Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Sio kweli hilo la utawala mbovu mmemezeshwa tu na Main Stream Media ila hazina ukweli
Libya wakati wa gadafi hakukua na watu kuhama nchi yao wakaenda wakamuua
Syria wakati hawajaingiliwa na magaidi wa nato watu walikua wametulia makwao
Iraq napo palikua pametulia wakaenda wakaua watu wakaharibu ncho yao
Afghanistan hali kadhalika wamewafanyia hivyo
Pia wanajifanya mabwana wakubwa wanawaekea watu vikwazo kinafiq ona venezuela wanavyokimbia nchi yao baada ya vikwazo angalia cuba na mexico
Wahamiaji wote waliharibiwa mataifa yao ama kuekewa vikwazo wanatakiwa wakimbilie huko kwa hao wauaji
Afghanistan kuna mabilioni yao ya fedha kama sio matrilion yamezuiwa marekani na kwengine ambazo zingefanya maendeleo kwao
Safi sana wahamiaji
Sipo hapa kusimulia hadithi.

UK mara ya mwisho nilikwenda mwezi May mwaka jana na hizo habari nilizipata kwa wenyeji wangu pale sijatunga.
 
Unafikiri hizo pesa wanazopewa ni za kodi ?? umesahau UK ilichukuwa kiasi gani Iran tu , kwa miaka 50 wakichukuwa mafuta bure , walikuwa hawalipi hata senti moja , hujaja nchi nyingine zilizokuwa ni makoloni yake
Kwahiyo unaamini pesa za mafuta ndio zinatumika kuwahudumia hao asylees?

Basi unatakiwa ujielimishe zaidi kama sio kufika kabisa UK, kuna kodi lukuki nyingi zilikuwa imposed kwa miaka ya karibuni na hao asylee usichokijua sio wazalishaji bali wapo tu wanapewa mahitaji ya kibinadamu bure bila kufanya kazi yoyote.

Kama unafikiri kwamba pesa za mafuta ndio zinatumika unafikiri hao wenyeji wangeenda kuwafanyia fujo?

Naongea nikiwa na ushahidi nilienda hata Sweden hao wahamiaji wengi ni kutoka mataifa ya mashariki ya kati na kwa Africa ni kutoka kaskazini na nchi kama Somalia,Eritrea na Djibouti.
 
Walifanya kila mtu aongee lugha yao wakajoona wao ndio wao, sasa zamu yao wakae kwa kutulia, Uingereza inageuka kuwa Bombay ukichanganya na Cameroon. Na huu mziki ndio kwanza unaanza
 

@ John Wickzer Mulholland

1722860633809.jpeg
 
US ndio wanaongoza ndio top na US mafanikio yao makubwa yameletwa na sera za uhamiaji maana US ni kama hapa tunaita rojo mix sasa nitajie hawa wa UK kikubwa walichofanya, na ukiona kampuni zilizopo basi juwa zilianzishwa miaka hiyo sio leo lakini US ni kizazi hiki kipya ukichanganya na wazamani super. UK sasa hivi wafanya biashara tu.
Huko US ni jamii zipi au zenye asili ya wapi ambazo zinamiliki teknolojia?
 
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona

Hili linahusiana vipi na tukio la Southport au nawe hujui sababu ya vurugu?
 
Tena hao Wazungu mbona hawajatembeza kichapo? Inatakiwa watoe kipigo kitakatifu kama walichotoa Wahutu.

Haiwezekani mgeni aje halafu aanze kukutaabisha ndani ya ardhi yako.

Unakuta Mzenji Ahmed Rajabu yuko hapo London akiwaita wenyeji wake waliompokea kwa ukarimu Makafiri, na dharau nyingine za kidini. Kwanini wasishikishwe adabu?



