Uingereza yaishtumu Rwanda kufanya kazi na ISI na ADF kufanya mauaji DRC

Sawa elewa hivyo sijazumgumza anaeshughukia wachina nimesema Afrika, wenzetu wamegawa hususani Afrika elewa Geopolitics kwanza

Waweje na Waziri anaeshughulikia Waafrika wasiwe na anaeshughulikia Wachina ??????

Na wa Wa Spanish ????

We bana we usitulishe tango pori we mtu we
 
Waweje na Waziri anaeshughulikia Waafrika wasiwe na anaeshughulikia Wachina ??????

Na wa Wa Spanish ????

We bana we usitulishe tango pori we mtu we
Cha muhimu some content ya habari hayo mengine unatafuta majungu tu elewa habari basi
 
Mwaka huu Twanda hatoboi, EU yote lazima umuwekee vikwazo
 
Sawa mkuu tugange yajayo boss muhimu taarifa umeshaisoma
Taarifa sijaikubali, ya uongo.

UK hawana Waziri wa Mambo ya nje kwa kila kundi na kabila la dunia.

Waziri wa Mambo ya Nje yupo mmoja tu, wa dunia nzima. Anaitwa David Lammy.

Post Script: Undersecretary sio Waziri
 
Usipoweka chanzo cha hii habari MBOKA NA NGAI Matawi ya juu watabisha .
 
ADF?! kama anao ushahidi au anatulisha matango yaliyofanyiwa GM.

Hizi ni tuhuma nzito sana kwanini serikali ya Rwanda haijazijibu fasta.
 
Lakini unadua kuishi kwa vifaranga vya kuku si huruma ya mwewe? Huwezi kuzuia mvua kunyesha ikiwa wingu limetanda. We kunywa maji upooze koo, maana unaotaga mchana tu. Rwanda haihitaji huruma ya yeyote kuishi
Ondokeni Drc..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…