Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Madikteta wengi hujidanganya kama hivi , lakini mwisho wa siku wanaokotwa kwenye makaravatiWataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Aitwe na nani? Slow slow au kabugi?Huyu sasa ndio wakuitwa atuelezee mgombea yupi alikuwa disqualified.
KabudiAitwe na nani? Slow slow au kabugi?
Likitokea au wakionyesha kwa vitendo masikitiko yao hapo sawa lakini sio kutoa matamko alafu siku mbili mbele wanaleta hela tena za msaada au wanatoa tena tamko la kusifuMadikteta wengi hujidanganya kama hivi , lakini mwisho wa siku wanaokotwa kwenye makaravati
Hawajielewi!Wenyewe hawajielewi na wanahali mbaya. Waache unafiki na kujikuna ambako hawawashwi.
God bless Tanzania!
Kabudi kwa sababu huyo bibi ni muongo mchana kweupeAitwe na nani? Slow slow au kabugi?
Amtolee ile mimacho yake halafu amwambie tumekasirika sana!!Kabudi
Who are you to make that decision?Cecil Mwambe kwanza ,mengine baadae.
#mbowe must Go.
Wao ni nani kivipi? Kila mtu na nchi yake.Hawajielewi!
Wana hali mbaya!
Hawawashwi!
Haya sawa, basi tusubiri siku wakiwa wamejielewa, wana hali nzuri na wanawashwa ndiyo tutawajuwa wao ni nani!
Who are you to make that decision?
Naona hata angesema JPM ni rais wa Tz bado ungemwona muongo. Hayo aliyosema yalifanyika mchana kweupe! Uongo wake ni upi?Kabudi kwa sababu huyo bibi ni muongo mchana kweupe