Uingereza waanza kujilaumu na kushuku kuwa BREXIT ndio mwanzo wa mdororo wa uchumi wake

Uingereza waanza kujilaumu na kushuku kuwa BREXIT ndio mwanzo wa mdororo wa uchumi wake

Waziri wa Fedha Uingereza, Chancellor Jeremy Hunt, ameanza kukubali kile waingereza wengi walikuwa wakishuku lakini moyoni wakikikataa, kuwa kujiondoa Umoja wa Ulaya unawapiga kiuchumi kwa sana.

Waziri wa Fedha Uingereza sasa amekaririwa akikubali kuwa kati ya nchi zenye uchumi imara Ulaya, Uingereza peke yake ndio ina mdororo wa uchumi uliopitiliza.

Sababu kubwa ni kuendelea kukosa masoko ambayo zamani yalikuwa yake kabla ya kujitoa Umoja wa Ulaya, BREXIT.

Tukumbuke, Obama aliwahi kuionya Uingereza kuwa itakuwa na uchumi wa mwisho katika Ulaya.

Huu ni muendelezo wa mawazo ya waingereza wengi wanaoamini sasa kujitenga na Ulaya hakukuwa sahihi.
And Boris who led the country to the self made chaos, enjoys the retirement!
 
Sio kweli labda mwaka 1978 ulikuwa hujazaliwa au ulikuwa mtoto mdogo sana. Uchumi wa Tanzania ulianza kuyumba baada ya kuvunjika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 lkn baada ya vita 1979 ndio ukafa kabisa hadi leo.
Mkuu FisadiKuu yupo sahihi mwaka 2000 GDP ya Tanzania ilikuwa kubwa kuliko ya Kenya. Angalia picha hapo chini:
TanzaniaGDP-2000.PNG
 
Miaka 44 iliyopita shilingi ya Tanzania na ya Kenya zilikuwa ngoma droo sasa leo tuambie tofauti ikoje, shilingi 1 ya Kenya ni sawasawa na shilingi 20 za Tanzania.

Tuliharibu uchumi wetu kwa kupigana vita vya kijinga ili Nyerere amrudishe rafiki yake Obote madarakani pamoja na sera za hovyo za kijamaa.
Walikuwa wana salamu eti zidumu fikra za Mwenyekiti wa ccm hapo ndio Ujinga ulipoanzia
 
GDP sio kipimo sahihi cha kupima uthabiti wa uchumi wa nchi kwani GDP inaweza kuwa kubwa lakini hela yenu haina thamani na nguvu ya manunuzi kwa pamoja.

Nguvu ya sarafu katika manunuzi ni muhimu sana. The currency's purchasing power.
😂😂😂😂😂

Mbona hata Currency yetu haikuwa imeachana na ya Kenya mpaka kipindi hicho??
 
Waziri wa Fedha Uingereza, Chancellor Jeremy Hunt, ameanza kukubali kile waingereza wengi walikuwa wakishuku lakini moyoni wakikikataa, kuwa kujiondoa Umoja wa Ulaya unawapiga kiuchumi kwa sana.

Waziri wa Fedha Uingereza sasa amekaririwa akikubali kuwa kati ya nchi zenye uchumi imara Ulaya, Uingereza peke yake ndio ina mdororo wa uchumi uliopitiliza.

Sababu kubwa ni kuendelea kukosa masoko ambayo zamani yalikuwa yake kabla ya kujitoa Umoja wa Ulaya, BREXIT.

Tukumbuke, Obama aliwahi kuionya Uingereza kuwa itakuwa na uchumi wa mwisho katika Ulaya.

Huu ni muendelezo wa mawazo ya waingereza wengi wanaoamini sasa kujitenga na Ulaya hakukuwa sahihi.
Amgalau sasa wanaanza kuuona mwanga. Haiwezekani mkawa na mabadiliko ya kila mara ya Mawaziri Wakuu, halafu kila anayeingia ana matatizo. Sera za Waziri Mkuu milyemuweka wenyewe na sera zake mkiwa mnazijua na kuzikibali, anawezaje kutikisa uchumi wa nchi ndani ya siku 40 tu?
 
Ni kweli tuache kumsingizia Nyerere.. Mpaka around 2002 chumi hizi mbili za Kenya na Tanzania zilikuwa zinalingana..

Uchumi wa Kenya ulianza kutuacha baada ya Kibaki kupewa nchi na kufanya reforms kubwa, tangia hapo Kenya akaanza kutuacha gizani ambako mpaka sasa bado tupo.
Kikwete alipokea uchumi imara sana toka kwa mkapa, alichofanya yeye ndio hiki anafanya hanganya!
 
Ni kweli tuache kumsingizia Nyerere.. Mpaka around 2002 chumi hizi mbili za Kenya na Tanzania zilikuwa zinalingana..

Uchumi wa Kenya ulianza kutuacha baada ya Kibaki kupewa nchi na kufanya reforms kubwa, tangia hapo Kenya akaanza kutuacha gizani ambako mpaka sasa bado tupo.
Na sasa ruto anaenda kuongeza gap refu sana tusubiri tuone
 
UK walirejea matumizi ya Pound yao na wakaachana na EURO mazima..

Hata hivyo Jamaa walikuwa mguu nje mguu ndani toka EU imeundwa, hawakuwahi kukubali kuachana na Pound moja kwa moja kama walivyofanya wenzao wengine..
Kwani wakiwa EU waliachana na Pound? Acha fix za kijinga ba kuna nchi pia ziko EU na zinatumia pesa zao kama Denmark,
 
Tatizo la Uingereza sio watu wa kipato cha chini. Ni tatizo la bourgeois class and the aristocratic elites. Kwanza;
i) Ndio waliong'ang'ania kuendelea na mfumo wa kizamani wa kiutawala wa kifalme
ii) Ndio waliong'ang'ania kubaki na pesa yao ya Pound Sterling wakati wenzao wakiamua kutumia Euro.
iii) Na ndio waliong'ang'ania kutoka kwenye Umoja wa Ulaya wakiohofia kumezwa na Ujerumani.

Kwa maelezo hayo utaona ya kwamba watu wa kipato kidogo hawawezi ku influence mambo hayo.
Kuna nchi kama tatu hivi ziko EU na zinatumia pesa yao,
 
Back
Top Bottom