Uhusiano wetu na nchi jirani, nini kimetokea kati yetu na Rais Kagame?

Wanajeshi wake waliojaa huku wanatosha kumwakilisha.Hata wale waliofanya ile shughuli si uliwaona wanafanana na raisi wao.Au hukuwaona unatafuta uchokozi tu
 
Nenda kanywe naye chai hayatuhusu.
 
Huwenda Covid-19 inawaogopesha baadhi ya viongozi kusafiri.
 
KP kajaza watu wake wengi kwenywe system ya nchi Yenu anawajua in and out,watz mmekuwa makolo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…