Wewe mtoto mdogo naona likizo imeanza unaiba simu za wakubwa.Tanker kitu Gani huoni kipigo
alichokula Iran pamoja na true promise imeyeyuka
Huyo jamaa siju deputy wa defense force ni Mwijaku wa kizunguNimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .
What a joke 😂😂
Uchumi ni sehemu ndogo ya vita. Ingekuwa uchumi unashinda vita Russia asingeshindwa pale Afghanistan, US asingekimbia pale Vietnam, US asingeshindwa pale Afghanistan. Hata Ukraine asingemsumbua RussiaVita ni pesa uchumi wa Urusi unaingia mara 2 kwa uchumi wa Britain, acheni kuota ndoto, huyu General wa UK sio mpumbavu kama hapo kijiweni mtogole eti hajui Urusi ina uwezo gani akachimba mkwara tu km kimbwa koko cha hapo jalalani kwenu! Mashabiki wa vita mnadhani ni yanga na simba hii
Sawa jeneraliUchumi ni sehemu ndogo ya vita. Ingekuwa uchumi unashinda vita Russia asingeshindwa pale Afghanistan, US asingekimbia pale Vietnam, US asingeshindwa pale Afghanistan. Hata Ukraine asingemsumbua Russia
Kwa hiyo shoga akiminya button ya bomu haliruki? Ficha umbumbumbu wakoUingereza ile ya WW1 /2 huwezi ifananisha na hii ya sasa iliyojaza mpaka mashoga jeshini
Kwanza uwe unaacha aya ukiandika. Kisha wewe na wasiojua wenzio mzingatie kwamba Soviet Union iliingia mkataba wa kutopigana na Ujerumani (Molotov-Ribbentrop Pact) wa mwaka 1939 kuepusha kupigana ndani ya miaka 10 inayofuatia.Nawakumbusha watoto wajuzi juzi Russia ni bingwa wa vita,, ktk ile vita y Dunia 11 Wajerman alivamia Russia lkn Russia wakapeleka upinzani kias kidogo kulinda mpaka wataotumia Wajerman kupitia,, lengo la Russia lilikuwa kuwavuta kwenye mitego yao na walijua jesh la mjerman wanatamani kuuchukua mji mkuu w Russia ili wakamwambia .mkuu wao, Russia walikuwa wanawapa upinzan mdogo lkn wenye esabu kubwa ikiwemo kuwasogeza miazi yenye baridi kali sana ambayo uko kwao awajawai ishi nayo Warussia walilidhia au kukubali mji mkuu wao viungani vikachukuliwa na Wajerman lkn waRussia awakushtuka sana vile wanqjua wanataka kufanya nini. Uku Wajerman tamaa ya kuchukua mji mkuu imewaingia kisawasawa uku baridi ya barafu imeanza uku wameonjeshwa viunga vya mji mkuu!!!!!! apo ndipo RUSSIA alianza kuwapeleka kuzimu Wajerman njia zote zakufikishiwa misaada zilitatizwa awezi pitika waliwakatia usambazaji wote Mjerman walipigwa vibaya wengi wakawa mateka na wengi walikufa kwenye barafu sababu ata njia za kurudi walipotea awakuzijua ile barafu ilibadilisha yake maeneo wakajikuta wanaelekea wasipokujua na ukisinzia tu umeganda kifo. au aje mtu akutoe msaidiane ikafika wkt wengi sasa wanatamani kuonana na jesh la Russia wakaombe pooo wawasaidie kuwaifadhi wasife kwa kuganda. Viuma viuma vyao wamevikimbia mana barafu na chuma chuma haaa kikitaitiwa kazi unayo kukitoa ao ndio Russia watu w mbinu kali sasa leo eti eti eti eti unamsikia mtu anakwambia russia anatolewa kamasi au ooohh Ukraine inamshinda !!!!! haaaaaa kashiba vimandavyake anakuja kupumua uku!!
Wewe unajua kubonyeza button tu. Kazi ipo kuliweka ilo kombola kwenye luncher yake unatakiwa huko nyuma kuwe hakujaharibikaKwa hiyo shoga akiminya button ya bomu haliruki? Ficha umbumbumbu wako
Na hawajui kuwa sio, Napoleon Bonaparte wa Ufaransa,wala Àlexander The Great wa Russia wala Hitler wa Ujerumani aliyediriki kupigana vita na Uingereza na akashinda. Kama Putin anataka kuuramba moto, ajaribu!Watoto wa mwaka 2000s hao,hawajui unyama wa Uingereza kwenye medani ya Vita na fitna.
