Uingereza kuipelekea Ukraine Makombora ya kujikinga dhidi ya mabomu ya Urusi yanayoshambulia uraiani

Uingereza kuipelekea Ukraine Makombora ya kujikinga dhidi ya mabomu ya Urusi yanayoshambulia uraiani

Dah hv hata neno gaid unalijuwa , Putin uchaguz wake ulikuwa wa kimagumashi sana huez mfananisha na kipenz cha watu Zele , Putin anaeza beba sifa ya ugaidi maana yupo kweny ya jiran
Kua kwenye nchi ya jiran na kua kwenye nchi ya mbali upi ugaidi!!?

RUSSIA analinda usalama wake nawa DUNIA
UKRAINE hawana zaidi ya UGAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua kwenye nchi ya jiran na kua kwenye nchi ya mbali upi ugaidi!!?

RUSSIA analinda usalama wake nawa DUNIA
UKRAINE hawana zaidi ya UGAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
hv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)
 
hv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)
Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia

Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia

Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote

US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN

wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA

SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa

VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US

Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha

Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika

Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea

Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi

Tulia ugangwe maradhi sikitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia

Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia

Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote

US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN

wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA

SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa

VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US

Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha

Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika

Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea

Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi

Tulia ugangwe maradhi sikitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?

Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
 
Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia

Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia

Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote

US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN

wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA

SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa

VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US

Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha

Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika

Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea

Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi

Tulia ugangwe maradhi sikitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?

Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
 
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?

Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
Mataifa yapatayo Tisa Yana silaha za nyukria.., hivyo urusi akivuka huu msitari mwekundu atachakazwa asimulie mpaka kizazi Cha nne [emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
hv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)
Hawa jamaa ukiwachunguza kwa makini utagundua wengi wao Wana mtindio wa ubongo [emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Mwisho wa putin aka pumbavu utakuwa mbaya sana wazungu sio watu wazuri huwa hawachi mapaka litimie

Wameharibu uchumi kisha watamtoa madarakani

USSR
Nadhani Unasikia Tu Russia wewe na unaota ndoto
Russia sio Mali au Djibout...
 
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?

Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
Mkuu kwani wewe ni shoga? Maana kila comment yako unaongelea ushoga
 
"No nation has the right to make decisions for another nation; no people for another people."

Julius Kambarage Nyerere

Ujumbe wa Mwalimu kwa Russia
 
Uingereza zamani sio siku hizi, linapo kuja suala la uundaji wa very effective integrated air defense system na stealth drones hata Iran inawashinda - Wachina ndio kabisaa hao wako light years ahead of them British!!

Ninacho wasifu Waingereza ni kwenye masuala ya propaganda na uchonganishi na kutunga stori za uongo na kweli, leo wanaweza kukwambia Putin atakula nini for breakfast kesho asubuhi, Russia imeishiwa high precision missiles, Majenerali wa Urusi wamepanga kumuondoa Putin madarakani wiki ijayo nk - taarifa zao nyingi ni kero tupu.

Cha ajabu Waingereza bado wangali wanajiona kama ka-mini super power vile!!
 
Back
Top Bottom