Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Kitu chochote kikishakuwa kingi kupitiliza kinakosa thamani. Binadamu ni zaidi, mkishazaliana mkawa wengiii, mnakosa thamani, hosp wodini mnalundikwa kama mbuzi, unafika una tatizo la mapafu, kuna wenzako 1000 wanashida ya moyo, figo, maini unakuwa hauna uspecial wowote. Usafiri mnakuwa kama ng'ombe, ajira hazitoshi, mnaaza kutapeliana, upendo unapungua wageni mnawaona maadui n.k n.k.
Itafikia mahali asilimia kubwa ya binadamu watakuwa wanaishi kwenye cages kama kuku(ghorofa zenye tu apartments tudogo tudogo).
 
Kiuhalusia sidhani kama Kuna nchi wanapenda wageni ,Hilo ni swala lipo naturally hivyo,
Nchi nyingi zinataka wageni wa quality fulani, watu wenye vipaji na matajiri. Hawataki uende ukawe mzigo tena kwa taifa lao, kuchukua ajira nyepesi, kuongeza msongamano kwenye huduma na kuchukua mali za wazawa/wenyeji.
 
Kitu chochote kikishakuwa kingi kupitiliza kinakosa thamani. Binadamu ni zaidi, mkishazaliana mkawa wengiii, mnakosa thamani, hosp wodini mnalundikwa kama mbuzi, unafika una tatizo la mapafu, kuna wenzako 1000 wanashida ya moyo, figo, maini unakuwa hauna uspecial wowote. Usafiri mnakuwa kama ng'ombe, ajira hazitoshi, mnaaza kutapeliana, upendo unapungua wageni mnawaona maadui n.k n.k.
Utaambiwa ni freemason umetumwa na Bill Gates kufanya agenda ya depopulation🤣
 
Mbona aliyeua huko Uingereza ni kijana wa Kiingereza mwenye Asili ya Kitutsi ambae ni Mkristo?
Uhamiaji ndio tatizo kubwa zaidi, nationalists na far-rights wanatafuta sababu yoyote ya kisingizio kulianzisha, ni kama bomu la kutegwa linalosubiria liguswe kidogo tu lilipuke.
 
Uhamiaji ndio tatizo kubwa zaidi, nationalists na far-rights wanatafuta sababu yoyote ya kisingizio kulianzisha, ni kama bomu la kutegwa linalosubiria liguswe kidogo tu lilipuke.
Bukayo Saka akifunga Goli Manazi wanashangilia kuwa Waingereza wameshinda lakini ikitokea kafanya uhalifu kwamba hawataki ni muhamiaji?

Mzungu akiua weusi 20 anaitwa Shujaa.

Nazi na Wabaguzi wa Rangi huwa hawana hoja zaidi ya Rangi ya Ngozi.
 
Bukayo Saka akifunga Goli Manazi wanashangilia kuwa Waingereza wameshinda lakini ikitokea kafanya uhalifu kwamba hawataki ni muhamiaji?

Mzungu akiua weusi 20 anaitwa Shujaa.

Nazi na Wabaguzi wa Rangi huwa hawana hoja zaidi ya Rangi ya Ngozi.

hawa si ndio wenye kuujuwa ukristo na kanisa lao la Anglikan linaongozwa na mzungu tu hakuna mwafrika kama wacatholics
 
Ushetani wa kwanza "kuletwa" Africa na wageni ilikuwa ni biashara ya watumwa iliyofanywa na Waarabu.
Kijana, "utumwa" ni nembo tu, ni biashara amabyo ipo mpaka leo imebadilishwa nembo tu.

Jifikirie wewe Mbantu, nini kilikukimbiza kwenu Magharibi ya Afrika na kuhamia huku Mashariki ya Afrika?
 
Tatizo wagalatia wa Buza wanadhani hawa wanatatizo na waarabu
Huyu hapo mweusi mgalatia kala kichapo

 
Mtu aliyezaliwa, kulelewa na kukulia Uingereza tena mkristo kaua watoto wadogo kwa kuwachoma kisu, watu wanavamia misikiti na wahamiaji. Wamepata fursa ya kuzimwaga chuki zao.

Ukiuliza kwanini wanavamia misikiti hakuna jibu la maana utapewa maana muhusika sio Muislam wala hana asili kutokea sehemu yenye Waislam wengi. Asili yake ni Rwanda ambapo asilimia zaidi ya 90 sio Waislam.

Ukiuliza kwanini wanashambulia wahamiaji hutapewa majibu ya maana. Kwa sababu mshambuliaji wa huko Southport ni mzaliwa na raia wa Uingereza. Wazazi wake kuwa wanyarwanda sio hoja. Matukio ya uhalifu hufanyika Uingereza na "wazawa" pia.

Wakina Jimmy Saville walipobainika wala hawakusemwa wazungu wote. Au wazungu wanapofanya uhalifu huko Uingereza wanatukanwa wazungu wote?

Hao "far-right" ni watu wajinga na wabaguzi wenye chuki tu.
 
King Leopold aliyeua Wakongomani milioni kumi hakuna alielalamika.
 
Back
Top Bottom