PUMBA. Hapa hatuongelei mambo ya miaka 100 iliyopita. Miaka hiyo ata Israel alikuwa anatumia siku moja kfika Beirut baada yakuvuka boda ya Lebanon. Lakini sasa hivi miezi 2 wame stuck hapo boda. Acheni kukaririKwanza uwe unaacha aya ukiandika. Kisha wewe na wasiojua wenzio mzingatie kwamba Soviet Union iliingia mkataba wa kutopigana na Ujerumani (Molotov-Ribbentrop Pact) wa mwaka 1939 kuepusha kupigana ndani ya miaka 10 inayofuatia.
Soviet Union au Urusi kama underdog akashirikiana na Ujerumani kuivamia Poland. Wakaigawana, mwaka huo Ujerumani ikavamia Belgium na ndipo Uingereza ikatangaza vita dhidi ya Ujerumani. Ujerumani ilikuwa inaiogopa sana Uingereza ila ikalazimika iingie vitani. Walipigana miaka mitano ila huo udogo wa Uingereza mnaosema hakuna mwanajeshi wa Ujerumani hata mmoja alitia mguu Uingereza. Hiyo ndio Britain usiyoijua.
Uingereza ikaingia front kupigana kuikomboa Ufaransa na Belgium, baadae Marekani akaja. Miaka hiyo Urusi ikaivamia Finland ikateseka kushinda vita, Ujerumani baada ya kuona Warusi ni wachovu ikawavamia ili iwashinde faster faster maana Waingereza hawapigiki. Then majeshi ya Ujerumani yakaingia Urusi hadi kidogo kuichukua Moscow walifika within 20km, sio mtego wa Urusi ni uwezo mbovu. Warusi zaidi ya 20 million walikufa unasemaje ni mtego.
Allies wakiongozwa na Marekani wakatoa msaada mkubwa sana wa ndegevita, chakula, mafuta, vifaru, malori kwa Soviets kupigana ili wasishindwe na Ujerumani. Wakati huo wao wakipigana Western front. Bila msaada wa allies Urusi alikuwa mnyonge mbele ya Ujerumani ile.
Urusi ilivamiwa na Ujerumani hivyo ilibidi ipigane haukuwa msaada ilikuwa lazima, Uingereza hata haikuvamiwa na iliombwa na Ujerumani haitaki shida ila ikaingia nayo vitani. Urusi ni coward aliyekumbatia wahuni kwenye Molotov-Ribbentrop Pact ili wasimpige, na wakampiga akaja saidiwa na wenye nia njema.
hii unwritten constitution UK, wako zigzag sana kwa zaidi ya miaka 12 sasa hawana utulivu katika utawala, hawana nguvu ya ushawishi tena duniani na wala hawaaminiki tena.Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .
What a joke 😂😂
Inakuwaje nchi yako isiyo na jeshi la mashoga inapewa misaada ya kifedha kutoka nchi yenye mashoga ?Uingereza ile ya WW1 /2 huwezi ifananisha na hii ya sasa iliyojaza mpaka mashoga jeshini
Shoga anakaa kwenye logistics na mipango special forces wapo watafanya kazi hizo....Wewe unajua kubonyeza button tu. Kazi ipo kuliweka ilo kombola kwenye luncher yake unatakiwa huko nyuma kuwe hakujaharibika
Marekani, Canada, Australia , New Zealand na Uingereza ni kitu kimoja.Marekani ilikuwa koloni la Muingereza ila muingereza kwa sasa hawezi kubattle na mmarekani hata kwa dawa..zama zinabadirika sana ,watu wasikalili
Iliingia lini vitani ukaona udhaifu wake?UK zaman sio sasa hawezi kwenda head to head hata na Turkey mna mawazo ya enzi za kikoloni
Kunasiku niligundua nakimbizia demu na kijanafrani ambaye tayari ashajiweza sasa hapa unazani mi nta mpataje huyu demu.UK wanakilakitu chakujilinda nakufanya maangamiziWatoto wa mwaka 2000s hao,hawajui unyama wa Uingereza kwenye medani ya Vita na fitna.
Usiseme hivyo mkongwe ni mkongwe anasiri za nchi nyingi dunian anapesa na uchumi wa kuhimili vita nyie mnamuona kimya ila vita kashazichapa sana dunia na kuitawalaUK zaman sio sasa hawezi kwenda head to head hata na Turkey mna mawazo ya enzi za kikoloni
Sasa mkuu, hiyo ni taarifa ya General wa Uk ambaye ana Abc za jeshi lake na uwezo wake, wewe unacheka una profile gani kwenye mambo ya jeshi?Nilisoma mahali taarifa ya huyo jamaa, niliishia tu kucheka! Maana unaona kabisa anaitishia nyau Urusi.