Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

Zingatia kipigo kile ilikuwa mvua ya masaa 5 mfululizo. Wadhani hiyo ndugu alikuwa ofisini au kitandani mida hiyo?
Wazayuni walikaa wiki mbili wakimzomea muajemi ikiwa atafanya lolote, muajemi akiwa kwenye vikao vingi kujiridhisha ikiwa anao huo uwezo wa kumpiga myahudi, hatimaye alituma hicho alichokituma kwa myahudi, hata hivyo wachambuzi wa mambo wamehitimisha kusema, kilichofyatuliwa hakikufanya lolote Israel na ndiyo maana Myahudi anaweza kupuuza ama la

Hata hivyo, myahudi ni mgomvi na hatakagi kushindwa, kunakinachowekwa sawa, sijui Teheran atamudu kuzuia kitakachotumwa hapo

Yetu macho
 

Tehran kesha sema:



Kina imhotep waliita kuonja sumu kwa ulimi.
 
oct 7, hamas wangeachwa ingekua maneno wametandikwa barabara imekua maneno iran wakiachwa maneno wakibondwa italeta maneno pia kumbuka israel wana iron dom wana bomb shelters kilq kona iran hana hio makitu sana sana atatumia tu human shield ili atie huruma so makombora yakitua mitaani wanokufa ni watoto wazee
 
Katika historia yao suleiman tu ndo hakua na kashi-kashi na aliahidiwa na Mungu
Lakin wengine wote kuanzia kipindi cha waamuzi mpaka leo kwa kina netanyau ni mwendo wa vita tu
 
Hata hivyo, myahudi ni mgomvi na hatakagi kushindwa,
Pale redsea mpaka Leo amefanya Nini mbele ya Waouth?kawangiza UK na us matatizoni mpaka Leo hakuna walichoweza.70% ya nishati Duniani inapitia strait of Hormuz ambapo Iran yaweza kuifunga,jakamoyo walilonalo la nishati ya Urusi,,waongeze lingine?
 
Kama sio u.k leo hii israel isingekuwepo soma historia vizuri wale ni kama wadhamini kwa muisraeli hawawezi muacha sababu ndo waliotengeneza taifa la israel

Mzungu anafikiria mbali sana sio sawa na mwafrika ambaye hajui hata mipango ya miezi sita
 
Kwanini yatue mitaani wakati ya iran yalitua kwenye makambi ya kijeshi
 
Unamaanisha vile vita vya kufikirika vya kwenye upuuzi wa biblia iliyotungwa na mfalme James wa england?....
 
Kati ya vitu ambavyo israel itajishauri sana kabla ya kufanya ni hii ya kujibu mapigo kwa Iran, wakibugi tuu inakula kwao.
Hapo mashariki ya kati Israel hajawahi kushindwa vita, kila baada ya muda hayo mataifa huwa yanataka yaipige Israel yaiondoe lakini yanaishia kupewa kipigo.
 
Hapo mashariki ya kati Israel hajawahi kushindwa vita, kila baada ya muda hayo mataifa huwa yanataka yaipige Israel yaiondoe lakini yanaishia kupewa kipigo.

Kwani huwa anapambana mwenyewe bila ma sponsor na misaada ya hali na mali?



Kwani gharama hizi za vita Kwa masaa 5 tu anazimudu?
 
Mie naamini wakipigana Iran atashindwa, Israel ana back up ya maana zaidi.
Sasa Iran anasaidiwa vita na choka mbaya Lebanon, Syria na Yemen atatoboa kweli??.
We angalia hata juzi karusha madude kibao yametunguliwa karibu yote, ye akirushiwa kiasi kile itakuwaje?!.
 
Acheni kudanganywa na kujidanganya.hipasonic imepiga vema.
 
Unaijua Bavar 373. Khordad-3, Khordad-15. Russian's s-300. Unadhani taifa kubwa kama lile linakosa Air Defence systems? 😂 We utakuwa unaangalia sana movie za wazungu.
 

Usisahahu yaliyorushwa yalirushwa kwa namna, viwango na hadi mida kama ilivyoafikiwa:





Hiyo ndiyo Ile maana kamili ya hiyo calibration kumfanya mtu ajizuie kujibu mapigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…