Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.

Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.

Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.

Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.
Ngojea tukupige msasa kijana upate kuelewa mambo
Kama umeumwa miaka zaidi yakumi umelala kitandani halaf mie nikaja nikakutwanga shaba kama aliotwangwa nayo Shinzo Abe ukakata moto
Mie itakua sijakua nawala sijahusika nakifo chako kisa umeumwa nakukaa kwabed miaka hio
Turudi huku
Sawa jamaa kaanza kashkash muda toka saga la korona najuzi hapa alifaulu kura yakutokua naimani nae
Ila wananchi wanalalama hali tete vitu bei ghali havikamatiki wala kushikika nahawana namna yakueka sawa kwasasa wala karibuni
Msitafte pakutokea Nendeni MOSCOW mkapige goti mkomboke la sivyo PARIS BERLIN mpaka WASHINGTON hadi ROME mkae mkao wakula nakuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu

Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea.

Boris Johnson amesema kuwa inamuuma kupoteza kazi bora kabisa katika Dunia

Boris Johnson ataendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo mpaka chama chake cha Conservative kitapochagua kiongozi mpya wa chama

====================

Boris Johnson has announced his resignation as prime minister after less than three years in Number 10, saying: "No one in politics is remotely indispensable."

Speaking from Downing Street, he thanked the millions of people who voted Conservative at the last election, and said the reason he fought so long to remain in office was because "I thought it was my job, my duty and my obligation to you".

He said he had tried to persuade his cabinet it would be "eccentric" to change prime minister now, but added "I regret not to have been successful in those arguments" and that it was "painful not to see it through".

Mr Johnson said the process to appoint a new leader would begin now, with a timetable set out next week.

Addressing the British public, he said: "I want you to know how sad I am to be giving up the best job in the world, but them's the breaks."

SOURCE: Sky News

Samia atajiuzulu Lini?​

 
Duh! Kule mstafu kala chuma mala kule sijui anajiuzulu, nadhani muda sahihi unaongea.
 
Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Mkuu, inaweza ikawa ni sababu pia,lakini ufahamu wa mambo na hata akili ya utafiti kwa watanzania wengi iko chini sana, habari kama hii unaweza kuisoma au kuisikia toka BBC Kiswahili,wengi wetu ni ushabiki tu.Masaibu ya Boris Johnson sio ya leo, maisha yake binafsi, misimamo yake imekuwa ikiwatatiza sana waingereza.Inashangaza kuona ushabaki wa Urusi unapofusha macho ufikiri wa wengi.
 
Hakuna uhusiano wowote na Russia mkuu, mbona News ziko wazi, BBC imeweka wazi mambo matano yaliyomwondoa Waziri Mkuu,hata serikali itayaoundwa haibadili chochote msimamo wa UK kuhusu Ukraine
Mkuu hizo sababu ni propaganda tu.
Ukweli utabaki kuwa Russia ametikisa NATO na maisha ya watu wa Ulaya. Dawa inaingia taratiib

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 

Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu

Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea.

Boris Johnson amesema kuwa inamuuma kupoteza kazi bora kabisa katika Dunia

Boris Johnson ataendelea kuhudumu kwenye nafasi hiyo mpaka chama chake cha Conservative kitapochagua kiongozi mpya wa chama

====================

Boris Johnson has announced his resignation as prime minister after less than three years in Number 10, saying: "No one in politics is remotely indispensable."

Speaking from Downing Street, he thanked the millions of people who voted Conservative at the last election, and said the reason he fought so long to remain in office was because "I thought it was my job, my duty and my obligation to you".

He said he had tried to persuade his cabinet it would be "eccentric" to change prime minister now, but added "I regret not to have been successful in those arguments" and that it was "painful not to see it through".

Mr Johnson said the process to appoint a new leader would begin now, with a timetable set out next week.

Addressing the British public, he said: "I want you to know how sad I am to be giving up the best job in the world, but them's the breaks."

SOURCE: Sky News
Putin 1 - UK 0
 
Mkuu hizo sababu ni propaganda tu.
Ukweli utabaki kuwa Russia ametikisa NATO na maisha ya watu wa Ulaya. Dawa inaingia taratiib

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app

Mkuu hizo sababu ni propaganda tu.
Ukweli utabaki kuwa Russia ametikisa NATO na maisha ya watu wa Ulaya. Dawa inaingia taratiib

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mkuu si ungethibisha angalau ndugu yangu, hivi unajua nani wako hata kwenye orodha ya kumrithi Boris Johnson, kwa maoni yako Liz Truss asingekuwa kabisa kwenye orodha ya juu, msimamo wa Urussi ni mkali,uwe unafanya homework kidogo unapoandika ndugu yangu, hata ukiwa shabiki wa lolote unajaribu kuwa na objectivity, kuna clip ilisambaa mtandaoni juu ya Johnson miezi kabla hajajiulizi, ulikuwa unajua kakalia kuti kavu.
 
Back
Top Bottom