Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mbona humaliziii habari yote........bado ni test tu hakuna cha kombora bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona humaliziii habari yote........bado ni test tu hakuna cha kombora bado
BBC........
Kwa hiyo US hawana makombora ya hypersonic?!!!Mbona humaliziii habari yote........bado ni test tu hakuna cha kombora badoView attachment 2181146
Imani yako itakuponya nenda kwa amaniKwa hiyo US hawana makombora ya hypersonic?!!!
So, unafikiri test ikiwa 'successful' wanaachia hapo, hawatengenezi?!
"Which countries have hypersonic missiles?
Return to menu
Russia, China and the United States have the most advanced hypersonic weapons programs, but other countries including Japan, Germany, India and Australia are also developing them, according to the CRS report.
"The United States has been conducting research on hypersonic weapons since the early 2000s and is developing them under the Navy’s Conventional Prompt Strike program as well as other programs that fall under the Air Force, the Defense Advanced Research Projects Agency and the Army..."
Naona umeshikwa pabaya dogo...hakuna kombora la hypersonic missile lililotestiwa hapo...kilichotestiwa ni engine yake tu (scremjet). Labda kama kiingereza kinakutatiza kwenye kuelewa mambo hayo.Acha porojoView attachment 2181069
Kuna mwamba alisema scramjet ya Mmarekani ni bora kuliko hypersonic ya Urusi, nikabaki kucheka tu. Elimu haijatukomboa vya kutosha na yote ni kujiona wajuaji kuliko wanaotengeneza hivyo vitu. Unakuta mtanzania hajui uundaji wa silaha za nuclear lakini anavyoielezeaNaona umeshikwa pabaya dogo...hakuna kombora la hypersonic missile lililotestiwa hapo...kilichotestiwa ni engine yake tu (scremjet). Labda kama kiingereza kinakutatiza kwenye kuelewa mambo hayo.
Program ya hypersonic missiles imemwendea vibaya Marekani, na maafisa wa Marekani wenyewe wanasema matarajio labda mwaka 2023...halafu wewe mMarekani wa Tandahimba wajitia kubisha kibubusa
View attachment 2181186
View attachment 2181190
Kwa hiyo US hawana makombora ya hypersonic?!!!
"Which countries have hypersonic missiles?
Russia, China and the United States have the most advanced hypersonic weapons programs, but other countries including Japan, Germany, India and Australia are also developing them, according to the CRS report.
Haya, kwa wewe mjuaji wa Kiingereza nionyeshe kwny hiyo article ni wapi imeelezwa kuwa Urusi na China tu ndo wanamiliki hypersonic ila Us hawana!!!Vipi mkuu Kiingereza kinakupiga chenga nini?!...maana waweka maelezo yanayokupinga mwenyewe. Sentensi hiyo yazungumzia nchi ambazo zina mipango/tafiti za kutengeneza makombora ya haypasoniki...katika nchi hizo zote zilizotajwa ni nchi mbili tu ndio zenye makombora hayo ambazo ni Russia na China.
Na kati ya hizo mbili, ni Russia tu ndio keshayatumia makombora hayo vitani kuangamiza ngome za kijeshi za Ukraine zilizokuwa chini ya ardhi pamoja na kuangamiza bohari za silaha za jeshi la Ukraine...
Mna ushuzi wa kutosha wa kutengeneza gas yenu?Jaman si tulikubaliana US na vyombo vyao vya habar vikiwemo na vya west ni watu wa propaganda , bbbimekuaje tena hii habar ikawa na ukwel wakat imetolewa na us na vyombo ivyo ivyo vinavyotajwa ni propaganda au kuna habar na habar yake
Kwani US kama hana hypersonic huwezi kwenda msalani? Wenyewe wamesema wameachwa mbali wewe unalalama kwa hiyo unaumwa kiuno kuona Russia kamwacha US na NATO kwenye supersonic? Basi nenda kanye ulale hii game ya wakubwa urusi ndiye baba lao.Una uhakika USA hana hypersonic ?
Rudi kasome Tena uliposoma
Kumbe ni concept tu [emoji652][emoji652]Mbona humaliziii habari yote........bado ni test tu hakuna cha kombora badoView attachment 2181146
Polee Mkuu, naona umepaniki!Haya, kwa wewe mjuaji wa Kiingereza nionyeshe kwny hiyo article ni wapi imeelezwa kuwa Urusi na China tu ndo wanamiliki hypersonic ila Us hawana!!!
China ataitoa wapi technologia bila ya Marekani? izo ni kelele zimo katika masikio yenu tuKwa hiyo kwa hizo ngonjera ulizoweka hapo na kupoteza muda wako kuandika maneno meengi ndio kumefanya Marekani kuwa na kombora la haipasoniki?
China hii hapa ikiwaduaza wanaintelijensia wa Marekani kwa kutesti kombora la kipekee ambalo liliizunguka kwanza dunia na kisha kwenda kurudi aridhini kushambulia tageti...kitu ambacho Marekani alikuwa hajawahi kufikia kama kinawezekana kabla ya hapo...
