Kila mtu anampenda Mama Samia. Lakini tunasema awe makini. Halafu akigeuza kila kitu anatuambia nini? Yeye alikuwa sehemu ya serikali na alimshauri Mkuu. Je alikuwa "Yes" leader? Akumbuke awamu hii ilipewa kura kwa ahadi za mtangulizi wake na yeye akizipigia chapuo. iweje leo awe tofauti sana leo!Najua hali yako ni mbaya baada ya kuondokewa na yule bwana, subiri nchi irudishwe kwenye mstari nyoofu.
Awamu ilipewa kura na nani, mahela au?Akumbuke awamu hii ilipewa kura kwa ahadi za mtangulizi wake na yeye akizipigia chapuo. iweje leo awe tofauti sana leo!
Magufuli amewaharibu sana! Hata mueleweshwe vipi, hamuelewi! Dunia ya utandawazi ni dunia ya kupambana! Siyo kulia lia na kulalamika!Ubeberu maana yake wizi! Kuiba ni kuiba hata kama ni kwa kutumia jina la 'uwekezaji' na kuwa 'modern' haina maana kukubali kuibiwa mchana kweupe. uhu sio 'usasa' bali 'ulofa'
Always speak the truth... Michango yao Ulimwenguni/Duniani haihesabiki...You made me smile!🙂
Kwa akili na mitazamo kama hii ni laana kuwa mwafrica. Umekua brainwashed totally yan ww hakuna unalojua na hutakuja ujue. Lkn sio mbaya kuwa na watu kama ww ili jamii ikamilike na tuonekane waafrica hatuna akiliMataga utapata tabu sana usipo kubali kubadilika. Falsafa nyingi za magufuki zilikuwa ni outdated! Hii ni Karne ya 21 moja! Ni karne ya Utandawazi! Ni kituko mtu upo kwenye karne ya 21, lakini mawazo yako yapo karne ya 20!
Karne ya akina Nyerere ya kuwaita Wazungu Mabeberu! Ni wakati sahihi sasa kusbirikiana na matifa mengine kwa manufaa ya pande zote mbili. Kunitenga na Dunia ya utandawazi, ni uwendawazimu wa kiwango cha ajabu!
Utapambana vip wakt unafuata njia yao... Mapambano n njia sahihi upitayo na huko huwekwa miiba na kona za hatari ili usifike. Sasa mama anatak tuwe mikia yao kufuata kila wasemalo au watakalo. Kwanza mama anaharak sana ya uwekezaji ya nini...?? Hotuba yake ya kutaka madin ya kwenye hifadhi na uwekezaji kwenye nickel pia namna anavyolahisisha sana maongez ya barick na kwamba hatutakiw kutunishiana misuli ni dalili kubwa kwamba mapambano tumeshindwa na mama amefeli miserably hilo lipo wazi... Simuelew mm anafanya haya kwa faida ipi hasaMagufuli amewaharibu sana! Hata mueleweshwe vipi, hamuelewi! Dunia ya utandawazi ni dunia ya kupambana! Siyo kulia lia na kulalamika!
Ni zamu yenu sasa kuhama nchi kama hamridhishwi na utendajivwa Raus wa sasa! Ila ukweli utabakia pale pale! Mabeberu siyo watu wa kushindana nao.Utapambana vip wakt unafuata njia yao... Mapambano n njia sahihi upitayo na huko huwekwa miiba na kona za hatari ili usifike. Sasa mama anatak tuwe mikia yao kufuata kila wasemalo au watakalo. Kwanza mama anaharak sana ya uwekezaji ya nini...?? Hotuba yake ya kutaka madin ya kwenye hifadhi na uwekezaji kwenye nickel pia namna anavyolahisisha sana maongez ya barick na kwamba hatutakiw kutunishiana misuli ni dalili kubwa kwamba mapambano tumeshindwa na mama amefeli miserably hilo lipo wazi... Simuelew mm anafanya haya kwa faida ipi hasa
Sheria za madini zilisha badilishwa mkuu kama uamini muulize Mh kabudi.Ubeberu maana yake wizi! Kuiba ni kuiba hata kama ni kwa kutumia jina la 'uwekezaji' na kuwa 'modern' haina maana kukubali kuibiwa mchana kweupe. uhu sio 'usasa' bali 'ulofa'
Tatizo Mataga wengi hamna uelewa wa mambo kama alivyokuwa yule mtukufu wenu! Karne tuliyopo ni ya 21! Ni karne ya utandawazi! Whether you like, or not!Kwa akili na mitazamo kama hii ni laana kuwa mwafrica. Umekua brainwashed totally yan ww hakuna unalojua na hutakuja ujue. Lkn sio mbaya kuwa na watu kama ww ili jamii ikamilike na tuonekane waafrica hatuna akili
Freedom of expression should be respected let them declare their Ideology on what going on.Mataga utapata tabu sana usipo kubali kubadilika. Falsafa nyingi za magufuki zilikuwa ni outdated! Hii ni Karne ya 21 moja! Ni karne ya Utandawazi! Ni kituko mtu upo kwenye karne ya 21, lakini mawazo yako yapo karne ya 20!
Karne ya akina Nyerere ya kuwaita Wazungu Mabeberu! Ni wakati sahihi sasa kusbirikiana na matifa mengine kwa manufaa ya pande zote mbili. Kunitenga na Dunia ya utandawazi, ni uwendawazimu wa kiwango cha ajabu!
Kuna sehemu kwenye maelezo yangu umeona nimemzuia asitoe maoni yake?Freedom of expression should be respected let them declare their Ideology on what going on.
Kwa akili kama zako nna hakika kbsa tunaishi mpka kiama africa haijapiga hatua.Ni zamu yenu sasa kuhama nchi kama hamridhishwi na utendajivwa Raus wa sasa! Ila ukweli utabakia pale pale! Mabeberu siyo watu wa kushindana nao.
Ukiwa kiongozi wa nchi maskini kama Tanzania, unatakiwa kuishi nao kwa umakini na siyo kwa kuwatishia nyau! Dakika 0 tu wanakupoteza.
Na ndiyo maana mungu wako anaoza muda huu huko kaburini! Alikuwa nae ni mkaidi na mjuaji kama wewe.Kwa akili kama zako nna hakika kbsa tunaishi mpka kiama africa haijapiga hatua.
Aachwe Mama afanye kazi.Kila mtu anampenda Mama Samia. Lakini tunasema awe makini. Halafu akigeuza kila kitu anatuambia nini? Yeye alikuwa sehemu ya serikali na alimshauri Mkuu. Je alikuwa "Yes" leader? Akumbuke awamu hii ilipewa kura kwa ahadi za mtangulizi wake na yeye akizipigia chapuo. iweje leo awe tofauti sana leo!
Baada ya hapo ndio mkamuua au...Na ndiyo maana mungu wako anaoza muda huu huko kaburini! Alikuwa nae ni mkaidi na mjuaji kama wewe.