Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Hadi sasa sijaona mahali panapoonesha mahakama inajibu swali la kwa nini wahusika wote hao wahusike kumuua mtu mmoja tu...

Je, wauaji ni majangili wa meno ya tembo?

Je, wauaji ni majambazi wanaochukua kazi za malipo za kuua watu?
 
Hiii ishu ni ishu watu walipewa kazi key suspect hajakamatwa ndio ana taarifa zote muhimu za kina nani alimtuma kumuua Lotter huyo Dada ushirika wake wa kupika na kuficha silaha umemmaliza ila yote wahusika wakuu sasa hivi wana amani na wanapata mvinyo na kusunya kidogo kwamba wamepona hao jamaa 11 watatawanywa magereza tofauti tofauti Ukonga, Maweni, Isanga, Uyui na Butimba.
 
Tatizo la hizi ishu zinaishia kwa Washiriki wadogo wa mwisho...kama hapo wanamaliza tu na hao Wauwaji.

Laiti kama watafuata chaneli mpaka wafike juu kabisa kwa Wahusika wakuu.
Issue zenye chain links zinazohusisha vigogo huwa zinafyeka wanyonge wengi sana ili ku clear any possible tracks,humo wengine hupewa adhabu ya kifo kwa kuwa tu wanamjua mhusika flani papa, huko Mexico wanaharakati wa mazingira wanauawa kila kukicha,mbaya zaidi wanaohusika na mambo hayo wengi ni viongozi wa serikali wanaoshirikiana na majangili wanaopora Maliasili hasa magogo na kuyauza kwa faida kubwa kwenye viwanda via ndani na nje ya Mexico,sasa hata hapa naona kama hiyo michezo inapiga hodi,kuna na helicopter ilishushwa huko mikumi miaka kadhaa nyuma,God forbid
 
Sasa rasmi nimethibitisha pasipo shaka yoyote kuwa wewe ni mpumbavu, yaani pamoja na mwandishi kuandika kwa mtiririko mzuri kabisa ila wewe ulikuwa busy kutafuta jina lenye asili ya kaskazini ulipigie kambi?what a stupid creature?
 
Sasa rasmi nimethibitisha pasipo shaka yoyote kuwa wewe ni mpumbavu, yaani pamoja na mwandishi kuandika kwa mtiririko mzuri kabisa ila wewe ulikuwa busy kutafuta jina lenye asili ya kaskazini ulipigie kambi?what a stupid creature?
Shithole kbs huyu.kaskazin inamuwasha sana
 
Una chuki na wivu wa kisichana.
 
Asante sana mkuu kwa mrejesho huu. Huyu Lotter bila shaka ni yule mzungu aliyeuawa Masaki kama sikosei. Kuna waliodhani kuwa alikuwa ameuawa na watu wa kitengo
 
This is too low my dear. Try another method to relieve your frustration.
 
Ujambazi unatenda.nazungumzia kesi ambazo unaweza kuingia kwa bahati mbaya.kama hao wengine.kaua mmoja lakini adhabu ni moja.au unaunganishwa tu kwenye kesi ya ubakaji na hauusiki
Hata kesi za ujambazi sio poa Mkuu.

Ile kuvunja nyumba na kuiba hukumu zake zimechangamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…