Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Uzururaji unakuondolea kuelewa.Sasa umeandika nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzururaji unakuondolea kuelewa.Sasa umeandika nini
Sasa unazurura utajua nini na jua kali hiliSasa umeandika nini
Ni Yeye! Ni Lissu mwaka huu!Hayakuhusu
Kichwa chako kina GB ndogo , achana na hii mada, kajadili udaku MMUSasa umeandika nini
Maendeleo ya flyoverMaendeleo yapi, sema ‘wasiojulikana’ ni mbinu yake!
Kagame mshamba, kwanza Magufuli ana phd ya UDSM wakati kagame ana cheti tu.Kagame is a smart guy,hawezi kufanya urafiki na mbumbumbu.Baada ya kugundua kumbe Tanzania hamna lolote ni kichwa tu cha mwendawazimu ameamua kuingia zake mitini.
Innam Pango wa kufanys biashara Rwanda, ni lazima nijue uhusiano wetu wa kidiplomasia ukoje.Mambo mengine ya hovyo sana ,hili linasaidiaje kipato chako?
Kuna msuguano wowote kati ya hizi nchi mbili?
Shuleni1 ulienda kusomea ukuda?
Sasa umeandika nini
GENTAMYCINE naona Watutsi mnatusiwa huku.Kagame mshamba, kwanza Magufuli ana phd ya UDSm wakati kagame ana cheti tu
Laizer kaharibu diliKagame ndiye alikuwa rafiki wa karibu, baada ya kuapishwa Rais Magufuli nchi yake ya kwanza kuitembelea ilikuwa Rwanda na alifanyiwa dhifa ya kitaifa. Baada ya hapo Rais Kagame alikuwa mgeni wetu wa mara kwa mara.
Rais Magufuli aliwahi kutamka mbele ya Kagame kuwa yeye ndiye aliyemshauri manunuzi ya ndege.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.
Huyu mgeni wetu wa mara kwa mara ameshindwa kuja kulia na sisi msiba wa Mzee Mkapa. Ingawa alituma salamu lakini kwetu sisi Kagame alikuwa the next door neighbour hakuwa mtu wa kutuma salamu bila hata mwakilishi.Sasa umeandika nini