Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kua kwenye nchi ya jiran na kua kwenye nchi ya mbali upi ugaidi!!?Dah hv hata neno gaid unalijuwa , Putin uchaguz wake ulikuwa wa kimagumashi sana huez mfananisha na kipenz cha watu Zele , Putin anaeza beba sifa ya ugaidi maana yupo kweny ya jiran
Ila kwao UCHUMI wao unaimarika eeeh [emoji16][emoji23][emoji16]Mwisho wa putin aka pumbavu utakuwa mbaya sana wazungu sio watu wazuri huwa hawachi mapaka litimie
Wameharibu uchumi kisha watamtoa madarakani
USSR
Story za vijiwe vya kahawaKama tuliweza zima satellite ya Elon musk hatushindwi Haha
Mwendo wa jammer
HIMARS mpaka sasa zinafanya kazi nzuri sana, hizi ndio zimemkalia kooni Mrusi.Kichapo kipo pale pale hata HIMARS mliimba hizi pambio...
Kooni upande gani maana hali inakuwa mbaya kila kukicha.HIMARS mpaka sasa zinafanya kazi nzuri sana, hizi ndio zimemkalia kooni Mrusi.
Kama anazo vipi anashambuliwa mji mkuuHIMARS mpaka sasa zinafanya kazi nzuri sana, hizi ndio zimemkalia kooni Mrusi.
hv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)Kua kwenye nchi ya jiran na kua kwenye nchi ya mbali upi ugaidi!!?
RUSSIA analinda usalama wake nawa DUNIA
UKRAINE hawana zaidi ya UGAIDI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidiahv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia
Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia
Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote
US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN
wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA
SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa
VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US
Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha
Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika
Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea
Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi
Tulia ugangwe maradhi sikitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?Mbna unapanic kijana matusi hayatakusaidia
Hem tulia ugangwe maradhi sikitu tena tuliiiia
Huko kote walipambana kuua MAGAIDI namagaidi yanatakiwa yauliwe popote pale wakati wowote
US na shoga zake waliua watu wangapi IRAQ wakaua watu wangapi AFGHANISTA. Wakaua watu wangapi IRAN
wakaua watu wangapi HIROSHIMA na NAGASAKI wakau wangapi SOMALIA wakaua wangapi SUDAN wakaua wangapi YUGOSLAVIA
SYRIA alialikwa akawakamue MAGAIDI na anawakamua haswaaa
VENEZUELA alialikwa akaue MAGAIDI waloungwa mkono na US
Pia BELARUS nako MAGAIDI walipukutishwa vya kutosha
Kila unapoliona jeshi la RUSSIA basi lipo kwamualiko maalum waserikali yataifa husika
Kama URUSI ataona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA ili ashinde vita atumir tu hakuna shida mbona US alipoona kuna umuhimu wakutumia NYUKLIA alitumia namaisha yanaendelea
Naunga mkono matumizi ya NYUKLIA toka RUSSIA kama ndio sababu yakupata ushindi atumie hata leo ili kesho DUNIA iamke namambo yamsingi
Tulia ugangwe maradhi sikitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mataifa yapatayo Tisa Yana silaha za nyukria.., hivyo urusi akivuka huu msitari mwekundu atachakazwa asimulie mpaka kizazi Cha nne [emoji848]Hawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?
Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
Hawa jamaa ukiwachunguza kwa makini utagundua wengi wao Wana mtindio wa ubongo [emoji848]hv sio kichaa kwel ww ? Urusi kaua zaid ya watu 1000 huko Georgia , pia kaua zaid ya watu elf 20 huko syria , pia Urusi imeua zaid ya raia 400 huko Moldova , pia Finland pia Huko Beralus Urusi amepeleka silaha ili kumlinda Lukashenko amabae mwaka 2020 aliua zaid ya 500 ili kulazimisha kubakia madarakan pia huko Venezuela Urusi umeua sana ili kumlinda kibaraka wao na sasa hv Urusi ishaua zaid ya raia 2000 huko Ukraine ili kulazimisha kuvunja utawala halali wa Ukraine na kusimika utawala wake ndan ya nchi iliyo huru kiutawala na kiuchuni bila kusahau sasa hv Urusi anaona bora kushinda vita hii kuliko dunia kuendelea kuwa na amani hivyo anatishia NUKES , HAYA tuambie UKRAINE aliifanyia nin dunia kibaya kuhatarisha usalama wa dunia , ukikosa jibu (bas ww qumamak unapumuliwa kbs)
Nadhani Unasikia Tu Russia wewe na unaota ndotoMwisho wa putin aka pumbavu utakuwa mbaya sana wazungu sio watu wazuri huwa hawachi mapaka litimie
Wameharibu uchumi kisha watamtoa madarakani
USSR
Mkuu kwani wewe ni shoga? Maana kila comment yako unaongelea ushogaHawa wakisikia Nuclear huwa wanaogopa sana, hivi wanadhani ni mapambo yale?
Hii operation Russia anaindesha kwa huruma sana binafsi naamini kuna mengi sana yako nyuma ya pazia ndio maana anawasubiri vinginevyo Russia anaweza kuamua matokeo hata sasa na mashoga wakabaki kuulani tu
sasa hizi Himars ni defense system?Kama anazo vipi anashambuliwa mji mkuu