Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Wahamiaji wengi wanazingua, halafu wengi wao ni Waislam hasa Waarabu kutoka Mashariki ya kati, India, Pakistan, Indonesia, Somalia na Bangladesh

Wanataka kuleta tamaduni zao...kuanzia Ibada, mavazi n.k kwenye nchi isiyokuwa yao, tena nchi ya Makafiri wakati wao ni wageni tu

Sijui kwanini wasiende kwenye nchi za Waislam zenye Waumin wenzao ili waishi watakavyo

kazi kung'ang'ania kwenye nchi za Makafiri zilizojaa ranch za Nguruwe na viwanda vya Pombe kila kona
Ndugu yangu ni lini kobazi waliwai kuwa na akili?
 
Uingereza wakija hao tunauwa maana waliondoka kwa ridhaa yao
Nyerere alishasema ubaguzi ni sawasawa na kula Nyama ya Mtu huachi,, sasa Waingeraza wakibaguana itaenda mpaka ...wewe ni wa Wells rudi kwenu Wells...wewe ni Mscotish rudi kwenu Scotland ...wewe ni MuIrish rudi kwenu Northern Ireland.

Na haitaishia hapo itafikia ...sisi Blondes Blue Eyes ndio Master Race ninyi Brunetes ni Mediterraneans 😆 mambo ya 1930s Dunia inatakiwa isonge mbele sio kurudi nyuma.
 
Ndiyo maana Trump anapendwa na Wamarekani wazawa maana ameahidi kupambana na wahamiaji na uhamiaji haramu. Kuna mvuvumko wa populist politics duniani kote ili kulinda haki za wazawa. Kwa Ulaya nadhani walichelewa kuliona hili mapema; and it is too late. Mbaya zaidi wenyewe wanazaa katoto kamoja au hawazai kabisa wakati waarabu wanakamua mpaka watoto wanane+....

View attachment 3061229
waarabu siyo watu//
 
Ubaguzi wa Rangi ni mbaya sana tulishuhudia Makaburu Wakristo wakiwabagua Waafrika Wakristo na kiwaita KAFIRS, tumeshuhudia hata huko Uarabuni Waarabu Waisilamu wakiwabagua Waafrika Weusi Waisilamu na kuwaita AL ABIDI.
 
Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Wewe punguani kweli unaongea fikra zako chanzo ni raia Uingereza mwenye asili ya Burundi lakini kazaliwa Uingereza aliwachoma watoto wa kizungu huyo mrundi ni mkiristo hapo Uislam unaingieje, hao wazungu hata ukiwa mkiristo wanakupiga tu.
 
Karibu kunakucha
Jeshi litaamua
Walisubiri hili litokee wapate pa kuanzia kuwatimua..
Karibu watajua hawajui
Ni swala la muda watabebwa wooote
 
Tatizo na chanzo ni hawa jamii ya waarabu na dini yao hawatakagi kukaa kistarabu, wao kila saa ni kuwaza ugaidi tupy
Wanaenda nchi za watu wanaanza kupangia watu kitu cha kufanya.
Unawapa chakula wanauliza haram - halal we kuku kachinjwa huko Pakistan mi ntajuaje ni halal.
Mi nawaambiaga tu kula uondoke hutaki toka wenzio wale.
Shenzi kabisa
 
Waingereza wale wazee ndio walikuwa wanapambana sababu ya umaskini wakati ule sasa hichi kizazi sio cha kazi wanashida sana huo ndio ukweli. Waarabu wanafanya kazi ndio maana nchi zao wao wanaajiri tu wao pesa zimejaa sasa hujiulizi utajiri huu wanaupata wapi. Huwezi kukuta raia wa UAE kaajiriwa England ila wao wamejaa Dubai. Waafrica watu wakazi wanatafuta wanaishi ni tumekosa sera nzuri tu lakini kazi watu wanatafuta sana. Uk akiwa hana kazi analipwa posho sasa unataka kufananisha na sisi.
Hapa duniani tafuta maarifa.

Ni jamii gani duniani yenye teknolojia?
 
Hizi sasa ni fikira zako amnazo nazo unabahatidha iwapo mimi ni Christian au Muslim!

Sasa wewe endelea kumntabiria kuhusu imani yangu, lakini ni mhimu ukweli usemwe, mwislamu hasa mwarabu, chaguo la kujilipua na kuuwa wengine, kwake ndilo no moja, mengine ndo yafuate

Kwa jinsi hiyo, huwezi ruhusiwa kukaa kwenye nchi za kistarabu
Tengeneza dunia yako peke yako ndo utaishi bila ya kuwepo muislamu ,mbaguzi mkubwa wewe
 
Islamists they happy anywhere.. wakiwa makwao wao kwa wao ni vita e.g wasomali
Wakienda huko ukimbizini kama ulaya ambapo hakuna uislamu wanataka watu wote wavae kiislamu na kufuata dini yao.
Pia wakikuta kuna amani lazima waletw chokochoko naona sasa wenyeji wameshindwa na uvumilimu kila mtu aende kwa mogadishu,huko pakistani na lebanon.
 
Wageni msiondoke pambaneni hapo hapo
Ningekua siogopi kufa ningekuja kuwapa kampani
Wakati wanaharibu mataifa ya wenzai waliona raha eenh
 
Islamists they happy anywhere.. wakiwa makwao wao kwa wao ni vita e.g wasomali
Wakienda huko ukimbizini kama ulaya ambapo hakuna uislamu wanataka watu wote wavae kiislamu na kufuata dini yao.
Pia wakikuta kuna amani lazima waletw chokochoko naona sasa wenyeji wameshindwa na uvumilimu kila mtu aende kwa mogadishu,huko pakistani na lebanon.
Mbona aliyeua huko Uingereza ni kijana wa Kiingereza mwenye Asili ya Kitutsi ambae ni Mkristo?
 
Back
Top Bottom