Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Unatia huruma sana!!! Ikiwa unashindwa kuelewa hata post fupi iliyoandikwa kwa Kiswahili, una kipi unachokielewa?! Nimeshakuambia:-

Sasa utatafutaje kitu ambacho hakipo na nimeshakueleza takwimu za mwisho zimetolewa April 2020? Wewe uliyeleta habari za RITA kwamba--

Weka hapa hizo takwimu unazosema "kwa mujibu wa data za RITA"!!! Nini kinakushinda wakati ni wewe mwenyewe ndie umesema "kwa mujibu wa data za RITA?! Yaani RITA uitaje wewe halafu unaniambia mimi ndie nikutafutie wakati nimeshakuambia hakuna!!! Weka hizo za "kwa mujibu wa data za RITA" na kama usinipotezee muda wangu!!
Kwani RITA ni taasisi yangu binafsi? Wewe huusiki nayo? Mbona unaongea kama mlevi? Kwani Data za RITA ni siri?
 
Back
Top Bottom