1. Hajatokea Natanyahu kutia neno hadharani tokea kipigo cha jumapili.
2. Inafahamika amekuwa na vikao vya baraza la vita kila siku tokea siku hiyo.
3. Ziarani Israel David Cameron kaliweka wazi:
4. Kwamba kama alivyofanya Iran, mwendo ni calibration ya mapigo kutoleta madhara sana:
5. Kwa mwendo huu tutegemee calibration moja baada ya nyingine hadi yenye madhara itakapojiri.
6. Yetu macho, ngoja tuone
2. Inafahamika amekuwa na vikao vya baraza la vita kila siku tokea siku hiyo.
3. Ziarani Israel David Cameron kaliweka wazi:
4. Kwamba kama alivyofanya Iran, mwendo ni calibration ya mapigo kutoleta madhara sana:
5. Kwa mwendo huu tutegemee calibration moja baada ya nyingine hadi yenye madhara itakapojiri.
6. Yetu macho, ngoja tuone