NACKO
JF-Expert Member
- Oct 27, 2022
- 1,298
- 2,514
Umenena fact sana mkuu ...kumsingizia nyerere kwa kila kitu kwa sasa ni hoja zaifu mno....hayo mambo yalishapita tunafanya nn sasa ndo jambo la msingi zaidi....Hivi mpaka leo bado tuna hangover ya vita ya Kagera. Inahitaji miaka mingapi kubadili uchumi wa nchi?. Nadhani adui mkubwa wa uchumi wetu ni Ufisaidi na kutokujali:
1. Huduma mbovu ya maji
2. Umeme kukatikakatika
3. Kuachilua rasilimali zetu kuchukuliwa kiholela
Na mengine mengi.
Ukweli hatujapata viongozi wenye maono. Tuache kumsingizia Nyerere. Tuache udhaifu