View attachment 2180522
Naona umeshikwa pabaya dogo...hakuna kombora la hypersonic missile lililotestiwa hapo...kilichotestiwa ni engine yake tu (scremjet). Labda kama kiingereza kinakutatiza kwenye kuelewa mambo hayo.
Program ya hypersonic missiles imemwendea vibaya Marekani, na maafisa wa Marekani wenyewe wanasema matarajio labda mwaka 2023...halafu wewe mMarekani wa Tandahimba wajitia kubisha kibubusa
View attachment 2181186
u
unachosema ni kweli kabisa ila tatizo linakuja pale mnapochagua habari , wamarekani wakisema mrusi anapigwa huko ukraine mnasema propaganda ila akisema bado cjaweza kutengeneza silaha za kasi mnasema hio habari ya kweli, kwann msione kila habari ya mmarekani ni propaganda? au msoipenda ndo inabandikwa upropaganda?Naona umeshikwa pabaya dogo...hakuna kombora la hypersonic missile lililotestiwa hapo...kilichotestiwa ni engine yake tu (scremjet). Labda kama kiingereza kinakutatiza kwenye kuelewa mambo hayo.
Program ya hypersonic missiles imemwendea vibaya Marekani, na maafisa wa Marekani wenyewe wanasema matarajio labda mwaka 2023...halafu wewe mMarekani wa Tandahimba wajitia kubisha kibubusa
View attachment 2181186
View attachment 2181190
TEAM Putin ina vijitu vijinga vijinga vingi ambavyo kubishana navyo ni kupoteza tu muda. Nahisi ni vitoto bado!China ataitoa wapi technologia bila ya Marekani? izo ni kelele zimo katika masikio yenu tu
Unavoonekana hujui hata maana ya propaganda...propaganda siku zote ni taarifa za kiupendeleo dhidi ya adui yako mfano nchi inaporipoti madhaifu yake vitani hapo kuna chance ya hiyo taarifa kuwa kweli maana haina masirahi yoyote kwake lkn inapofika nchi inaripoti mazuri tu upande wake kuliko kwa adui yake inaweza kuwa ni kwelli lakini kuna chance kubwa ya kuwa propaganda...so suala la vyombo vya marekani kukili kuwa hawana hypersonic missile linai undermine us in military strength kitu ambacho hakina masirahi yeyote kwakeunachosema ni kweli kabisa ila tatizo linakuja pale mnapochagua habari , wamarekani wakisema mrusi anapigwa huko ukraine mnasema propaganda ila akisema bado cjaweza kutengeneza silaha za kasi mnasema hio habari ya kweli, kwann msione kila habari ya mmarekani ni propaganda? au msoipenda ndo inabandikwa upropaganda?
Hii ni baada ya China kutest mtambo mwezi wa kwanza ambao uliwashtua maana ulienda space halafu ukarudi huku ukiwa maneuvered wakati silaha za hypersonic kwa teknolojia yao ilikuwa huwezi kuiongoza ukishaset target ndo basi.Mpango huo utakuwa sehemu ya ushirikiano wa AUKUS, mkataba wa usalama uliotangazwa na nchi hizo tatu mwaka jana.
Nchi hizo tatu (Uingereza, Marekani na Australia) zimelalamika kuwa mataifa pinzani yakiwemo Russia, China na North Korea yameshawaacha mbali ktk teknolojia ya makombora ya hypersonic, huku Russia ikiwa imeshayatumia mara kadhaa makombora hayo kwenye vita vya Ukraine.
Silaha za hypersonic ni zile zinazozidi kasi ya sauti mara tano. Ni vigumu zaidi kujilinda dhidi ya silaha hizo kwa sababu ya kasi yake na vilevile yanaruka katika mwinuko wa chini - nje ya mstari wa kuonekana kwa rada za ardhini - na yanaweza kurushwa katikati ya ndege.
Mnamo tarehe 19 Machi, Urusi ilidai kutumia kombora la hypersonic kuharibu ghala la silaha magharibi mwa Ukraine, na ujasusi wa jeshi la Marekani umependekeza kuwa vikosi vya Urusi vimezitumia mara kwa mara tangu wakati huo. Mashambulizi hayo yaliashiria matumizi ya kwanza ya makombora ya hypersonic katika mapigano.
=========
View attachment 2179945View attachment 2179946
Ukipata habari lazima utumie maarifa kung'amua ukweli na uongo wake...sio kila habari ni ya kubeba kama ilivyo, kama ilivyo siyo kila habari ni ya kuiacha kama ilivyo...unachosema ni kweli kabisa ila tatizo linakuja pale mnapochagua habari , wamarekani wakisema mrusi anapigwa huko ukraine mnasema propaganda ila akisema bado cjaweza kutengeneza silaha za kasi mnasema hio habari ya kweli, kwann msione kila habari ya mmarekani ni propaganda? au msoipenda ndo inabandikwa upropaganda?
Endelea kuota njozi za mchana, ukijimwagia maji ya chumvi ndio utazinduka...China ataitoa wapi technologia bila ya Marekani? izo ni kelele zimo katika masikio yenu tu
Hawapendi tu kusababisha 'mwisho wa dunia'.
Kwa 'nuclear warheads' wanazomiliki US wana uwezo wa kusawazisha bara lolote in a matter of minutes!