AiseeeeMkuu ze kokuyo, sio "uingereza kuipatia" bali ni kwamba uingereza tayari ameshaikabidhi Ukraine hayo makombora!View attachment 2617958
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Vipi bwana wewe ndio ugly hivyo hadi comments..!!Waendelee tu kitoa misaada. Haitabadili chochote. SMO bodo itaendelea mpaka malengo yafikiwe
Muingereza akisema "Nita" ujue "Tayari kitambo"Mkuu ze kokuyo, sio "uingereza kuipatia" bali ni kwamba uingereza tayari ameshaikabidhi Ukraine hayo makombora!View attachment 2617958
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hanaga kulemba huyu min- super pawer!Muingereza ak8sema "Nita" ujue "Tayari kitambo"
Nikukumbushe TU Toka 2014 wapo Uikrane,,,Nini kilichobadilisha upepo wa SMO?Uzuri wa Uingereza huwa hanaga maneno mengi kama German. Yeye akisema leo kesho kashafikisha.
Ndio maana Uingereza aliweza kuitawala karibia nusu ya Dunia. Na ndio English ni lugha kubwa dunianiUzuri wa Uingereza huwa hanaga maneno mengi kama German. Yeye akisema leo kesho kashafikisha.
Nani wapo Ukraine tangu 2014? SijakuelewaNikukumbushe TU Toka 2014 wapo Uikrane,,,Nini kilichobadilisha upepo wa SMO?
Wanazi Kwa Sasa wanajulikana kama NATO.Nani wapo Ukraine tangu 2014? Sijakuelewa
Unaambiwa mzigo tayari upo kwenye ardhi ya Ukraine.Uzuri wa Uingereza huwa hanaga maneno mengi kama German. Yeye akisema leo kesho kashafikisha.
Unafiki tu umewajaa, miaka na miaka Israeli anauwa nini kule palestina??Wizara ya Ulinzi ya Uingereza imepeleka makombora ya masafa marefu aina ya STORM SHADOW CRUISE MISSILES nchini Ukraine kwa mara ya kwanza. Makombora hayo yanashambulia umbali wa 300km ambayo ni sawa na umbali wote wa Jimbo la Crimea na yanaweza kushambulia mpaka maeneo mbalimbali ndani ya Urusi.
Awali, Ukraine ilitaka kupewa Makombora ya ATACMS kutoka Marekani yenye uwezo sawa na hayo ya Uingereza. Lakini Makombora ya STROM SHADOW hurushwa kupitia ndege za kivita wakati yale ya ATACMS hurushwa kutoka Ardhini kwa kutumia mifumo ya HIMARS.
Wachambuzi wa Masuala ya kijeshi wanasema kwamba Makombora hayo yataisaidia Jeshi la Ukraine kulipiga daraja la KERCH BRIDGE ambalo ndio njia pekee inayounganisha rasi ya Crimea na Urusi bara.
‘We simply will not stand back while Russia kills civilians,’ says UK defence chief Ben Wallace, announcing military aid UK sends Ukraine long-range cruise missiles to fight Russia