Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Natamani Civil war itokee huko
Civil war haiwezi kutokea europe wala marekani , Majeshi yanaweza kuingilia hata ya Nato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani Civil war itokee huko
Natamani wazidi kuuana hao washenzi washenziJana wamepigana wao kwa wao
Ndio mnavyodanganywa huko chachi kwenu😀😀😀Ukizungukwa na hawa watu maeneo ya makazi jiandae kutengwa na mizozo ya kijinga. Ukipika kitimoto yako roast ndani ya geti lako jiandae kwa shari hata kama wewe ndio wamekukuta hapo.
Kuingilia dhidi ya naniCivil war haiwezi kutokea europe wala marekani , Majeshi yanaweza kuingilia hata ya Nato
Hili nalo ni tatizo lingine.Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Wamekaribisha waarabu wa kutosha huko na wanadini zao kali acha wawavuruge
Muarabu sio wa kumpa hifadhi,hawa watu na dini yao ni majanga kwa Dunia 🙆
View attachment 3061764
Kuingilia dhidi ya nani
Maana nato wapo kulinda nchi kama nchi🤔
Nilivyoona Uingereza Muhindi anakuwa waziri mkuu nikajuwa tayari wameshapotea.Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wengi maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populist politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....
View attachment 3061229
Hapa nimekuelewaHapo tu unaweza kusikia NATO imeingia ukashangaa kwa ajili gani ?? kama Nato ilivyoingia kule Libya kumwondioa Gadafi
Fact, Utawala mbaya wa kidikteta mi tatizo hata Sana. Madhara yake pia yanawakumba Wananchi waliopo kwenye nchi zenye Tawala nzuri kama hizo za Ulaya.Utawala bora ndio solution.
Hakuna mtu atakimbia nchi yenye utawala bora , maana ustawi kwenye nchi hiyo unakuwepo .
Hao wanakimbia tawala kandamizi, ukosefu wa ajira, viongozi wasiowajibika n.k hayo yote ni matokeo ya utawala mbovu.
Wakifika Uingereza hupatiwa hifadhi na mahitaji mengine ya kibinadamu kutokana na kodi za wananchi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa kodi juu ila zinakwenda pia kuhudumia watu waliotakiwa kubaki nchini kwao maana hao wahamiaji hawafanyi kazi kutokana na kukosa vibali halali sababu walikuja kwa kukimbia matatizo kwao hivyo hawapo katika mnyororo wa uzalishaji.
Mwaka juzi nilitembea Sweden baada ya miaka mingi kidogo hali kule napo si shwari wahamiaji ni wengi hasa kutoka nchi zenye matatizo ya kivita na utawala mbovu.
Sio kweli hilo la utawala mbovu mmemezeshwa tu na Main Stream Media ila hazina ukweliUtawala bora ndio solution.
Hakuna mtu atakimbia nchi yenye utawala bora , maana ustawi kwenye nchi hiyo unakuwepo .
Hao wanakimbia tawala kandamizi, ukosefu wa ajira, viongozi wasiowajibika n.k hayo yote ni matokeo ya utawala mbovu.
Wakifika Uingereza hupatiwa hifadhi na mahitaji mengine ya kibinadamu kutokana na kodi za wananchi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa kodi juu ila zinakwenda pia kuhudumia watu waliotakiwa kubaki nchini kwao maana hao wahamiaji hawafanyi kazi kutokana na kukosa vibali halali sababu walikuja kwa kukimbia matatizo kwao hivyo hawapo katika mnyororo wa uzalishaji.
Mwaka juzi nilitembea Sweden baada ya miaka mingi kidogo hali kule napo si shwari wahamiaji ni wengi hasa kutoka nchi zenye matatizo ya kivita na utawala mbovu.
You are so intelligent that your comment is globally accepted by any truth tellerWahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh
Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu
Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo
kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Kweli tawala mbaya zinazoongozwa na wale wanaovamia mataifa ya watu nakupiga mabomuFact, Utawala mbaya wa kidikteta mi tatizo hata Sana. Madhara yake pia yanawakumba Wananchi waliopo kwenye nchi zenye Tawala nzuri kama hizo za Ulaya.
Utawala bora ndio solution.
Hakuna mtu atakimbia nchi yenye utawala bora , maana ustawi kwenye nchi hiyo unakuwepo .
Hao wanakimbia tawala kandamizi, ukosefu wa ajira, viongozi wasiowajibika n.k hayo yote ni matokeo ya utawala mbovu.
Wakifika Uingereza hupatiwa hifadhi na mahitaji mengine ya kibinadamu kutokana na kodi za wananchi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa kodi juu ila zinakwenda pia kuhudumia watu waliotakiwa kubaki nchini kwao maana hao wahamiaji hawafanyi kazi kutokana na kukosa vibali halali sababu walikuja kwa kukimbia matatizo kwao hivyo hawapo katika mnyororo wa uzalishaji.
Mwaka juzi nilitembea Sweden baada ya miaka mingi kidogo hali kule napo si shwari wahamiaji ni wengi hasa kutoka nchi zenye matatizo ya kivita na utawala mbovu.
You are so intelligent that your comment is globally accepted by any truth teller
Fact, Utawala mbaya wa kidikteta mi tatizo hata Sana. Madhara yake pia yanawakumba Wananchi waliopo kwenye nchi zenye Tawala nzuri kama hizo za Ulaya.
Sijawah kuwaelew BBC na DW hata siku mojaBBC naona hii habari hawataki kabisa kuiongelea. Ingekuwa inatokea nchi nyingine wangeonesha Breaking news muda wote. Wanafiki sana BBC
Wenzetu wanajua kulinda maslahi na taswira za nchi zao; maana wanajua taswira yako ya nje ni muhimu sana kwenye aura yako na invincibility uliyojijengea. Swaga na mikwara huwa zinasaidia sana hata katika vita vya kiuchumi na geopolitics.BBC naona hii habari hawataki kabisa kuiongelea. Ingekuwa inatokea nchi nyingine wangeonesha Breaking news muda wote. Wanafiki sana BBC
UK hapo kuna Wazanzibar hasa wapemba waliokimbilia huko baada ya mauaji ya 2001,Canada napo nilikutana nao baadhi walioenda kwa scenario kama hiyo.Fact, Utawala mbaya wa kidikteta mi tatizo hata Sana. Madhara yake pia yanawakumba Wananchi waliopo kwenye nchi zenye Tawala nzuri kama hizo za Ulaya.