Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Mkuu punguza jokes 🤣 😂 na mleta mada ni muongo aliekubuhu na ndio maana haweka chanzo cha habari. Hii habari ipo The East African.Kipigo atakachopewa mwingereza na M23 atahadithia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza jokes 🤣 😂 na mleta mada ni muongo aliekubuhu na ndio maana haweka chanzo cha habari. Hii habari ipo The East African.Kipigo atakachopewa mwingereza na M23 atahadithia
Mikwara bubu na kuwapa matumaini hewa wanyonge. Pembeni wanakutana na Kagame wanampa Fedha za maendeleo WB na IMFWaziri wa mambo ya nje wa Uingereza anaeshughulikia mambo ya Afrika Lord Collins ameweka wazi bila shaka yoyote kwamba serikali ya Rwanda inashirikiana na vikundi vya ugaidi kama vile ISIS ya Iraq na ADF- NALU kufanya mauaji nchini DRC.
Aidha, Lord Collins amesema vikundi hivyo vimesababisha hali ya kutotulia kwa baadhi ya maeneo ya maziwa makuu hasawa nchini DRC,amesema Uingereza itahakikisha wahusika wote mmoja mmoja wanafikishwa katika vyombo vya kisheria kujibu uhalifu wa kivita na mauaji yanayoendelea nchini DRC, pia serikali ya Uingereza inafikiria tena kuongeza vikwazo vigumu zaidi kwa serikali ya Rwanda
Kagame kashasema" Whoever will touch the borders of Our Beloved Small Country.......Hiiiiii!!Kipigo atakachopewa mwingereza na M23 atahadithia
🤣🤣🤣 kashachokaKagame kashasema" Whoever will touch the borders of Our Beloved Small Country.......Hiiiiii!!
Waandishi wakacheka😀😀
Akamalizia " We will fight like People has nothing to loose and the responsible person will pay the price than Us.
Kana kwamba anasema atakayeigusa Rwanda, japo watapata hasara lakini mvamizi atalipa gharama na madhara makubwa kuliko wao.
Wewe unasumbuliwa tu na udini, kwani hakuna Wazungu Waislam?Bado Awajasema Watasema Kweli kuwa awa ADF sio Waislam ni MAWAKALA wa WAZUNGU MZUNGU mpuudhi sana kwenye Dunia yetu . Apigwe tu.
Wewe unasumbuliwa tu na udini, kwani hakuna Wazungu Waislam?Bado Awajasema Watasema Kweli kuwa awa ADF sio Waislam ni MAWAKALA wa WAZUNGU MZUNGU mpuudhi sana kwenye Dunia yetu . Apigwe tu.
Uingereza ikikomaa tu. Jamaa mrefu kwesha habari yake. Yale ya Muamal Gadaff yatamhusuWaziri wa mambo ya nje wa Uingereza anaeshughulikia mambo ya Afrika Lord Collins ameweka wazi bila shaka yoyote kwamba serikali ya Rwanda inashirikiana na vikundi vya ugaidi kama vile ISIS ya Iraq na ADF- NALU kufanya mauaji nchini DRC.
Aidha, Lord Collins amesema vikundi hivyo vimesababisha hali ya kutotulia kwa baadhi ya maeneo ya maziwa makuu hasawa nchini DRC,amesema Uingereza itahakikisha wahusika wote mmoja mmoja wanafikishwa katika vyombo vya kisheria kujibu uhalifu wa kivita na mauaji yanayoendelea nchini DRC, pia serikali ya Uingereza inafikiria tena kuongeza vikwazo vigumu zaidi kwa serikali ya Rwanda
ThubutuUingereza ikikomaa tu. Jamaa mrefu kwesha habari yake. Yale ya Muamal Gadaff yatamhusu
Mwingereza huyu huyu? Kwani Rwanda si ni Sovereinity country?Muonyeni jamaa yenu Mr slim atachakazwa muda sio mrefu. Tena battle itahamia Palepale uzayuni ya bongo.
Yeye si ajajifanya gentle wakiafrika. Mzungu hanaga huruma
Well, ndio ukweliHao huenda wanajuana.
Hadharani wanajifanya kupinga ugaidi.
Ila kimyakimya wanasapoti
Washamtumia kama kondom,sasa wanatafuta namna ya kumtupaKuna Mtu anatafutwa yaani wanamtafuta kinyatu nyatu
Libya haikuwa sovereign?, never trust the white monkeyMwingereza huyu huyu? Kwani Rwanda si ni Sovereinity country?
Mbona uelezi ccm kuwa nao wanahusika na ujinga wa nchiTrump ndio kiboko ya wote, nasubiria soon ataanza na Mr. Slim
Tshisekedi kaamua kupigana kisomi, safari zake za ulaya sijui kawahonga nn wazungu hadi wameanza kumtema slim shady, ngoja tuone mwisho itakuaje🤣😃 itakua wamesha mtumia mr slim now kaota mapembe so ameanza kuwadindia walio mpa power ngoja kiwake tuone