Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Bora wamiliki wa Tik Tok wamejiongeza. La sivyo market value ya kampuni ingeshuka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini hii itatokea mkuu?Ila hataamini anaenda kuangushwa na mchina
Sema tiktok umekua mtandao wa hovyo sana hasa Africa(kuna kashfa zinatembea kuwa night kali watu wanaenda live mambo ya kikubwa)kitu cha kuhuzunisha😥😥Hii itabamba sana [emoji23]
Dollar (US) achana nayoKidukulilo atainunua ila wanauza baada ya kuona inaweza kupigwa marufuku USA...
Ni figisu kama walizofanyia huawei, unajua wazungu wanajiona wao ndio namba moja kila kitu wanataka kumiliki wao
Unakumbuka figisu za huawei?Si figisu is proven. Tiktok contents za china ni zingine kabisa, wakati za nchi nyingine ni maudhui yasio na staha.
Why kwao contents ni za maadili wakati za nje hakuna maadili?
Sasa unabisha nini?Haiuzwi kama ilivyouzwa Twitter.
Wamarekan wanataka wawe na Shea humo, la sivyo waipige marufuku Nchini Marekan.
Hii ni kufuatia TikTok kwasasa kua mtandao unaopendwa Duniani kote.
HawakawiiTuk Tuk
Ili wawapeleleze wachina kwa mapanaWachina wamefungia mitandao ya west kama Facebook, Instagram, WhatsApp, n.k
Kwa nini Marekani na West wameshindwa kuupiga ban TikTok licha ya kudaiwa kuwa ni kitisho kwa usalama wa mataifa yao?
Wachina nawakubali sana, haina kupoa wala haina kufikiri mara mbili. China, Russia, North Korea etc my best countries
Korea kaskazi kwa wabandidu kwani korea tunafuata vita.Sasa korea na tanzania wapi bora kuishi.Ukiambiwa uchague kuishi kati ya Marekani na Korea Kaskazini kwa Kiduku utaenda wapi?
badi sija_ambiwa mkuu.Ukiambiwa uchague kuishi kati ya Marekani na Korea Kaskazini kwa Kiduku utaenda wapi?
Lazima kwenye kujibu apige konaUkiambiwa uchague kuishi kati ya Marekani na Korea Kaskazini kwa Kiduku utaenda wapi?