infinix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 2,096
- 2,150
Kwani wametuingilia?Ndiyo ujue wasituingilie. So what [emoji46] macho kodoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wametuingilia?Ndiyo ujue wasituingilie. So what [emoji46] macho kodoo
Kinachowasikitisha nini.mbona yao yanatusikitisha tunayaona na kupitaKwani wametuingilia?
Wazuieni tuoneNdiyo ujue wasituingilie. So what 😦 macho kodoo
Mzungu wa kiume mnamuita beberu je mzungu wakike naye mnamuitaje
Mara nyingi napata wasiwasi sana kama kweli watanganyika walidai uhuru au ulitokea circumstantially tu.Watanzania mkiwa nafkira kwamba mapambano ya demokurasia nchini yatafanywa na nchi za Ulaya na Marikani naona kama hiyo ni dhana potofu......kabla ya uingereza kusikitika nyie mmefanya nini kupambana na hiyo hali?
Agnes Heller, Hungarian PhilosopherMadikteta wengi hujidanganya kama hivi , lakini mwisho wa siku wanaokotwa kwenye makaravati
Amini usiamini ni moja kati ya silaha mbaya inayowakata maini. Kwa mfano kesi za kushikiwa mali kule south ndege yetu iliachiwa kwa sababu ya good diplomacy na tz.Mkuu boycott haifanyi kazi Africa hawana aibu kabisa, hapo utakua ndoumemsaidia kabisa
Upinzani Wana attention kubwa zaidi kwa Sasa, usidhani hata ccm wanayofuraha kwa ushindi wao.People take those matters to court walishinda kesi ya malalamiko ina maana mahakama za nchi zinatoa haki, wakashindwa kwenye rufaa.
Kama waliamini msimamo wao ni sahihi kwanini wasingekata rufaa mpaka mahakama za juu zaidi hadi kufikia ngazi EA?
Ni hivi hawa watu ni wapenda kumbelezwa au kutafuta public and international sympathy tu; but not fighting soldiers ready to protect their rights.