Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Huyo anayepiga kelele mtandaoni ndio mheshimiwa mbunge?Issue kubwa sana hii na ni kutokana na wakubwa wa huko duniani kuifuatilia ndiyo maana leo tunaona hukumu, japo imechukua muda.
Huyu jamaa kauawa kupitia samaki wadogo ila nyangumi wapo kwenye kina kirefu, that's why kuna wakati hii kesi ilipata majibu hukumu itoke ila ikapasishwa ila leo dagaa wanakula mvua na wengine kuaga dunia.
Lotter alikuwa anaharibu ma_deal ya wanene kuna mmoja yupo mitandaoni na ana kelele sana huko anaweza kuwa mmojawapo!.
Hahahhh umeingia had facebook daah ww jamaaGodfrey Salamba mzee wa Real Madrid
Aliyetoa pesa/ deal kwa suspect wa kwanza kwa nini hakamatwi? Huyu anajulikana kirahisi sana, habari zake anazo mtuhumiwa wa kwanza. Vinginevyo tuamini kuwa analindwa na vigogo wa hapa nchini.Pamoja na hukumu bado wahusika wakuu hawajapatikana.Kama kweli serikali inataka kujua hii chain, wasiwanyonge wakikaa gerezani kwa muda hawa watasema A to Z kwakuwa watajutia na kumrudia Mungu wao na watafunguka mpaka serikali ishangae unless wataka kufunika kombe kuwaokoa vigogo.
tunaambiwa ni mchina , huyo mchina ni fake, kuondolewa kwa Fahma almas karama ilikuwa kumlinda kigogo, mleta thread na mashaka nae ana interest na hii case na hukumu yake machips ndio anamtaja namba moja.Aliyetoa pesa/ deal kwa suspect wa kwanza kwa nini hakamatwi? Huyu anajulikana kirahisi sana, habari zake anazo mtuhumiwa wa kwanza. Vinginevyo tuamini kuwa analindwa na vigogo wa hapa nchini.
Vv
Kuba jamaa alinisimulia kuwa malipo ya milioni moja yanatosha kutoa uhai wa mtu kule Arusha.20
20M tu zenye mgao watu 11 zimetoa uhai wa mtu?
Duuh kazi kweli kweliKuba jamaa alinisimulia kuwa malipo ya milioni moja yanatosha kutoa uhai wa mtu kule Arusha.
Vv
Na rozari shingoni 😄 mafia bwana wanakuwaga kama malaika ukiwaonaGodfrey Salamba mzee wa Real Madrid
Tusome hukumuHivi "kula njama" hukumu yake halali yaweza kuwa hii?
Majaji wengi hubweteka kutengeneza hukumu na kusababiaha rufaa za wahalifu kuzaa matunda.
Hivi mishentown huwa imebase kazi gani haswa??hawa watakuja kutoka tu nadhani kuna watu walishindwa kuweka mambo sawa kati ya wale 22 ambao dpp 11 aliwafutia mashtaka.
wengine hapo sio wahusika Mtu Kama Machpis ni mishen Town ati leo anakuwa mtuhumiwa namba moja kesi ya Mauaj tena mzungui!!!!! kuna kitu Behind scene. hii misheni ni kubwa sana.
nilishtushwa zaidi magazeti yote front page kuandika kwa Maandishi makubwa "11 kunyongwa hukumu ya historia"
Hapo hakuna cha Mchina wala nini, kuna kigogo tu nchini anahusikaIssue kubwa sana hii na ni kutokana na wakubwa wa huko duniani kuifuatilia ndiyo maana leo tunaona hukumu, japo imechukua muda.
Huyu jamaa kauawa kupitia samaki wadogo ila nyangumi wapo kwenye kina kirefu, that's why kuna wakati hii kesi ilipata majibu hukumu itoke ila ikapasishwa ila leo dagaa wanakula mvua na wengine kuaga dunia.
Lotter alikuwa anaharibu ma_deal ya wanene kuna mmoja yupo mitandaoni na ana kelele sana huko anaweza kuwa mmojawapo!.
Ahaaa, kama ni hivyo, basi mtafuteni Abdulrahman Kinana awape muongozo sahihiJana nilikua Arusha, na nikasikia watu kwenye kahawa wanaongea wanasonta kiduka fulani wakisema mmoja wapo ni mwenye hilo duka, kwamba huyo mzungu aliye uawa alikua anaendesha project inayozuia ujangili wa wanyama na hasa Tembo wasiuawe, kama ndivyo hapo ndo tujiongeze kwamba Kuna nani