Uingereza kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu

Uingereza kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu

Wasipige tu kelele pale mataifa rafiki wa Urusi watakapopeleka na wao silaha waziwazi maana huko ndiko wanakotaka tufike
Hv una akili timamu ? Kumpa silaha urusi sio kosa ila kosa ni kwenda kutumika kuua raia wa ukraine , huko ni sawa na kushiriki ugaidi , west wanampa msaada ukraine atumie silaha ndani ya nchi yake sio kupiga ardhi ya urusi ,VICHWA MAJI MNASHINDWA ELEWA HATA HILI PIA
 
Waziri wa ulinzi wa Uingereza amethibitisha kwamba nchi yake itaipatia Ukraine makombora ya masafa marefu ili kuweza kupiga shabaha za mbali.

Makombora hayo ya Storm shadow yanaweza piga shabaha hadi 300km huku yakiruka karibu kabisa na ardhi ili kukwepa kuonwa na rada za adui.

Hapo awali Urusi iliionya Uingereza juu ya uamuzi wa kutaka kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu kwamba ingejibu vikali Jambo hilo.

Ben Wallace akithibisha UK kutoa makombora hayo




Harufu kali ya WW III inaanza kunuka.
 
Yanayopelekwa Ukraine ni ya kupiga 250km-300km.
Hatari sana linabebwa ktk tumbo la ndege-vita kisha linafyatuliwa kutoka ktk ndege-vita ikiwa kilometa 250 mbali na eneo liliokusudiwa kuangamizwa. Hii inatoa uhakika wa usalama wa rubani.

Kombora hili linalokwenda kwa kujificha likifyatuliwa hukimbilia kwenda chini chini huku likikwepa vilima, milima, mabonde na radar za adui kisha huibuka inapokaribia eneo lilokusudia kwa kwenda kasi juu sana angani na kurudi kama 'kivuli' kinachokimbia kwa kasi ya 600mph kwa saa kujipigiza kwa adui.

Mchoro huo hapo chini jinsi linavyoambaa kumbamiza adui kimachale chale kwa kilometa 250 baada ya kuvyatuliwa. Lazima askari wavamizi wa Russia warudi nyuma na kuachia maeneo ya Ukraine kwa hofu ya silaha hii ya kombora lililopachikwa modeli ya Kivuli- Jinamizi a.k.a storm shadow

Miji ya Russia pia inakuwa ndani ya hatari ya kufikiwa na kombora hili lenye akili bandia.

1683847809778.png


The Storm Shadow cruise missile has a range of over 250km (155 miles), according to the manufacturer. BBC News.
 
CNN reported that the UK has supplied Ukraine with long-range air-launched Storm Shadow cruise missiles.

The declared range of this cruise missile is over 250 km in the export version, and up to 560 km for the French and British armies. Theoretically, the first modification will allow the Ukrainian army to strike not only the entire occupied territory of Ukraine and Crimea, but also many cities in Russia. For example, Bryansk, Klintsy, Oryol, Kursk, Stary Oskol, Voronezh, and Belgorod could theoretically be targeted.

A Western official told CNN that the UK has received assurances from the Ukrainian government that these missiles will only be used within the sovereign territory of Ukraine and not to strike Russian territory. Source : https://mind.ua/en/news/20257223-br...-shadow-missiles-with-a-range-of-up-to-300-km
 
Wapo hapo??Putin ameshachemka tayari,anashindwa ni namna gani atajiondoa Ukraine!!kweli S.AFRICA ni wa kumsaidia URUSI,silaha??Ila hii vita imeweka ukweli wazi kwani tulikuwa tunaambiwa Urusi ni balaa ,yaani US,hawezi chochote!!?sasa kweli Ukraine yeye hashambulii bali ana jilinda tu ndio hivyo,sasa ngekuwa na yeye anashambulia?!Ila NATO wameamua kumkomoa tu,mdogodogo hawataki vita iishe mapema!!
Wanapotaka tutafika tu
 
Wapo hapo??Putin ameshachemka tayari,anashindwa ni namna gani atajiondoa Ukraine!!kweli S.AFRICA ni wa kumsaidia URUSI,silaha??Ila hii vita imeweka ukweli wazi kwani tulikuwa tunaambiwa Urusi ni balaa ,yaani US,hawezi chochote!!?sasa kweli Ukraine yeye hashambulii bali ana jilinda tu ndio hivyo,sasa ngekuwa na yeye anashambulia?!Ila NATO wameamua kumkomoa tu,mdogodogo hawataki vita iishe mapema!!
Toka mwaka jana March NATO walisema wametenga bajeti ya kuifadhili Ukraine kwa miaka mitano.

Wajinga wajinga wakapuuza. Wakasema vitw haimalizi mwezi tayari Ukraine ameshachakazwa vibaya. Mwaka umekatika tunaanza kuutafuta wa pili.
 
Waziri wa ulinzi wa Uingereza amethibitisha kwamba nchi yake itaipatia Ukraine makombora ya masafa marefu ili kuweza kupiga shabaha za mbali.

Makombora hayo ya Storm shadow yanaweza piga shabaha hadi 300km huku yakiruka karibu kabisa na ardhi ili kukwepa kuonwa na rada za adui.

Hapo awali Urusi iliionya Uingereza juu ya uamuzi wa kutaka kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu kwamba ingejibu vikali Jambo hilo.

Ben Wallace akithibisha UK kutoa makombora hayo


Hayo makombora UK walikuwa nayo kwenye maghala maana yalitumika kwenye uvamizi wa Iraq mwaka 2003.

Yamekaa ghalani zaidi ya miaka 25 hivyo wayatoa yakalipuliwe huko Ukraine.

Lengo ni kuyatumia hayo ili kupisha makombora ya kisasa zaidi ambayo sasa hivi yapo kwenye "production line".

Russia imesema itachukua hatua za kukabiliana na hatua hiyo na itachokifanya ni kupelekea uwanja wa vita silaha za kisasa zaidi ya hizo ili kuonyesha kwamba nao wana silaha "more advanced".

Tukumbuke kwamba Russia nayo imekuwa ikitumia silaha za zamani sana ili kusafisha maghala yake na sasa hivi wakiona hawana jinsi wataleta silaha za kisasa zaidi na huenda hapo ndipo vita itapomalizika.

Ukraine yazidi kuharibiwa na wanajeshi wake nao wazidi kuuawa vitani kila kikicha.
 
Back
Top Bottom