 
Wakuu hali si hali huko nchini Uingereza kwa mfalme Charles III, wananchi wenyeji wakiwa wamejihami kwa silaha mbali mbali wanatembea katika makundi makundi wakiwasaka wahamiaji na kuwatembezea kichapo.

Hali ya machafuko tayari imeikumba miji ya Liverpool, Belfast, Southport, Bristol na mingine. Na inafuatiwa na wimbi la mauaji ya kutumia visu wanayofanyiwa wenyeji na wageni wahamiaji. Police inapambana kuthibiti hali ya mambo lakini inaonekana wenyeji wamejipanga kwa mapambano zaidi


View attachment 3061197View attachment 3061198View attachment 3061199View attachment 3061200View attachment 3061201View attachment 3061201View attachment 3061202View attachment 3061202
Aliyetabiri Simpson yametimia bado ya doomsday
 
Kwa hiyo Ile bajeti ya kuwapeleka Rwanda wamepewa hao wazungu kuwafurusha mbali binadamu wenzao.
 
Wakuu hali si hali huko nchini Uingereza kwa mfalme Charles III, wananchi wenyeji wakiwa wamejihami kwa silaha mbali mbali wanatembea katika makundi makundi wakiwasaka wahamiaji na kuwatembezea kichapo.

Hali ya machafuko tayari imeikumba miji ya Liverpool, Belfast, Southport, Bristol na mingine. Na inafuatiwa na wimbi la mauaji ya kutumia visu wanayofanyiwa wenyeji na wageni wahamiaji. Police inapambana kuthibiti hali ya mambo lakini inaonekana wenyeji wamejipanga kwa mapambano zaidi


View attachment 3061197View attachment 3061198View attachment 3061199View attachment 3061200View attachment 3061201View attachment 3061201View attachment 3061202View attachment 3061202

View: https://x.com/OzraeliAvi/status/1820723491580371153
 
Zamu yao mambuzi zao na watajijua wenyewe sisi hatumo
 
Mtu aliyezaliwa, kulelewa na kukulia Uingereza tena mkristo kaua watoto wadogo kwa kuwachoma kisu, watu wanavamia misikiti na wahamiaji. Wamepata fursa ya kuzimwaga chuki zao.

Ukiuliza kwanini wanavamia misikiti hakuna jibu la maana utapewa maana muhusika sio Muislam wala hana asili kutokea sehemu yenye Waislam wengi. Asili yake ni Rwanda ambapo asilimia zaidi ya 90 sio Waislam.

Ukiuliza kwanini wanashambulia wahamiaji hutapewa majibu ya maana. Kwa sababu mshambuliaji wa huko Southport ni mzaliwa na raia wa Uingereza. Wazazi wake kuwa wanyarwanda sio hoja. Matukio ya uhalifu hufanyika Uingereza na "wazawa" pia.

Wakina Jimmy Saville walipobainika wala hawakusemwa wazungu wote. Au wazungu wanapofanya uhalifu huko Uingereza wanatukanwa wazungu wote?

Hao "far-right" ni watu wajinga na wabaguzi wenye chuki tu.


Kuna tukio limetokea leo tena huko Uingereza mtu (mzungu) kawachoma visu watu wawili ,binti mdogo na mwanamke mmoja. Aliyemkabili na kumpokonya silaha ni kijana Muislam anaitwa Abdullah.

Matukio kama haya ya kusikitisha yanapotokea watu huwa haraka sana kuutukana Uislam.

Azarel Kinyungu Bulelaa
 
Kuna tukio limetokea leo tena huko Uingereza mtu (mzungu) kawachoma visu watu wawili ,binti mdogo na mwanamke mmoja. Aliyemkabili na kumpokonya silaha ni kijana Muislam anaitwa Abdullah.

Matukio kama haya ya kusikitisha yanapotokea watu huwa haraka sana kuutukana Uislam.

