Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Yeye Muingereza alipoenda ktk nchi za wengine na kuwacolonise kwa miaka zaidi ya 100 alitegemea nini?. Watu wamerudi kula utajiri ambao muingereza aliuiba kwao!
 
Tatizo limesababishwa na mkristo mwenye kuimba kwaya
Warudi Kwao Afrighanistani huko wakapigane mabomu
Wanang'ang'ania nchi za watu kwa nini?Nchi zao wameshaziharibu na sheria za dini zao za ajabu ajabu

Warudi kwao Iraq huko wakapigane mabomu wao kwa wao
20240804_231240.jpg
 
Wakuu hali si hali huko nchini Uingereza kwa mfalme Charles III, wananchi wenyeji wakiwa wamejihami kwa silaha mbali mbali wanatembea katika makundi makundi wakiwasaka wahamiaji na kuwatembezea kichapo.

Hali ya machafuko tayari imeikumba miji ya Liverpool, Belfast, Southport, Bristol na mingine. Na inafuatiwa na wimbi la mauaji ya kutumia visu wanayofanyiwa wenyeji na wageni wahamiaji. Police inapambana kuthibiti hali ya mambo lakini inaonekana wenyeji wamejipanga kwa mapambano zaidi


View attachment 3061197View attachment 3061198View attachment 3061199View attachment 3061200View attachment 3061201View attachment 3061201View attachment 3061202View attachment 3061202
Megatron, [8/4/24, 3:32 PM]
[🖼 🇬🇧 The man responsible for the civil unrest at UK is Zionist Tommy Robinson, who is a Mossad agent.

Even though the killing of the children was carried out by a person who is not a Muslim, nor an illegal immigrant but a native of the UK of Rwandan origin.

Tommy Robinson, who is deeply infiltrated among the conservative population at UK and constantly spreads pro-Israel ideology, used the moment of bitterness to turn the anti-migrant protests into racist and anti-Islamic ones with the help of social networks.

Tommy Robinson constantly travels and resides in Tel Aviv.

After Israel filled the UK with illegal immigrants with their wars in the Middle East and North Africa, now they will also cause a civil war.

In addition to Robinson, the government of Britain, which is completely Zionist, constantly lets new illegal immigrants into the country and it doesn't want to stop them.

All this is organized and coordinated.

@Megatron_ron]
🇬🇧 The man responsible for the civil unrest at UK is Zionist Tommy Robinson, who is a Mossad agent.

Even though the killing of the children was carried out by a person who is not a Muslim, nor an illegal immigrant but a native of the UK of Rwandan origin.

Tommy Robinson, who is deeply infiltrated among the conservative population at UK and constantly spreads pro-Israel ideology, used the moment of bitterness to turn the anti-migrant protests into racist and anti-Islamic ones with the help of social networks.

Tommy Robinson constantly travels and resides in Tel Aviv.

After Israel filled the UK with illegal immigrants with their wars in the Middle East and North Africa, now they will also cause a civil war.

In addition to Robinson, the government of Britain, which is completely Zionist, constantly lets new illegal immigrants into the country and it doesn't want to stop them.

All this is organized and coordinated.

@Megatron_ron

Megatron, [8/4/24, 3:32 PM]
[🖼 Photo]

Megatron, [8/4/24, 3:32 PM]
[🖼 Photo]
 

Attachments

  • 20240805_045055.jpg
    20240805_045055.jpg
    149 KB · Views: 2
Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Kabisa nikiangakia utube hapa sio wahamiaji rote ni Hawa Musilim ndo shida kubwa hapa hakuna kupepesa macho!
 
Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wengi maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populist politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....

View attachment 3061229
Kweli kabisa, ngoja tuone mwisho wake
Ila naona nchi za ulaya ss hii kitu Ina trend
 
Wazungu kuua watu mil 4 siyo kazi kwao. Kumbuka idadi ya waliouwawa na Stalin au Hitler au Mfalme Leopord hapo DCR. Ikiwa full blown civil war ni dakika watawamaliza hao wahamiaji
Wawarudishe tu makwao
Wasiwauwe
 
Wakuu hali si hali huko nchini Uingereza kwa mfalme Charles III, wananchi wenyeji wakiwa wamejihami kwa silaha mbali mbali wanatembea katika makundi makundi wakiwasaka wahamiaji na kuwatembezea kichapo.

Hali ya machafuko tayari imeikumba miji ya Liverpool, Belfast, Southport, Bristol na mingine. Na inafuatiwa na wimbi la mauaji ya kutumia visu wanayofanyiwa wenyeji na wageni wahamiaji. Police inapambana kuthibiti hali ya mambo lakini inaonekana wenyeji wamejipanga kwa mapambano zaidi


View attachment 3061197View attachment 3061198View attachment 3061199View attachment 3061200View attachment 3061201View attachment 3061201View attachment 3061202View attachment 3061202
Wageni ndio walianza kuchokoza nyuki
 
Niliandika uzi juzi namna waislamu wanavyoshindwa kuishi na wenyeji sehemu yoyote duniani hata ukiwakaribisha nikatolea mfano waislamu wazanzibari walionunua ardhi morogoro kule matombo kwaajili ya kulima spice wameanza kukorofishana na wenyeji wanaofuga nguruwe miaka dahari kwahiyo uislamu ni janga popote duniani ukitaka kuishi kwaamani jiepushe kukaa na waislamu sikatai wapo wema na waliostaarabika kama kina jakaya ila walio wengi hawafai.
Ukweli mtupu
 
Swala sio uislam wao, au uarab,
Kila race inapenda ibaki kama inavyotaka, ulaya na america wenyewe wanasema ni nchi za weupe, na inabidi ibaki nyeupe, sasa hawa weusi, Latino, na Arabs wanataka kuharibu demographic,
Kule kwa wa Arab, hawawatski watu weusi kwa sababu wakizaliana Sana, weupe wao utapotea!
Sie huku bongo, hatupendi watu wenye asili ya Burundi, Rwanda,
Halafu watu wanasema ooh wabaguzi
Kumbe wasrabu,waafrika wote wabaguzi tu
 
Waarabu na Uislam wao ni tatizo kubwa
Wanaofanya fujo hapa uingereza ni far rights na sasa wanapigana wao kwa wao na police katikati
Wapo wasiotaka fujo ndio hao wanapigana nao

Kila wakati hakuna anaewapenda hawa wabaguzi maana wanavunja na kuvuruga amani
Dogo alieuwa wamem bully tangu udogo wake
 
Back
Top Bottom