 na Kikwete tuliona isiwe shida japo urafiki wa miezi 6 siyo mbaya.
Unajua lengo la kujipeleka Mkuu. Anyway its ovva, Usije ukakimbia Nchi kwenda Ukimbizini kwamba nimekutishia Maisha maaaana AVATAR yako ina mengi! Sorry Mkuuu yaishe.Sasa kwani aliwaita? Si wajinga mlijipeleka wenyewe? Akawapa na Ulinzi
Tusi zito nimekupaKagame anaweza akawa haji Tanzania au ukamuona haisadii Tanzania, ila ninachojua kwa Maendeleo haya ya Tanzania ya sasa anahusika mno tu.
Hakuna cha kimkakati wala nini,Kagame ndio Mjinga sasa kwa taarifa yako, Tanzania haijawahi kupapaswa makari-o na Kunyenyekea tuNchi kama Wilaya wa Uyui. Urafiki wetu nayeye ulikuwa wa kimkakati baaada ya biffu la Miaka 10 na Kikwete tuliona isiwe shida japo urafiki wa miezi 6 siyo mbaya.
Unaweza ukawa na point mkuu kwenye hili.Hakuna cha kimkakati wala nini,
Uncle wenu alibugi,huwezi kwenda against na your country man achilia mbali mtangulizi wako,KARMA at its best,
tuliziona zile mbwembwe za mwanzo,mpaka yule pinochio aliingia ikulu,kama mtangulizi alikuwa adui kihivyo wa nchi yake,
Sasa kafika wakati anaona mtangulizi wake kumbe alikuwa sahihi,too late..
ndio ukweli huo,kuna siku mtangulizi aliongea maneno kwenye mahafali fulani akimtahadhalisha makamu mkuu wa chuo mpya,Unaweza ukawa na point mkuu kwenye hili.
Kwani nani aliyezawadiwa ng'ombe. Kwani wale tausi hawakufika hadi rwanda; na ule uwanja wa kimataifa jirani, uzinduzi wake si bado. Nani ajuae, pengine utapewa jina mashururi "Kagame International Airport!Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Mwiba wa hima empireHuyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi
Kwani huyu mhutu/mtutsi wetu si hao hao Bahima Empire au undhani ni Msukuma?Mwiba wa hima empire
Sasa mtu mmoja atakuwaje Mhutu, kisha Mtutsi na kisha Hima empire kwa wakati mmoja?????????????????????????????????. Nifafanulie unacholenga kusema, anaweza asiwe msukuma but he cant be both............Kwani huyu mhutu/mtutsi wetu si hao hao Bahima Empire au undhani ni Msukuma?
Kagame kamtapeli magu ndege mbiliKagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Hela ya tanzaniteMkuu, nasikia wamezikana hela..pk kamzidi ujanja meko.
Siku yakikukuta utajuta.Cowards die many times before they die.Walijaribu kumuua,waliweza sasa?Fo olish.Mojawapo. Ukiwa na 'Kiherehere' lazima 'utaondoka' tu. Haiwezekani 'Mchafuzi' Mmoja ukaachwa kwa Maslahi ya Wazalendo wengi. Utaondoka tu!
Kagame anataka mtu wa kumfanya mjinga pia hapendi mtu awe mashuhuri kuliko yeye. Kwa hivyo hawezi kuendeleza uhusiano sana na magufuli. Hoja zake ni kunufaika nchi yake. Angependa mikataba ya siri kama wanyarwanda watutsi kufuga mifugo tanzania bila bughudha au magendo ya madini na uwindaji haramu kuingia rwanda bila shida. Congo rd ndio wanyonge wa kagame sio tz 😂😂Kagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
siongezi neno.umemaliza mkuu.uzii uhitimishwe.Mgonjwa alimtibia mganga. Bhas na show ikaishia hapo. Yani mwalimui alikuwa anajua anamfunza mwanafunzi wake magazijuto akashangaa mwanafunzi wake anampigisha kalikulasi.