Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza imezoea kutumia makoloni yake au kutumia washirika kupigana vita, wambie wasimame peke yao mwanzo mwisho kama aibu aitawaandama
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
mkuu labda tukushangae wewe

UK ana bonafide modern military experience more than 1000years

UK yenye ardhi kama nukta ana uchumi wa GDP 3.34Trilioni wakati Urusi yenye ardhi kubwa kama Africa nzima ina GDP ya 2Trilion

UK sio matacor kama unavyodhani mzee
 
Kamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.
Tunza hii post , kwasasa Urusi ni koloni la China , nyiny mnashangilia mitandaoni ila Kila kitu ndan ya Urusi ni made in China , siku China alijenga ties na west bas Urusi amaliz wiki kwenye hii vita
 
Nilisoma mahali taarifa ya huyo jamaa, niliishia tu kucheka! Maana unaona kabisa anaitishia nyau Urusi.
Mtu huez kujishonea hata chipi , sijui akil za kumkosoa huyo jamaa unatoka wap , huyo Urusi mwenyew kaingia chimbo kujitathimin
 
Hapana, hapana, hapanaaaa... Na wewe ni shabiki tuu kama wengine. Russia is a giant in another level! Ikiwa TU, Russia ana Nuclear weapons kuzidi NATO wote, unapata wapi ujasiri wa kusema eti Britain peke yake ana msuli wa kumkabili Russia, ACHENI MAHABA deal with reality!
Kwa hiyo huyu British General hayajui hayo unayoyajua wewe?
 
Kamasi lipi tuliwaambia Russia anawavuta waingie Nato vitani awanyoleshe soma hii Putin kashazeeka lkn ukitasmin mipango ya nchi za West pamoja na iyo marekani Canada wameisogelea sana Russia kitu ambacho ni hatari kwa mustakabari wa Russia kwanini wanasogelea Russia miaka na miaka adi sasa wapo milangoni mwa mipaka ya Russia? So mjue waRussia chini ya PUTIN wameamua kabla Putin kufa au kuacha nchi itawaliwe na mwengine PUTIN kapewa jukum kuondosha kitisho kilicho izunguka Russia miaka kwa miaka wapo tayali kufa waRussia ata 3milion lkn lengo lao litumie nalo ni kuondosha kitisho ichi kilicho kalibu na mipaka yao Wa Russia wanataka kupigania haki yao inch yao mustakbari wao na kizazi chao hii Vita aitoisha adi Russia wajilidhishe sasa akuna kitisho, hii vita aikwepeki ipo tena kubwa sana lkn Russia ndio mshindi,, Wazungu wa Ulaya na USA bado wanakuna vichwa je huu ndio muda wa vita lkn!! upande wa Russia upo wazi wanaitaka hii Vita kuvunja njama zilizoizunguka RUSSIA Russia bado ajaonesha makali yake. Lkn kimbelembele cha West kinaenda kuisha na mustakbari wa Dunia unaenda Badilika soon.
Mkuu shule hukufundishwa paragraph, mkato na nukta ktk uandishi?
 
Tunza hii post , kwasasa Urusi ni koloni la China , nyiny mnashangilia mitandaoni ila Kila kitu ndan ya Urusi ni made in China , siku China alijenga ties na west bas Urusi amaliz wiki kwenye hii vita
Huna akili.
 
Unajuwa GDP isikudanganye unaweza kuwa na kinchi kama Qatar ukaambiwa tajiri number one lakini unagawa na population ya watu nchi haina hata watu million. Hata ukitaka number hizo UK number 7 na Russia 11 kijeshi Russia ana rank nyuma ya USA ila UK ina watu kama milion 70 russia wanagonga 150 huko ki size UK inaingia mara 70 ndani ya Russia.
Mbali na hiyo, Russia ana kila aina ya rasilimali, kuanzia mafuta mpaka madini, pia kumbuka hata watu ni rasilimali pia. Russia ni mzembe, kwa resources ambazo anazo alipaswa kuwa mbali zaidi ya hapo.
 
Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.

Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.

Hata roma imeshawahi kutawala dunia.

Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.

Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.

Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
Yees, that's true
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Kwamba
 
Huu ushabiki mnao ufanya as if mnashabikia mpira siyo mzuri dada angu..madhara ya hizi vita sisi hatuwezi kuyakwepa..let us be honest. Haipendezi hata kidogo
Ngoja tuvisiwa huto tuzamishwe kmmk
 
Katika dunia hii kuna mataifa matatu tu ambayo yakiungana yanaweza kuchakaza taifa lolote likapoteana. Mataifa hayo ni USA, UK na France. Kati yao hakuna ataye ingia vitani bila support ya wengine. USA pamoja na power aliyo nayo hawezi kuingia vitani bila ya support ya UK na France. Hizo nchi tatu ndo NATO yenyewe. Hao ndo mabwana wa vita katika dunia hii. Sio kwa miaka iliyopita wala leo au kesho. Kwa sasa hakuna mataifa yenye umoja wa vita kama USA, UK na Ufaransa. Na walivyo na akili wanahakikisha hakuna mataifa yanayofanikiwa kutengeneza umoja wa kupigana kama wao. Kwenye issue za vita wako vizuri kiteknolojia, kimbinu, kiuchumi na kipropaganda. Mataifa mengine kuja kuwazidi hao sio leo
 
Vita ni pesa uchumi wa Urusi unaingia mara 2 kwa uchumi wa Britain, acheni kuota ndoto, huyu General wa UK sio mpumbavu kama hapo kijiweni mtogole eti hajui Urusi ina uwezo gani akachimba mkwara tu km kimbwa koko cha hapo jalalani kwenu! Mashabiki wa vita mnadhani ni yanga na simba hii
India, Canada na Japan zote Zina uchumi mkubwa kuliko Russia, je yeyote kati yao anaweza mpiga Russia?
Kinachopigana vita siyo uchumi tu ndugu. Kinachongaliwa zaidi ni nguvu ya kijeshi (yaani military superiority) Kwa kungazia mambo yaguatayo: silaha, techonojia, stratejia, ukubwa na uwezo wa jeshi.
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Una akili ndogo au huna kabisa.

Hujui kuwa Ulaya mashariji ni eneo la muungano wa NATO?
Hujui kuwa UK ni sehemu ya NATO?
Kuna ulale dogo
 
India, Canada na Japan zote Zina uchumi mkubwa kuliko Russia, je yeyote kati yao anaweza mpiga Russia?
Kinachopigana vita siyo uchumi tu ndugu. Kinachongaliwa zaidi ni nguvu ya kijeshi (yaani military superiority) Kwa kungazia mambo yaguatayo: silaha, techonojia, stratejia, ukubwa na uwezo wa jeshi.
Kwa hiyo logistics zinafanywa kwa maombi?
 
Back
Top Bottom