Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Uingereza: Chris Whitty asema hakuna haja ya lockdown, wataishi na Corona kama mafua

Kila nchi imechukua na inachukua hatua inayoona zinafaa kwa kadri ya mazingira yake na utashi pia wa viongozi wake..!
Tuangalie zaidi nchi yetu na tuiombee juu ya hili, kuliko kujilinganisha na nchi zingine au kuzibeza nchi zingine.
Hakuna viongozi wa nchi wanaopenda wananchi wao wafe kama kuku.
Kwa hiyo tusione kama vile Uingereza labda wamekosea sanaaa...!! Na wao wamechukua hatua kwa kadri ya mazingira yao na utashi wao. Na pia issue ya Corona ni dynamic sana.... Hali inaweza kuonekana shwari, ila ndani ya wiki 2-3 ikabadilika kabisa ikawa tete.
Hata maamuzi ya nchi pia sio constant, yanabadilika pia kulingana na uhitaji na mazingira ya nchi husika.. Mfano mzuri Madgascar ambao msimamo wa viongozi wao mwanzoni ilikua kutopokea chanjo za COVID, last week nimeona wamebadilisha uamuzi na kuamua kuagiza chanjo za COVID.
Ww Dr au mganga wa kienyeji unayetushauri
 
Hivi hukusikia maduka na ofisi zote zilipewa maelekezo ya kuweka ndoo ya maji na sabuni nje ya ofisi zao? Hukuona daladala zilipopewa agizo la level seat? Hukuona mabar na sehemu za vyakula ziliagizwa kuuza take away tu? Au ulitaka measures gani??!!’
Ajabu
 
Heshima kwa jambo lipi???, watu wengi wanekufa kutokana na Corona na akawazuia watu kuita Corona bali matatizo ya upumuaji, mtu ukitangaza Corona tu basi unalo, watu tukakosa uhuru wa hata kujisema kwamba unaumwa Corona, dunia ikadanganywa kwamba Tz hakuna Corona huku watu tukiteketea.

WHO ikahitaji takwimu za Corona TZ wakanyimwa, kifupi tulikuwa tunaelekea kuwa a failed state kama North Korea lakini Mungu si Athumani kasikia kilio cha Watz, watz tulikuwa kama mbuzi chini ya huyo mchungaji aliyetupelekesha atakavyo akijiita eti kiongozi wa Malaika mara Jiwe nk, alijiona kama Mungu mtu asiyeambilika na kusikia chochote kutoka nje, yeye ni yeye akiamka na chochote akilini mwake basi ataamrishwa kifanywe.

Mtu mvurugaji wa aina hiyo anahitaji heshima gani???.
Na ndio maana nikauliza, huku tulikoishi kama mbuzi, idadi ya waliougua na kufa kwa Corona, ni tofauti na huko walikofuata hizo precautions?
 
Kwa nini wasiige Tanzania?au ww unawaona hao wao ni almasi sana kuliko Tz.
Huu ukoloni wa kujiona nyie si bora utaisha lini?
Eeh ni kweli imetoka kwa Maombi,huko wanavaa barakoa tatu tatu na lockdown mwaka mzima lakini wanatuambia millions of people wamekufa.
Wanatushangaa sisi tunaendelea tu
Watuige sana. JPM hakika alituokoa na siasa za dunia za COVID19. Amepigwa vita sana kwa kunenewa maneno mabaya kwa sera yake dhidi ya COVID 19. WaTanzania wezangu tuungane sera za JPM dhidi ya korona ziendelee.

Tunaanza kuwaona watetetea lockdown na chanjo wanaibuka kwa nguvu. Tuendelee kumuenzi kipenzi chetu aliyetutoka JPM.
 
Afisa Mkuu wa Tiba na Mshauri wa Tiba wa Uingereza, Chris Whitty amesema hakutakuwa na lockdown wataishi na #COVID19 kama mafua

Ameshauri Serikali yake kujifunza kuishi na #CoronaVirus pia amesema vinavyotajwa kuwa virusi vipya ni uongo

======

The idea that Covid variants can be stopped from entering the country is “not realistic”, and Covid will eventually have to be managed in a similar manner to serious seasonal viruses such as flu, Prof Chris Whitty has said.

Speaking at a Royal Society of Medicine webinar, England’s chief medical adviser said the relaxation of Covid restrictions was likely to result in the R number rising above 1 and the risk of variants gaining a foothold and spreading increasing.

