Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Pro Russia wengi wana ubongo mdogo wa kuelewa mambo, wako kama mazombi.
Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu...
 
Hiyo sababu kubwa unayoizungumzia, naomba unionyeshe link / chanzo cha habari kilichosema kuwa Boris kajiuzulu kwa sababu hiyo unayoisema....
You cant even use your common sense. Ebo!

Unasubiri CNN waseme ndiyo ukubali😂😂😂😂😂😂
 
Naona umeongezea sababu mojawapo positive kwa Putin. Kwa sababu asingetawala muda wote huo kama asingekuwa hodari. Think about it...

Hana uhodari wowote wananchi wakijaribu kuandamana ni vipigo kwenda mbele.

Wapinzani wake anawasilence kwa chemicals wafe sasa ana uhodari gani huyu? Anachojua ni annexation of others land. Ni mtu wa hovyo kuishi katika 21st Century alitakiwa aishi enzi za Berlin conference.
 
Labda wewe ndio ufatilii,kwa hiyo swala LA COVID la miezi 6 liliopita ndio limafanya ajiuzulu au sio??
Still unakuwa mkaidi,watu wana taratibu zao kukabidhiana madaraka siyo kama mnavyofanya kwenye vicoba vyenu au hizi nchi zenu hizo tuhuma anazo tangia 2020/21 siyo za leo.

Wewe unaleta league zako za kitoto za pro Russia vs Ukraine mimi sizungumzii nani kampiga nani nachozungumza mimi Johnson kajiuzulu kwa sababu ya kuvunja sheria za nchi yake umezoea kuona viongozi wako hawajiuzulu hata wakikamatwa wizi unafikiri wote mnafanana?
 
Chawa wa UK waje short course Bongo wajifunze namna ya kumpigania Boss
 
Maisha ya waingereza yamekua magumu,
Badala ya kuwaza anayawekaje sawa, Yuko bize na vikao vyao Ukraine akiwazia jinsi gani anamkomoa Putin[emoji16]
Maisha ya waingereza yamekuwa magumu je ya watanzania yakoje na mbona sisi wala hatuongei chochote..!!
 
Tanzania hali ikoje, tuanzie hapo ili tusiwe wanafiki.
 
Ana roho ya kiafrica kiafrica
 
Hakuna uhusiano wowote na Russia mkuu, mbona News ziko wazi, BBC imeweka wazi mambo matano yaliyomwondoa Waziri Mkuu,hata serikali itayaoundwa haibadili chochote msimamo wa UK kuhusu Ukraine

Ulitakiwa uuangalie uso wa Zelensky wakati anaongelea kujiuzulu kwa jamaa yake na usikie alichosema labda unaweza futa hii comment.
 
''Ninasikitika kuacha kazi nzuri zaidi duniani lakini ndiyo hali halisi
hayo ni maneno ya Borrison kuzihirisha roho ya kiafrica ya kung'ang'ania madaraka nonsense sana
 
Wananchi gani hao wa uingereza uliowasikia maoni yao kama sio viongozi mbalimbali? Ulitegemea hao viongozi watoe maoni ya namna gani?
Nyie ujinga ndio unawasumbua kwa sababu ya itikadi ya kidini, sasa subiri uone kama waziri mkuu ajaye atageuka na kuiunga mkono Russia ndio utakubaliana na mimi kwamba nyie ni wajinga.
 
Vyovyote vile hali itakavyokuwa, Russia ina future mbaya sana kuanzia mwaka ujao.
 
Hii ishu ya Boris naona Kama imewahi mno, tukielekea kwenye winter EU serikali kibao zitaanguka. Sidhan Kama Kuna wananchi watakubali kurisk maisha magumu kwa ugomvi usiowahusu[emoji4]
Watarudi tu kwa Putin wakitaka wasitake
 
Unamaanisha kwa mtu kama Assad mambo yangekua vile vile kama Wamarekani wangemchagua Clinton badala ya Trump?

Mimi naamini kiherehere cha UK kwa Ukraine kitapungua walau kidogo baada ya Boris Johnson kuachia ngazi.

Foreign policy zinabaki vile vile regardless ya nani anashika hatamu elewa hilo. Ndo hizi nchi zinavyoendeshwa.

PMs wa UK toka Gordon Brown, David Cameron, Theresa May, na sasa Boris Johnson wanajiuzulu kila siku ni fashion tu nothing more to it.
 
Oyaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji119] njooni tuwavheke tim nato wa mbagara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…