Uingereza kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu

Uingereza kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu

Hayo makombora UK walikuwa nayo kwenye maghala maana yalitumika kwenye uvamizi wa Iraq mwaka 2003.

Yamekaa ghalani zaidi ya miaka 25 hivyo wayatoa yakalipuliwe huko Ukraine.

Lengo ni kuyatumia hayo ili kupisha makombora ya kisasa zaidi ambayo sasa hivi yapo kwenye "production line".

Russia imesema itachukua hatua za kukabiliana na hatua hiyo na itachokifanya ni kupelekea uwanja wa vita silaha za kisasa zaidi ya hizo ili kuonyesha kwamba nao wana silaha "more advanced".

Tukumbuke kwamba Russia nayo imekuwa ikitumia silaha za zamani sana ili kusafisha maghala yake na sasa hivi wakiona hawana jinsi wataleta silaha za kisasa zaidi na huenda hapo ndipo vita itapomalizika.

Ukraine yazidi kuharibiwa na wanajeshi wake nao wazidi kuuawa vitani kila kikicha.
Tukiondoa Nukes, ni silaha gari haipo Ukraine kwa upande wa Russia?
 
Kilisaidia russia kuchinjwa kama kuku airport kiev, kilibadilisha msururu wa vifaru vyoote kuwa majivu, kilisaidia mpaka leo kiev wamefeli kuikamata, kimesaidia Bakhmut leo mwezi wa 11 Super power bado anapunga kamasi
Miezi 11 Bakhmut Ina faida Kwa Russia,kadri muda unavoenda kiranja wa dunia anaumia yeye.
Screenshot_20230430-113713.jpg
 
Russia inaenda kuipiga UK na UK itapata funzo la milele..
Unaota mchana na sijui unaweweseka ukiwa wapi!
Atakae pata fundisho ni puti kwa uchu wake wa kuivamia Ukreine!
 
Russia inaenda kuipiga UK na UK itapata funzo la milele..
Ulaya nzima sidhani Kama Kuna taifa la kuweza kupambana kivita na Uingereza. Uingereza ni habari nyingine. Msifikirie Russia anaweza akathubutu kwa muingereza. USA mwenyewe anafata matakwa ya waingereza. Na wenye power waliopo USA ni uzao kutoka Uingereza
 
Urusi kakaguliwa sana kaonekana ana kelele nyingi kama nyuki wa mashine angekua ana madhara hawa jamaa wasingethubutu kutoa misaada tena kwa kutangaza naona Dicteta mwingine anaondoka karibuni tuliaminishwa matango pori sana kuhusu Russia sijui wale wachambuzi wamehamia wapi....
 
Ulaya nzima sidhani Kama Kuna taifa la kuweza kupambana kivita na Uingereza. Uingereza ni habari nyingine. Msifikirie Russia anaweza akathubutu kwa muingereza. USA mwenyewe anafata matakwa ya waingereza. Na wenye power waliopo USA ni uzao kutoka Uingereza
Kwa sasa kwa ulaya mwenye nguvu kijeshi naona german
 
Urusi kakaguliwa sana kaonekana ana kelele nyingi kama nyuki wa mashine angekua ana madhara hawa jamaa wasingethubutu kutoa misaada tena kwa kutangaza naona Dicteta mwingine anaondoka karibuni tuliaminishwa matango pori sana kuhusu Russia sijui wale wachambuzi wamehamia wapi....
Angekua Hanaadhara nadhani wangemfanyia kama walivyoifanya Serbia/Yugoslavia.
Tuliona umoja wa NATO ukiingiza majeshi kamili,sio misaada ya silaha.
Hata M23 wanapewa misaada ya silaha na maswahiba wao.
 
UPDATE: Russia yatoa vitisho kwa Uingereza baada ya kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu

Russia threatens Britain with 'adequate response from its military' after UK sends ‘Storm Shadow’ missiles to Ukraine
11 May 2023, 14:03 | Updated: 11 May 2023, 15:52

Russia threatens Britain with 'adequate response from its military' after UK sends ‘Storm Shadow’ missiles to Ukraine
Mnashangilia Ukraine kupewa silaha na mataifa makubwa lakini hamkubali kua Ukraine haipigani peke yake.
Kwa kifupi Urusi inapigana na NATO.ukraine ni jeshi la NATO.
 
The Chernyshev factory in Moscow, which produces engines for MiG-29 fighter jets, has been in fire since this morning.

How unfortunate…

 
Angekua Hanaadhara nadhani wangemfanyia kama walivyoifanya Serbia/Yugoslavia.
Tuliona umoja wa NATO ukiingiza majeshi kamili,sio misaada ya silaha.
Hata M23 wanapewa misaada ya silaha na maswahiba wao.
Urusi ni tofauti na tulivyoaminishwa na pia alisema yeyote atakaetia mguu au kusaidia kwa njia yeyote atamsambaratisha angebaki na Ukubwa wake wa kutishia kama USA tuu wakati wote vita vinawasumbua...
 
Je wapalestine wanaporusha maroketi na kuwachoma visu wayahudi au kuwagonga na gari saa nyingine kuwashambulia kwa silaha wale mbuzi mbona hamuongei
Wana haki ya kufanya hivyo kwasababu wanapigania haki yao, kila siku nyumba zao zinabomolewa kwa kupisha expansion ya Israeli. Gaza kama wapo magereza wamwfungiwa pande zote hakuna kitu kinachoingia Gaza. Everywhere roadblock kama vile ni watu ambao hawatakiwi hapa ulimwenguni na hakuna watu wa kuwasemea. Unataka wao wafanyaje kupigania uhuru wao?
 
Mnashangilia Ukraine kupewa silaha na mataifa makubwa lakini hamkubali kua Ukraine haipigani peke yake.
Kwa kifupi Urusi inapigana na NATO.ukraine ni jeshi la NATO.
Wakati US inapigana na Vietnam hatukuwahi sema kwamba inapigana na USSR (Usovieti ilikua ikimsaidia vifaa vya kijeshi Vietnam) iweje Leo tuseme Russia inapigana US na NATO kisa tu Ukraine inasaidiwa vifaa na hzo nchi?!
 
Wakati US inapigana na Vietnam hatukuwahi sema kwamba inapigana na USSR (Usovieti ilikua ikimsaidia vifaa vya kijeshi Vietnam) iweje Leo tuseme Russia inapigana US na NATO kisa tu Ukraine inasaidiwa vifaa na hzo nchi?!
Nani kakudanganya Ukraine inasaidiwa silaha tu?
 
Tukiondoa Nukes, ni silaha gari haipo Ukraine kwa upande wa Russia?
Hiyo ni siri yao Russia.

Ila ile ilotumika wiki chache zilopita ndizo zimefanya uharibifu mkubwa ni ile ya "glide" ambayo hubebwa na ndege za Sukhoi -Su 24M ambazo ni moja ya ndege mpya za kivita.

TELEMMGLPICT000255278571_trans_NvBQzQNjv4BqNr7buqbkV04AEATLFYLNjAsIcagKWDTsYii0WZbrxoU.jpeg

Sukhoi- Su 24M

Ndo maana hata wakati wa sherehe za juzi hawakutaka kuonyesha ni silaha gani mpya wanazo.

Lakini kwa kuwa UK ameamua kuchukua "risk" kutoa hizo silaha zake, Russia yeye kasema atajibu kwa namna yake.

Lakini hilo halitabadilisha mwenendo wa vita.
 
Back
Top Bottom