Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
- Thread starter
- #41
Nasikia na waganda wanaisapoti rwanda. Vp intelijensia haijawabaini nao wakawekewa vikwazo
Una mambo mengi lakini sio mbaya mvua inanyesha na udongo unateleza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia na waganda wanaisapoti rwanda. Vp intelijensia haijawabaini nao wakawekewa vikwazo
Slim alishasema mwanaume kufa kwa maleria ni aibu bali kifo cha heshima kwake ni risasi.Muonyeni jamaa yenu Mr slim atachakazwa muda sio mrefu. Tena battle itahamia Palepale uzayuni ya bongo.
Yeye si ajajifanya gentle wakiafrika. Mzungu hanaga huruma
Pimbi kama kasema hivyo,anadhani wote tupo kufanya vuruguSlim alishasema mwanaume kufa kwa maleria ni aibu bali kifo cha heshima kwake ni risasi.
Adf ni wagandaNasikia na waganda wanaisapoti rwanda. Vp intelijensia haijawabaini nao wakawekewa vikwazo
Takataka tu ileSlim alishasema mwanaume kufa kwa maleria ni aibu bali kifo cha heshima kwake ni risasi.
Domo tu. Sababu anajua congo ni dampo lililotelekezwa kila mtu anajiokotea tuKagame kashasema" Whoever will touch the borders of Our Beloved Small Country.......Hiiiiii!!
Waandishi wakacheka😀😀
Akamalizia " We will fight like People has nothing to loose and the responsible person will pay the price than Us.
Kana kwamba anasema atakayeigusa Rwanda, japo watapata hasara lakini mvamizi atalipa gharama na madhara makubwa kuliko wao.
AiseeKipigo atakachopewa mwingereza na M23 atahadithia
WANA WAZIRI wa Mambo ya Nje mmoja tu.Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza anaeshughulikia mambo ya Afrika Lord Collins ameweka wazi
Sawa elewa hivyo sijazumgumza anaeshughukia wachina nimesema Afrika, wenzetu wamegawa hususani Afrika elewa Geopolitics kwanzaWANA WAZIRI wa Mambo ya Nje mmoja tu.
HAKUNA Waziri wa Mambo ya nje aneshugulika na Wadengeleko na mwingine anashughulika na Wachina na mwingine wadosi wa Punjab. Acha kutudanganya danganya we mjuba we.
elewa tu hivyo wenzetu wana idara maalumu ya mambo ya Afrika hata soma USA and European foreign policy and geopolitics kumbe we bado umelalal daah amkaWANA WAZIRI wa Mambo ya Nje mmoja tu.
HAKUNA Waziri wa Mambo ya nje aneshugulika na Wadengeleko na mwingine anashughulika na Wachina na mwingine wadosi wa Punjab. Acha kutudanganya danganya we mjuba we.
Ila Wazungu sio watu wazuri kabisaWashamtumia kama kondom,sasa wanatafuta namna ya kumtupa
Yuko madarakani kwa sababu ya kuwatawala wanyarwanda kidikteta. Siku kagame akijaribu kuingia vitani hata na Burundi tu ndio utakuwa mwisho wa utawala wa kitutsi nchini Rwanda. Na yeye analijua hilo na kauli zake za vitisho zinaonesha kuwa ni mtu anayeishi kwa hofu sana.Kagame kashasema" Whoever will touch the borders of Our Beloved Small Country.......Hiiiiii!!
Waandishi wakacheka😀😀
Akamalizia " We will fight like People has nothing to loose and the responsible person will pay the price than Us.
Kana kwamba anasema atakayeigusa Rwanda, japo watapata hasara lakini mvamizi atalipa gharama na madhara makubwa kuliko wao.
Wanafiki tu hao. Wanakupumbazeni muone hawapo pamoja na Slim huku yao yanawaendea.Mungu wabariki Wazungu
Anaishi kwa hofu? Go and try😀😀Yuko madarakani kwa sababu ya kuwatawala wanyarwanda kidikteta. Siku kagame akijaribu kuingia vitani hata na Burundi tu ndio utakuwa mwisho wa utawala wa kitutsi nchini Rwanda. Na yeye analijua hilo na kauli zake za vitisho zinaonesha kuwa ni mtu anayeishi kwa hofu sana.
Wazungu sometimes ni watu wa hovyo sanaWanafiki tu hao. Wanakupumbazeni muone hawapo pamoja na Slim huku yao yanawaendea.
Hofu ya kupinduliwa na wanyarwanda wenzake hasa wa kabila la wahutu.Anaishi kwa hofu? Go and try😀😀
Kajinga kagam23😀😀Anaishi kwa hofu? Go and try😀😀
Ma cobra fc😆😆 wazee wakupiga na kupoteaADF ndio siwaelewi nini wanataka maana kila siku mipango yao ni kuchinja watu tu, awachukui maeneo kwa maana ya kuongeza maeneo wanayo kaa.
Wao ni kuua watu na kukimbia, yaani mambo ya ajabu na kusikitisha.