The more cases that have been imported, the quicker that will happen. As a result, Whitty said, border policies are focused on countries with more cases, or more cases of particular variants, than the UK.

“The UK is a net exporter of [the Kent] B117 variant, so other countries are understandably putting their border measures up against us to slow that down. We are a net importer of other variants that are a bit more of a worry from the vaccine point of view. That’s really what drives a lot of the policy, when it is being rational, excepting that border policy isn’t always fully rational,” he said.

Whitty said the majority of experts believed Covid was not going to go away and it would eventually have to be managed in a similar manner to flu. In a bad year, flu can kill 20,000 to 25,000 people. “It is not flu, it is a completely different disease, but the point I am making is, here is a seasonal, very dangerous disease that kills thousands of people every year and society has chosen a particular way around it,” he said.

While Whitty noted that factors such as variants and population density were important, he cautioned against trying to explain how Covid had affected different countries by focusing on just one or two factors, noting that Germany was now facing a difficult situation despite its previous success in tackling Covid largely being put down to its diagnostic capabilities.

“It is actually usually a large combination of factors, some of which are under our control, many of which are not. And more of it is chance than I think people are prepared to accept,” he said.

'A class act': Chris Whitty, the calm authority amid the Covid crisis
Whitty said new vaccine technologies meant it had become easier and quicker to tweak vaccines, which will be important for tackling new Covid variants, and he said that two years from now it was likely there would be a wide portfolio of vaccines available.

He said at present the main effort of companies was to boost vaccine supplies and there was less capacity to respond to new variants, while it was unclear whether current vaccines offer a “fair degree” of protection against severe disease and death even if they do not generate high levels of neutralising antibodies.

“What we have got to do is work out some balance which actually keeps [Covid] at a low level, minimises deaths as best we can but in a way that the population tolerates and do as much of the heavy lifting as we can by medical countermeasures,” he said.
Tutazidi kumkumbuka JPM wanafiki wote waliombeza JPM sasa wanafuata yale yale ya JPM,eh Mungu umpe pumziko la milele mja wako JPM,ametuonyesha njia dhidi ya mabeberu
 
We mwenzangu unajidanganya zaidi.hiv unaelewa uhalisia wa hizo chanjo zenyewe.unawajua hao wanaoendesha hiyo kampeni ya covax.

Tafuta taarifa sahihi.mimi sikuwa namkubali Hayati,lakini kwa hili la chanjo nilimkubali sana.

Waulize hao wanao hamasisha hizo chanjo je ,itakuwa ni mwisho wa kuvaa barakoa na socialdistance baada ya chanjo.

Umesema wamekaribia kumaliza kuchanja watu wao,unauhakika gani chanjo inayotolewa ndiyo hiyo hiyo utakayoletewa wewe,pili unajuaje kama ni chanjo ya covid
Mhanga wa ujinga mwingine tena huyu kajileta. Hili la kuchanja na kutovaa na kuendelea kuvaa mask limeshaelezwa sana sana hapa na kila mahali ni kwa nini iwe hivyo. Sasa nyie vilaza mnaohangaika na habari za hovyo za kina Diamond hamuwezi kujua. Hata english yenu ni majanga. Nakupa homework ulizia watu wenye upeo ni kwa nini iwe hivyo. Mimi sina muda wa kurudia tena. Chanjo ni hiyo hiyo. Hakuna wa kukudhuru wewe na wengine ambao mnateketea kwa shida, vita na maradhi mengine. Wakitaka kutudhuru watasimamisha misaada tu na tutaisha wote. Usiwe kama nyumbu.
 
Na ndio maana nikauliza, huku tulikoishi kama mbuzi, idadi ya waliougua na kufa kwa Corona, ni tofauti na huko walikofuata hizo precautions?


Hapa hatuongelei juu ya idadi ya watu wakiokufa, tunaongelea juu ya tahadhari inayopaswa kuchukuliwa na serikali/Viongozi kukinga na hata kuwafariji raia wake kutokana na majanga.

