Uingereza kuipelekea Ukraine Makombora ya kujikinga dhidi ya mabomu ya Urusi yanayoshambulia uraiani

Uingereza kuipelekea Ukraine Makombora ya kujikinga dhidi ya mabomu ya Urusi yanayoshambulia uraiani

Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia

Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia

Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote

US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN

wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA

SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa

VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US

Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha

Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika

Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea

Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi

Tulia ugangwe maradhi sikitu

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna sehem nimetaja USA , Jikite kweny mada ,URUSI VS UKRAINE tuambie Ukraine kahatalisha amani ya dunia km huyo mnywa damu za watu wa Georgia , Finland , Beralus , Moldova , Syria Afghanstan , Ukraine , Kalingard , Venezuela , Poland etc , la sivyo ww ni "TEAMKUPUMULIWA"
 
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?

Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
mwenzio mpk sasa kashindwa kutetea hoja yake , nimemuuliza kvp UKRAINE inahatarisha aman ya dunia ? na kuiona Urusi ni taifa jema wkt imeua sana huko Beralus , Moldova , Poland , Georgia., Finland , Japan , Syria , Afghanstan , Venezuela , Ukraine etc . TETEA BILA KUINGIZA USA KWENY JIBU LAKO MAANA KAVAMIWA UKRAINE ,SO NI UKRAINE VS URUSI , NAN MSAFI ?
 
Ila kwao UCHUMI wao unaimarika eeeh [emoji16][emoji23][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mungu mkubwa, kawageuzia kibao majangili hawa wenye roho ya kutu, uchumi wa US,EU tuseme mataifa karibu yote ya magharibi yenye kuwatakia mambo mabaya Urusi hasa Putin - wote uchumi wao hali tete sana huku uchumi wa Urusi ukiendelea kuimarika, Biden na genge lake ovu wanabaki kushangazwa kwa kile kinacho endelea huko Urusi kwenye masuala uimarikaji wa uchumi!!

Binafsi sizisikitii nchi za barani Ulaya kwa kukubali kwao kuingizwa mkenge na Merikani kama mazezeta vile, sasa angalia viwanda vyao vingi vinafungwa kutokana na gharama za ununuzi wa nishati kutoka Merikani bei yake kuwa kubwa mno, viwanda vinashindwa kupata faida, watu wanakosa ajila - halafu Amerika wasivyo na aibu wanayambia mataifa ya Ulaya yahamishie viwanda vyao kwenda huko Merikani-we fikiria, yaani Merikani imedhamilia ku-deindustrialise Ulaya kiaina - ili Ulaya yote ibaki kuwa tegemezi kwa Merikani kwa kila kitua very clever ploy.

Tunao juwa vizuri siasa za Merikani kuhusu bara la Ulaya tunajua kwamba tangu miaka mingi, hasa hasa baada ya WW2 Amerika huwa haitaki nchi za Ulaya kujitegemea kiuchumi na kijeshi, ndio maana muda wote Merikani upanga njama za ku-draw a wedge kati ya Urusi na mataifa ya Ulaya specifically Ujerumani ambayo ina uchumi mkubwa barani Ulaya - mawazo potofu ya Merikani ufikiri Ujerumani ikiwa karibu sana na Urusi kwenye masuala ya biashara na Uchumi, basi Nchi za Ulaya zinaweza kuisahau Amerika na kuiona haina umuhimu wowote ndani ya bara la Ulaya, si utani Amerika ina hofu sana kwamba siku moja wanaweza kuambiwa waondoe military bases zao barani Ulaya ili Ulaya nayo ianze kujitegemea kwenye masuala ya Ulizi bila ya kuendelea kutegemea Merikani - kitu hii huwa inawakosesha sana usingizi Merikani, hata mgogoro wa Ukraine unakuzwa sana na Merikani kwa sababu hizo hizo za kutaka kuzizuga mataifa ya Ulaya kwamba hayawezi kuwa salama bila ya ulinzi wa jeshi la Merikani kwa kuwa Urusi ni adui mkubwa wa bara lote la Ulaya - ukweli wa mambo ni kwamba madai yote hayo ya Merikani dhidi ya Urusi ni ulaghai mtupu wenye lengo la ku-demonise Russia ili Merikani majeshi ya Merikani na military bases zake ziendelee kubaki barani Ulaya daima duni !!
 
hakuna sehem nimetaja USA , Jikite kweny mada ,URUSI VS UKRAINE tuambie Ukraine kahatalisha amani ya dunia km huyo mnywa damu za watu wa Georgia , Finland , Beralus , Moldova , Syria Afghanstan , Ukraine , Kalingard , Venezuela , Poland etc , la sivyo ww ni "TEAMKUPUMULIWA"
Yaan hata utukane vp naona kama umenisalimia tuuu

