StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Watani zangu Liverpool mna mkosi ...
Uingereza anasogeza pua Vita na iran,.... Iran anaangusha Bomu pale London na EPL inasimamishwa huku Liverpool akilikosa Kombe kale ...
Ligi itarudiwa mwakani ...
Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Albert Einstein alijisemea kama ikitokea vita ya 3 hajui itapiganwa na nini,ila vita ya 4 ya dunia itapiganwa kwa fimbo na mawe. Unajua kwa nini?Kwa sababu techlogy imeendelea mno. Watu wana silaha za kuteketeza dunia nzima in minutes. Hivyo vita ya tatu itairudsha dunia tu zero.Lazima awe macho... Alinde maslahi yake... Iran sio dagaa kama unavyosema.. Ana uwezo wa kumtingisha marekani mpaka asiamini... Ana nyuklia pia... Ndo maana hata US anajaribu kumdhoofisha kidogo kidogo kwa kuondoa wale vichwa kwanza... Wakiingia vitani Iran anaweza target miji muhimu hata mitatu New York, Los Angeles na DC ikianguka hiyo US basi tena..,Japo wakati huo tunaweza kuwa tunaiona Iran kwenye ramani tu...
Wamelaani kwa kuwa kambi iliyopigwa wanashirikiana na wamarekaniIla hawakulaani shambulio la USA kwa Kassimu Selemani. The world is full of hypocrites. Idiots UK.
Mkuu umeni impress Sana kwakweli nikuombe uanzishe Mada juu ya hii mioto ya nyika inaanzaje zamani nilijua ni wawindaji Sasa nikashangaa hata marekani na Australia ? Plz ukipata muda anzisha Uzi au la nikuulize wewe mwenyewe pm nahitaji Sana kujua.We moto unaujua unausikia.
Moto uliouwa familia ya Stereo Singasinga nchi yako iliweza kuuzima?
.
Nitafute kwa muda wako nikupe elimu juu ya mioto ya kiangazi, mioto inayojitokeza sehemu kame na kwanini huwa ni ngumu kudhibitiwa na kipi kifanyike ili kama ikitokea iwe rahisi kuidhibiti.
.
Tukimaliza nakupeleka Serengeti mwezi may ukaone vyenye si hufanya
Lakini mkuu hawa jamii za kiarabu wakiachiwa wajitengenezee ma nuclear kiholela..!Je unadhani dunia itakua sehem salama tena..Think weka hoja.Iran ndo namuona superpower. Maana wanafanya kila njia kumuangusha. Biashara wamembania. Wanamsingizia anatengeneza silaha nzito za nuclear. Hao USA kwani wao hawatengenezi ?
My dear just imagine Iran bila vikwazo ilivyowekewa. Iran ni superpower. Bila kuibania Iran ingekuwa mbali mno. Wairani wana akili kama mchwa. Wale Persian achana nao kabisa.
sisi tunataka kiwake mambo ya Mungu nenda kanisani huko acha watu waonyeshane ubabeTuombe Mungu aepushie mbali vita, sisi wote ni watoto wa Mungu tupendane
Kwanza Iran sio waaarabu. Wairan ni peace sana. Sema tu wanachokozwa sana.Lakini mkuu hawa jamii za kiarabu wakiachiwa wajitengenezee ma nuclear kiholela..!Je unadhani dunia itakua sehem salama tena..Think weka hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
It seems hauna cha kupoteza, sisi wawekezaji hilo jambo hatulitazamiisisi tunataka kiwake mambo ya Mungu nenda kanisani huko acha watu waonyeshane ubabe
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaica huku tunapiga cha arusha tu mambo ya vita hatuna habari nayoSorry, hivi Jamaica wazee wa msuba hua wana jeshi? Sijawahi kusikia
Aliwakosea nini?Aliwakosea na ndio maana akawekewa vikwazo..
Nitatoa darasa mkuuMkuu
Mkuu umeni impress Sana kwakweli nikuombe uanzishe Mada juu ya hii mioto ya nyika inaanzaje zamani nilijua ni wawindaji Sasa nikashangaa hata marekani na Australia ? Plz ukipata muda anzisha Uzi au la nikuulize wewe mwenyewe pm nahitaji Sana kujua.
Wanalo tena a very strong one Jeshi linalowamudu wavuta bange liogope sana.Sorry, hivi Jamaica wazee wa msuba hua wana jeshi? Sijawahi kusikia
Au sioHahah na ni huyu huyu mtawala wa dunia Tanker lake la mafuta lilikamatwa na Iran akalia lia weeee na hakurusha hata risasi 1 kwenda Iran.
dodge
Amani ganiHawakulaani kwasababu qassim alikua anachukuliwa kama gaidi mvuruga amani, ila wanajeshi wa marekani ni wadumisha amani
Cmp mbona unanidhalilisha yani wewe kabisa wa kuandika hivi?😝Watafanya nini hao UK?Meli yao ya mafuta ilishikiliwa na Iran walibwabwaja mikwara kibao lakini hawakufua dafu walisalimu amri.