Mfano, Kagera walikumbwa na janga asilia la tetemeko la ardhi, mkubwa yule alienda kwenye tukio huku Waathirika wakidhani wamekuja kufarijiwa na kupewa matumaini kinyume chake ilikuwa kejeli na masimango na kuvunjwa mioyo, eti wanaambiwa serikali haikuleta tetemeko na hakuna chakuka na masimango kadha wa kadha na hata fedha zilizochangwa kutoka nje na ndani ya nchi zililiwa au kutumiwa katika shughuli zingine, lakini yalipotokea mafuriko Msumbiji mara moja serikali ikapeleka misaada ya vyakula madawa na fedha!!!!, huu ni mfano mmoja kuonyesha jinsi Serikali ya Magu ilivyokuwa KATILI kwa raia wake na ndiyo maana hata CORONA akaiita "vimafua tu" huku roho zetu zikiangamia.

Ama kuhusu idadi ya watu waliokufa kwa Corona iwe ndogo au kubwa cha msingi ni je Serikali ilichukua hatua gani thabiti kupambana na CORONA ili kukinga raia wake, zipo nchi zilichukua hatua thabiti na zilikuwa ni mfano wa kuigwa duniani, mfano South Korea nk, pia zipo nchi zilichukua hatua lakini idadi ya watu waliokufa ikawa "Comparatively to us" kubwa licha ya kuchukua hatua, sasa hujiulizi kama wasingechukua hatua hali ingekuaje???.

Yapasa ujue kwamba Wazungu wanathiriwa sana na magonjwa ya jamii ya mafua ikiwemo hiyo Corona na hii ni kulingana na hali ya hewa ya huko kwao hiyo nayo imechangia pakubwa katika vifo vya CORONA sambamba na elderly aged kuwa wengi kuliko huku kwetu Africa, hivyo usisahau mazingira hayo mawili.

Juu ya yote serikali na viongozi makini ni wale wanaotaabika kushughulika na shida za watu wao kwa njia muafaka na katika muda muafaka.
 
Hapa hatuongelei juu ya idadi ya watu wakiokufa, tunaongelea juu ya tahadhari inayopaswa kuchukuliwa na serikali/Viongozi kukinga na hata kuwafariji raia wake kutokana na majanga.

Mfano, Kagera walikumbwa na janga asilia la tetemeko la ardhi, mkubwa yule alienda kwenye tukio huku Waathirika wakidhani wamekuja kufarijiwa na kupewa matumaini kinyume chake ilikuwa kejeli na masimango na kuvunjwa mioyo, eti wanaambiwa serikali haikuleta tetemeko na hakuna chakuka na masimango kadha wa kadha na hata fedha zilizochangwa kutoka nje na ndani ya nchi zililiwa au kutumiwa katika shughuli zingine, lakini yalipotokea mafuriko Msumbiji mara moja serikali ikapeleka misaada ya vyakula madawa na fedha!!!!, huu ni mfano mmoja kuonyesha jinsi Serikali ya Magu ilivyokuwa KATILI kwa raia wake na ndiyo maana hata CORONA akaiita "vimafua tu" huku roho zetu zikiangamia.

Ama kuhusu idadi ya watu waliokufa kwa Corona iwe ndogo au kubwa cha msingi ni je Serikali ilichukua hatua gani thabiti kupambana na CORONA ili kukinga raia wake, zipo nchi zilichukua hatua thabiti na zilikuwa ni mfano wa kuigwa duniani, mfano South Korea nk, pia zipo nchi zilichukua hatua lakini idadi ya watu waliokufa ikawa "Comparatively to us" kubwa licha ya kuchukua hatua, sasa hujiulizi kama wasingechukua hatua hali ingekuaje???.

Yapasa ujue kwamba Wazungu wanathiriwa sana na magonjwa ya jamii ya mafua ikiwemo hiyo Corona na hii ni kulingana na hali ya hewa ya huko kwao hiyo nayo imechangia pakubwa katika vifo vya CORONA sambamba na elderly aged kuwa wengi kuliko huku kwetu Africa, hivyo usisahau mazingira hayo mawili.

Juu ya yote serikali na viongozi makini ni wale wanaotaabika kushughulika na shida za watu wao kwa njia muafaka na katika muda muafaka.
Kama hatuongelei vifo na kuugua, tunachukua tahadhari ili kujiepusha na nini?!
 
Kama hatuongelei vifo na kuugua, tunachukua tahadhari ili kujiepusha na nini?!


Twende huko kwenye vifo.
Ni Idadi ya vifo na sio vifo, tofautisha idadi ya vifo na vifo.