Kama damu anaiona tamu acha ainywe kama munaumia mukamtoe UKRAINE mkiona hamuwezi endeleeni kulaani tu hapa kwenye kibod

RUSSIA anapambana na UGAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna sehem nimetaja USA , Jikite kweny mada ,URUSI VS UKRAINE tuambie Ukraine kahatalisha amani ya dunia km huyo mnywa damu za watu wa Georgia , Finland , Beralus , Moldova , Syria Afghanstan , Ukraine , Kalingard , Venezuela , Poland etc , la sivyo ww ni "TEAMKUPUMULIWA"
Yaan hata utukane vp naona kama umenisalimia tuuu

Kama damu anaiona tamu acha ainywe kama munaumia mukamtoe UKRAINE mkiona hamuwezi endeleeni kulaani tu hapa kwenye kibod

RUSSIA anapambana na UGAIDI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwenzio mpk sasa kashindwa kutetea hoja yake , nimemuuliza kvp UKRAINE inahatarisha aman ya dunia ? na kuiona Urusi ni taifa jema wkt imeua sana huko Beralus , Moldova , Poland , Georgia., Finland , Japan , Syria , Afghanstan , Venezuela , Ukraine etc . TETEA BILA KUINGIZA USA KWENY JIBU LAKO MAANA KAVAMIWA UKRAINE ,SO NI UKRAINE VS URUSI , NAN MSAFI ?
Msafi RUSSIA sababu kaenda pale kuwazuia MANAZI ambao wapo na misimamo mikali

Nawalikua wanaieneza ULAYA na DUNIANU kote

Wangefanikiwa hawa nihatari zaidi ya ALSHABAB na BOKO HARAM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Falacy nimesoma st.petersburg miaka mitano naijua sana Russia sio kama wewe kilaza wa jalalani

USSR
Kumbe ukisoma russia unaku unaijua russia basi hata mimi naijuaa nibaki kusema haya russia sio zimbabwee
 
Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia

Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia

Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote

US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN

wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA

SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa

VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US

Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha

Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika

Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea

Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi

Tulia ugangwe maradhi sikitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukraine naye yupo kwenye msako wa kuua magaidi waliovamia nchi.
 
Mrusi anawafilisi mpaa Mjerumani analia eti stock yake imebaki ya siku mbili tu, US kilio anasema kisha poteza zaidi ya 49% ya stock zake za kisasa labda ampe stock za zamani na hizo pia hana nyingi, sa huyo Muingereza yeye mwenyewe njaa ataweza kweli kuwasaidia Ukraine

 
Kwa nini Wasipeleke Long Range Missile, Sasa kujilinda tu bila kurusha hata ngumi nzito inamaana gani kwenye uwanja wa Mapambano, Western Waoga sana.
 
Mrusi anawafilisi mpaa Mjerumani analia eti stock yake imebaki ya siku mbili tu, US kilio anasema kisha poteza zaidi ya 49% ya stock zake za kisasa labda ampe stock za zamani na hizo pia hana nyingi, sa huyo Muingereza yeye mwenyewe njaa ataweza kweli kuwasaidia Ukraine



Waigereza mbwembwe nyingiii - bado wangali wanasambuliwa na remnant colonial mentality - for a starter, Geopolitically UK don't counts at all, wanavimbishwa kichwa na Wamerikani in their so called special relationship (Anglo- Saxon) ni hilo tu.
 
Urusi alivyoichukua Crimea kirahisi alidhani na sasa hivi atachukua kirahisi mpaka anaenda motoni hawezi kuanzisha vita tena kwa jinsi anavyopigwa huko front line anatamani asingepeleka wanajeshi hawa wa awamu ya pili voda faster maana wanatekwa huko balaa...
 
Urusi alivyoichukua Crimea kirahisi alidhani na sasa hivi atachukua kirahisi mpaka anaenda motoni hawezi kuanzisha vita tena kwa jinsi anavyopigwa huko front line anatamani asingepeleka wanajeshi hawa wa awamu ya pili voda faster maana wanatekwa huko balaa...
Hahahaaa!!! Na hao voda faster jana wamefanya unyama kwa kamanda wao mkuu wamemuua na kisha wakawacliana na UKRAINE jinsi ya kujisalimisha. Mpk ss wao ni mateka
 
Hahahaaa!!! Na hao voda faster jana wamefanya unyama kwa kamanda wao mkuu wamemuua na kisha wakawacliana na UKRAINE jinsi ya kujisalimisha. Mpk ss wao ni mateka
Daah mimi mara nyingi nakua kwa mnyonge sasa hivi nawaombea Voda faster waendelee kujisalimisha maana wamepelekwa bila ridhaa yao...
 
Back
Top Bottom