African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
Eti atashindwa π. Kuhusu backup Iran ana backup ya Russia na China.Mie naamini wakipigana Iran atashindwa, Israel ana back up ya maana zaidi.
Sasa Iran anasaidiwa vita na choka mbaya Lebanon, Syria na Yemen atatoboa kweli??.
We angalia hata juzi karusha madude kibao yametunguliwa karibu yote, ye akirushiwa kiasi kile itakuwaje?!.
Umesoma historia wapi?. Hapo mzayuni anachomoka kama alivyochomoka mara zote kwenye historia. Ni suala la muda tu historia itajirudia tena. Na Iran kashaapa kumchomoa hapo na atafanya hivoHapo mashariki ya kati Israel hajawahi kushindwa vita, kila baada ya muda hayo mataifa huwa yanataka yaipige Israel yaiondoe lakini yanaishia kupewa kipigo.
Israel akipiga kombora lolote Iran kitakachotokea ni Vita kamili. Maana Israel hana sababu yeyoye ya msingi kupiga Iran. Iran ikifanya hiyo kama kulipiza shambulio dhidi yake(ubalozi ni nchi) na ilifanya malipizi kupitia artìcle 51 ya UN Charter.
Sasa Israel inatumia vigezo gani. Baada ya shambulio hilo Iran naweza kutangaza vita rasmi kwa kuamiwa na Iran. Tayari Escalation.....
Hawa jamaa wakianza kunyukana tu, CCM wataanza kupata vitu vya kujiteta kwenye kampeni za 2025...
Wazee wa kutembelea nyota ya vita vya wazungu...
Na haiwezi kutokea kwa sababu tayari Israel imenywea.Hii vita sio ya kuomba itokee
Mungu jehova yupi aliyeko nyuma yao tuweke sawa kidogo mana kama huyu jehova ninaemjua mimi(yesu) umetupiga kamba mchana kweupe,, kwani wao wenyewe last born wa mungu (Israel) ndio waliomshushia kisago na kumtundika pale msalabani na hawataki hata kumsikia,, kwa hiyo tuweke sawa, mungu jehova yupi huyo anamzungumzia hapa ambao waisrael wanamtegemeaNijuavyo, Israel ndio taifa lenye historia na vita vingi kulijo taifa lolote duniani, anajua kupiga na kupigwa pia anajua!
Mpaka hapa, Isarael anaweka mambo yake sawa tu ili vita kamili vipiganwe
Hawaogopi majeshi yoyote, wao wanaamini kila vita, Mungu JEHOVAH yuko nyuma yao na wanaamini zaidi kushinda kuliko kushindwa
Mungu sio kama wewe usiyesamehe wanaokukoseaMungu jehova yupi aliyeko nyuma yao tuweke sawa kidogo mana kama huyu jehova ninaemjua mimi(yesu) umetupiga kamba mchana kweupe,, kwani wao wenyewe last born wa mungu (Israel) ndio waliomshushia kisago na kumtundika pale msalabani na hawataki hata kumsikia,, kwa hiyo tuweke sawa, mungu jehova yupi huyo anamzungumzia hapa ambao waisrael wanamtegemea
Tatizo sio sio kusamehe ila wewe unalazimishisha wayahudi wamkubali mungu wako huyo yehova wakati wao hawamkubali,, tena wanamuona mtoto wa haramMungu sio kama wewe usiyesamehe wanaokukosea
YEHOVAH aliyewatoa Misiri katika UtumwaMungu jehova yupi aliyeko nyuma yao tuweke sawa kidogo mana kama huyu jehova ninaemjua mimi(yesu) umetupiga kamba mchana kweupe,, kwani wao wenyewe last born wa mungu (Israel) ndio waliomshushia kisago na kumtundika pale msalabani na hawataki hata kumsikia,, kwa hiyo tuweke sawa, mungu jehova yupi huyo anamzungumzia hapa ambao waisrael wanamtegemea
Awe kawakomboa kutoka misri awe kawakomboa kutoka buza kikubwa asiwe yesu tu,, kwa maana walokole wengi hasa wale wanaosali kwenye makanisa ya mabati yaliyotapakaa huku uswahilini wanaamini mungu yesu ndo huyo aliewakoa hao waisrael kule misri na hao waisrael wanamuamini huyo mungu yesu kitu ambacho ni chai tena ya mchana, kwa kuwa sote tunafamu waisrael hawamkubali mungu yesu tena wanamuona mtoto wa haram na kosa kuhubiri injili ya mungu yesu kule Israel na sheria wameipitisha kabisa.YEHOVAH aliyewatoa Misiri katika Utumwa
Kutoka 6:6
"Basi waambie wana wa Israeli, Mimi ni YEHOVA, nami nitawatoa ninyi mtoke chini ya mizigo ya Wamisri, nami nitawaokoa na utumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyoshwa, na kwa hukumu kubwa;"
Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Awe kawakomboa kutoka misri awe kawakomboa kutoka buza kikubwa asiwe yesu tu,, kwa maana walokole wengi hasa wale wanaosali kwenye makanisa ya mabati yaliyotapakaa huku uswahilini wanaamini mungu yesu ndo huyo aliewakoa hao waisrael kule misri na hao waisrael wanamuamini huyo mungu yesu kitu ambacho ni chai tena ya mchana, kwa kuwa sote tunafamu waisrael hawamkubali mungu yesu tena wanamuona mtoto wa haram na kosa kuhubiri injili ya mungu yesu kule Israel na sheria wameipitisha kabisa.
Hata Iran magaidi wote duniani wanamsaidia wakiwemo wale wauza alkasus wa kibiti.Kwani huwa anapambana mwenyewe bila ma sponsor na misaada ya hali na mali?
View attachment 2966999
Kwani gharama hizi za vita Kwa masaa 5 tu anazimudu?
Tayari Israel kajibu mkuu,1. Hajatokea Natanyahu kutia neno hadharani tokea kipigo cha jumapili.
2. Inafahamika amekuwa na vikao vya baraza la vita kila siku tokea siku hiyo.
3. Ziarani Israel David Cameron kaliweka wazi:
View attachment 2966277
4. Kwamba kama alivyofanya Iran, mwendo ni calibration ya mapigo kutoleta madhara sana:
View attachment 2966279
5. Kwa mwendo huu tutegemee calibration moja baada ya nyingine hadi yenye madhara itakapojiri.
6. Yetu macho, ngoja tuone
Kapiga tayari,