Yaani kama Watanzania IDADI YETU YA VIFO ni ndogo kuliko kule ambako wamechukua tahadhari thabiti ya Corona na IDADI yao ya vifo ni kubwa basi sisi hatuna au hatukua na haja ya kuchukua tahadhari kama wao??!!----- hiyo kweli ni akili ya binadamu kamili???!!.

Maisha hata ya mtu mmoja yanathamani kubwa isiyopimika, assume ni wewe au mzazi wako, mwanao au mtu wako wa karibu sana awe ni miongoni mwa hao wachache waliofariki au watakaofariki utajisikiaje???--- jaribu kufikiri kwa kina rafiki yangu.

Kazi ya serikali ni ku provide wellbeing of its citizens at any cost, be it a citizen or half a citizen his/ her life matters to a keen government.

Tuache idadi tuzungumzie juu ya wajibu wa serikali, serikali inayowajibika ni sawa na yule askari aliyevuka the field of landmines akitumia metal detector na serikali isiyowajibika ni sawa na yule askari aliyevuka ile field recklessly na hiyo ndiyo ilikuwa serikali ya Magu in the case of Corona.
 
Hapa hatuongelei juu ya idadi ya watu wakiokufa, tunaongelea juu ya tahadhari inayopaswa kuchukuliwa na serikali/Viongozi kukinga na hata kuwafariji raia wake kutokana na majanga.

Mfano, Kagera walikumbwa na janga asilia la tetemeko la ardhi, mkubwa yule alienda kwenye tukio huku Waathirika wakidhani wamekuja kufarijiwa na kupewa matumaini kinyume chake ilikuwa kejeli na masimango na kuvunjwa mioyo, eti wanaambiwa serikali haikuleta tetemeko na hakuna chakuka na masimango kadha wa kadha na hata fedha zilizochangwa kutoka nje na ndani ya nchi zililiwa au kutumiwa katika shughuli zingine, lakini yalipotokea mafuriko Msumbiji mara moja serikali ikapeleka misaada ya vyakula madawa na fedha!!!!, huu ni mfano mmoja kuonyesha jinsi Serikali ya Magu ilivyokuwa KATILI kwa raia wake na ndiyo maana hata CORONA akaiita "vimafua tu" huku roho zetu zikiangamia.

Ama kuhusu idadi ya watu waliokufa kwa Corona iwe ndogo au kubwa cha msingi ni je Serikali ilichukua hatua gani thabiti kupambana na CORONA ili kukinga raia wake, zipo nchi zilichukua hatua thabiti na zilikuwa ni mfano wa kuigwa duniani, mfano South Korea nk, pia zipo nchi zilichukua hatua lakini idadi ya watu waliokufa ikawa "Comparatively to us" kubwa licha ya kuchukua hatua, sasa hujiulizi kama wasingechukua hatua hali ingekuaje???.

Yapasa ujue kwamba Wazungu wanathiriwa sana na magonjwa ya jamii ya mafua ikiwemo hiyo Corona na hii ni kulingana na hali ya hewa ya huko kwao hiyo nayo imechangia pakubwa katika vifo vya CORONA sambamba na elderly aged kuwa wengi kuliko huku kwetu Africa, hivyo usisahau mazingira hayo mawili.

Juu ya yote serikali na viongozi makini ni wale wanaotaabika kushughulika na shida za watu wao kwa njia muafaka na katika muda muafaka.
Siasa hizi.
 
Basi nadhani, no research, no right to speak, kaa kimya, acha kutupigia kelele, research kwanza.
Acha kutapata ili kutetea upumbavu wa Marehemu Mfalme JUha! Nimeshasema unaojaribu kuwatetea WANAFICHA UKWELI! Wewe unayesema kwamba eti "Mbona TZ wapo vizuri" huku ukimpamba Jiwe, ndie unatakiwa kutoa takwimu kwa sababu kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba Tanzania hawafanyi testing wala kutoa hizo takwimu! Wewe ndie umekuja na habari za RITA! Na ni wewe ndie umekazania kwamba Tanzania waathirika ni wachache! Weka hapa hizo takwimu vinginevyo, acha kulinganisha taifa linaloficha uhalisia na wale wanaoweka mambo ya wazi! Na ukijua hilo, ndipo utajua wewe ndie unatakiwa kupiga kimya!!!
 
