Nawakumbusha watoto wajuzi juzi Russia ni bingwa wa vita,, ktk ile vita y Dunia 11 Wajerman alivamia Russia lkn Russia wakapeleka upinzani kias kidogo kulinda mpaka wataotumia Wajerman kupitia,, lengo la Russia lilikuwa kuwavuta kwenye mitego yao na walijua jesh la mjerman wanatamani kuuchukua mji mkuu w Russia ili wakamwambia .mkuu wao, Russia walikuwa wanawapa upinzan mdogo lkn wenye esabu kubwa ikiwemo kuwasogeza miazi yenye baridi kali sana ambayo uko kwao awajawai ishi nayo Warussia walilidhia au kukubali mji mkuu wao viungani vikachukuliwa na Wajerman lkn waRussia awakushtuka sana vile wanqjua wanataka kufanya nini. Uku Wajerman tamaa ya kuchukua mji mkuu imewaingia kisawasawa uku baridi ya barafu imeanza uku wameonjeshwa viunga vya mji mkuu!!!!!! apo ndipo RUSSIA alianza kuwapeleka kuzimu Wajerman njia zote zakufikishiwa misaada zilitatizwa awezi pitika waliwakatia usambazaji wote Mjerman walipigwa vibaya wengi wakawa mateka na wengi walikufa kwenye barafu sababu ata njia za kurudi walipotea awakuzijua ile barafu ilibadilisha yake maeneo wakajikuta wanaelekea wasipokujua na ukisinzia tu umeganda kifo. au aje mtu akutoe msaidiane ikafika wkt wengi sasa wanatamani kuonana na jesh la Russia wakaombe pooo wawasaidie kuwaifadhi wasife kwa kuganda. Viuma viuma vyao wamevikimbia mana barafu na chuma chuma haaa kikitaitiwa kazi unayo kukitoa ao ndio Russia watu w mbinu kali sasa leo eti eti eti eti unamsikia mtu anakwambia russia anatolewa kamasi au ooohh Ukraine inamshinda !!!!! haaaaaa kashiba vimandavyake anakuja kupumua uku!!