Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Wasipige tu kelele pale mataifa rafiki wa Urusi watakapopeleka na wao silaha waziwazi maana huko ndiko wanakotaka tufikeWaziri wa ulinzi wa Uingereza amethibitisha kwamba nchi yake itaipatia Ukraine makombora ya masafa marefu ili kuweza kupiga shabaha za mbali.
Makombora hayo ya Storm shadow yanaweza piga shabaha hadi 300km huku yakiruka karibu kabisa na ardhi ili kukwepa kuonwa na rada za adui.
Hapo awali Urusi iliionya Uingereza juu ya uamuzi wa kutaka kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu kwamba ingejibu vikali Jambo hilo.
Ben Wallace akithibisha UK kutoa makombora hayo
Ukraine NATO hawapo mpaka dakika hii tunaongea.Wanazi Kwa Sasa wanajulikana kama NATO.
Urusi sasa anapigwa kama ngoma, zile ndaro zake ata hazifanyi tena kazi ashasema sana jamaa ata hawamsikilizi tena mizigo yaendelea kutumwa tu 24hrs, Leo wapiganaji wa Urusi wametakiwa ku-retreat na jeshi la Ukraine kule Bakhmut counter offensive imekuwa successfully kabisaWaziri wa ulinzi wa Uingereza amethibitisha kwamba nchi yake itaipatia Ukraine makombora ya masafa marefu ili kuweza kupiga shabaha za mbali.
Makombora hayo ya Storm shadow yanaweza piga shabaha hadi 300km huku yakiruka karibu kabisa na ardhi ili kukwepa kuonwa na rada za adui.
Hapo awali Urusi iliionya Uingereza juu ya uamuzi wa kutaka kuipatia Ukraine makombora ya masafa marefu kwamba ingejibu vikali Jambo hilo.
Ben Wallace akithibisha UK kutoa makombora hayo
Utafikiri unakaa Moscow vile kumbe unakaa Vigwaza.Wanapotaka tutafika tu
Maana yake siku yoyote watu watakosa kurudi makwao maana nyanja za kuwafikisha hazitakuwepoMkuu ze kokuyo, sio "uingereza kuipatia" bali ni kwamba uingereza tayari ameshaikabidhi Ukraine hayo makombora!View attachment 2617958
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Twasubiri Urusi afanye RTS (Return To Sender) kama alivyo ahidi, tuone kama UK ataguswaUzuri wa Uingereza huwa hanaga maneno mengi kama German. Yeye akisema leo kesho kashafikisha.
Hata kwenye vifaru alianza UK kutoa Challenger, Marekani na Ujerumani wakatoa Abrams na LeopaldsWizara ya Ulinzi ya Uingereza imepeleka makombora ya masafa marefu aina ya STORM SHADOW CRUISE MISSILES nchini Ukraine kwa mara ya kwanza. Makombora hayo yanashambulia umbali wa 300km ambayo ni sawa na umbali wote wa Jimbo la Crimea na yanaweza kushambulia mpaka maeneo mbalimbali ndani ya Urusi.
Awali, Ukraine ilitaka kupewa Makombora ya ATACMS kutoka Marekani yenye uwezo sawa na hayo ya Uingereza. Lakini Makombora ya STROM SHADOW hurushwa kupitia ndege za kivita wakati yale ya ATACMS hurushwa kutoka Ardhini kwa kutumia mifumo ya HIMARS.
Wachambuzi wa Masuala ya kijeshi wanasema kwamba Makombora hayo yataisaidia Jeshi la Ukraine kulipiga daraja la KERCH BRIDGE ambalo ndio njia pekee inayounganisha rasi ya Crimea na Urusi bara.
‘We simply will not stand back while Russia kills civilians,’ says UK defence chief Ben Wallace, announcing military aid UK sends Ukraine long-range cruise missiles to fight Russia
Poland anamtamani sana RussiaUingereza na Poland ndio wamekuwa Pacesetters wa West katika hii vita.
NATO ingejiunga hii vita muda mrefu ingeshafika dunia nzimaUkraine NATO hawapo mpaka dakika hii tunaongea.
ThubutuRussia inaenda kuipiga UK na UK itapata funzo la milele..
Safi sana kwanini Urusi aue watu bila hatiaWizara ya Ulinzi ya Uingereza imepeleka makombora ya masafa marefu aina ya STORM SHADOW CRUISE MISSILES nchini Ukraine kwa mara ya kwanza. Makombora hayo yanashambulia umbali wa 300km ambayo ni sawa na umbali wote wa Jimbo la Crimea na yanaweza kushambulia mpaka maeneo mbalimbali ndani ya Urusi.
Awali, Ukraine ilitaka kupewa Makombora ya ATACMS kutoka Marekani yenye uwezo sawa na hayo ya Uingereza. Lakini Makombora ya STROM SHADOW hurushwa kupitia ndege za kivita wakati yale ya ATACMS hurushwa kutoka Ardhini kwa kutumia mifumo ya HIMARS.
Wachambuzi wa Masuala ya kijeshi wanasema kwamba Makombora hayo yataisaidia Jeshi la Ukraine kulipiga daraja la KERCH BRIDGE ambalo ndio njia pekee inayounganisha rasi ya Crimea na Urusi bara.
‘We simply will not stand back while Russia kills civilians,’ says UK defence chief Ben Wallace, announcing military aid UK sends Ukraine long-range cruise missiles to fight Russia
masafa marefu ili kuweza kupiga shabaha za mbali
Yanayopelekwa Ukraine ni ya kupiga 250km-300km. Waziri wa ulinzi wa UK kalieleza Bunge baadae watafikiria kutuma za kuweza kupiga zaidi ya 300km.Kilometa 560 hatari sana itabidi Russia iachie maeneo yote wanayokalia ya Ukraine maana yake majimbo yote ya Ukraine yaliyo chini ya vibaraka wa Russia yanarudi.
Urusi akitoka ukraine ndo amani itapatikana , kila mtu akae kwakeWanapotaka tutafika tu
Mara SMO mara VITA , chaguen mojaWaendelee tu kitoa misaada. Haitabadili chochote. SMO bodo itaendelea mpaka malengo yafikiwe
Ndo walivamia ukraine?Wanazi Kwa Sasa wanajulikana kama NATO.