Waingie step 2 kwa kupiga chini na hiyo michanjo fake waje bongo wajifunze tunavyoishi na virusi vya corona ka vile kule usukumani wanavyolala na mifugo sebulen. Ajaribu mzungu kuishi hata na kukutu tu chumba kimoja aone matokeo yake.
R.I.P Magufuli the Great!
 
Twende huko kwenye vifo.
Ni Idadi ya vifo na sio vifo, tofautisha idadi ya vifo na vifo.

Yaani kama Watanzania IDADI YETU YA VIFO ni ndogo kuliko kule ambako wamechukua tahadhari thabiti ya Corona na IDADI yao ya vifo ni kubwa basi sisi hatuna au hatukua na haja ya kuchukua tahadhari kama wao??!!----- hiyo kweli ni akili ya binadamu kamili???!!.

Maisha hata ya mtu mmoja yanathamani kubwa isiyopimika, assume ni wewe au mzazi wako, mwanao au mtu wako wa karibu sana awe ni miongoni mwa hao wachache waliofariki au watakaofariki utajisikiaje???--- jaribu kufikiri kwa kina rafiki yangu.

Kazi ya serikali ni ku provide wellbeing of its citizens at any cost, be it a citizen or half a citizen his/ her life matters to a keen government.

Tuache idadi tuzungumzie juu ya wajibu wa serikali, serikali inayowajibika ni sawa na yule askari aliyevuka the field of landmines akitumia metal detector na serikali isiyowajibika ni sawa na yule askari aliyevuka ile field recklessly na hiyo ndiyo ilikuwa serikali ya Magu in the case of Corona.
Okay, kama swala ni idadi ya vifo as you put it, then wafanya maamuzi tungependa kujua, idadi ya vifo huko walikochukua precautions, na sisi huku mnakodai tunapuuzia, viko tofauti?
 
Acha kutapata ili kutetea upumbavu wa Marehemu Mfalme JUha! Nimeshasema unaojaribu kuwatetea WANAFICHA UKWELI! Wewe unayesema kwamba eti "Mbona TZ wapo vizuri" huku ukimpamba Jiwe, ndie unatakiwa kutoa takwimu kwa sababu kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba Tanzania hawafanyi testing wala kutoa hizo takwimu! Wewe ndie umekuja na habari za RITA! Na ni wewe ndie umekazania kwamba Tanzania waathirika ni wachache! Weka hapa hizo takwimu vinginevyo, acha kulinganisha taifa linaloficha uhalisia na wale wanaoweka mambo ya wazi! Na ukijua hilo, ndipo utajua wewe ndie unatakiwa kupiga kimya!!!
Huna data, huna taarifa, na hutaki kuzitafuta kwenye mamlaka husika, sasa nina nini cha kujadili na wewe? Kaa kimya hadi utapofanya research.
 
Huna data, huna taarifa, na hutaki kuzitafuta kwenye mamlaka husika, sasa nina nini cha kujadili na wewe? Kaa kimya hadi utapofanya research.
Unatia huruma sana!!! Ikiwa unashindwa kuelewa hata post fupi iliyoandikwa kwa Kiswahili, una kipi unachokielewa?! Nimeshakuambia:-
Nchi ZOTE zinazoonesha maambukizi makubwa na vifo vingi vinaweka takwimu in daily basis wakati Tanzanai takwimu za mwisho zilitoka mwaka mmoja uliopita!!! Sasa utajifananishaje na wao? Utafahamu vipi idadi ya vifo TZ wakati hatuweki records? Utafahamu vp maambukizo ya TZ kisha tukajilinganisha na wenzetu wakati hatufanyi testing?
Sasa utatafutaje kitu ambacho hakipo na nimeshakueleza takwimu za mwisho zimetolewa April 2020? Wewe uliyeleta habari za RITA kwamba--
Labda nikuulize kivingine, kwa mujibu wa data za wasajili wa vizazi na vifo(RITA), idadi ya watu waliokufa kabla ya Corona kwa mwaka na idadi ya watu waliokufa baada ya corona kwa mwaka, ina utofauti?
Weka hapa hizo takwimu unazosema "kwa mujibu wa data za RITA"!!! Nini kinakushinda wakati ni wewe mwenyewe ndie umesema "kwa mujibu wa data za RITA?! Yaani RITA uitaje wewe halafu unaniambia mimi ndie nikutafutie wakati nimeshakuambia hakuna!!! Weka hizo za "kwa mujibu wa data za RITA" na kama usinipotezee muda wangu!!
 
Back
Top Bottom