Azarel Kinyungu Bulelaa
Unawa cc hao mambulula wanaishi malampaka watajua nini kuhusu UK isssues
Vibwengo tu hao wakigalatia wapambane ushoga wa wa imani yao
 
Wakristo wengi hawajitambui, wakisha kula mashudu wanajiona wapo mbinguni, kila kitu tawile,hata kutumia logic jawawezi, hayo mambo ni zao la ukoloni, na new world oder ina ingia taratibu, dunia imeshachafuka, huu si mda wa kulaumu dini wala rangi ya watu, tunacho subiri ni great war dunia irudi kwenye hali ngumu ya ukame, kama huwezi kulima wala kutafuta maji basi umeisha,jitahidini mmiliki ardhi kubwa,mlime na kujiandaa kwa lolote, new world oder ime anza sio mda wa kutukanana ni time ya kukomboa duniia kutoka kwa mabeberu waabudu shetani
 
Wakristo wengi hawajitambui, wakisha kula mashudu wanajiona wapo mbinguni, kila kitu tawile,hata kutumia logic jawawezi, hayo mambo ni zao la ukoloni, na new world oder ina ingia taratibu, dunia imeshachafuka, huu si mda wa kulaumu dini wala rangi ya watu, tunacho subiri ni great war dunia irudi kwenye hali ngumu ya ukame, kama huwezi kulima wala kutafuta maji basi umeisha,jitahidini mmiliki ardhi kubwa,mlime na kujiandaa kwa lolote, new world oder ime anza sio mda wa kutukanana ni time ya kukomboa duniia kutoka kwa mabeberu waabudu shetani
Noma sana, acha mambo yawe tu , MUNGU arudi, tupotee, ku reach 2050 cdhni, dumian kutakuq ni kubaya sana.
 
Noma sana, acha mambo yawe tu , MUNGU arudi, tupotee, ku reach 2050 cdhni, dumian kutakuq ni kubaya sana.
Wana hasira sasa hivi, maslahi Yao mengi haya endi, afrika watu hawawataki mrusi kashaingiza ushawishi, Asia nako kwa Moto, Ukraine wanapigwa, so kipindi hiki ni cha hasara Tu, kuliko faida kwao bcoz Wana spend kwenye Hamna,kinacho fata ni kumpiga urusi na kujaribu kurudisha ubeberu afrika, kitu ambacho haita wezekana tena, mda huu ni chuma na mchanga kamwe havi ungani, kama mliwahi sikia utabiri 20 years later USA and hi allies they are going to loose control,Miaka ya 2018 ilivuma Sana hii kauli basi ndio sasa, wazungu na wayahudi Wana force ushawishi, na watashindwa hivyo itabidi waingie kwenye vita kuu ya kibabe,
Tusiwe mashabiki wa dini unaona kabisa mtu amedhulumiwa Una support kwasababu ni mkiristo mwenzio mungu hayupo hivyo
 
Wana hasira sasa hivi, maslahi Yao mengi haya endi, afrika watu hawawataki mrusi kashaingiza ushawishi, Asia nako kwa Moto, Ukraine wanapigwa, so kipindi hiki ni cha hasara Tu, kuliko faida kwao bcoz Wana spend kwenye Hamna,kinacho fata ni kumpiga urusi na kujaribu kurudisha ubeberu afrika, kitu ambacho haita wezekana tena, mda huu ni chuma na mchanga kamwe havi ungani, kama mliwahi sikia utabiri 20 years later USA and hi allies they are going to loose control,Miaka ya 2018 ilivuma Sana hii kauli basi ndio sasa, wazungu na wayahudi Wana force ushawishi, na watashindwa hivyo itabidi waingie kwenye vita kuu ya kibabe,
Tusiwe mashabiki wa dini unaona kabisa mtu amedhulumiwa Una support kwasababu ni mkiristo mwenzio mungu hayupo hivyo
Mkuu iv russian , putin na yule wa china sio membet wa new world older? Maana wako kinyume na USA?
 
Back
Top Bottom