Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,196
- 6,367
Bado Canada, Finland and Germany.Wataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Canada, Finland and Germany.Wataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Hangaikeni kumtoa Mugabe Mbowe kwanza ndio muanze kufikiria kuitoa ccmMadikteta wengi hujidanganya kama hivi , lakini mwisho wa siku wanaokotwa kwenye makaravati
Ni kweli hujui wao ni nani?Wao ni nani kivipi? Kila mtu na nchi yake.
Kama asilimia kubwa ya Watanzania wameridhika wao ndo waje kutudanganya tuna shida?
Wajishughulikie kwanza huko wasiwashwe na yasiyowahusu.
You are either a joker or a pathetic stupid!Wao ni nani kivipi? Kila mtu na nchi yake.
Kama asilimia kubwa ya Watanzania wameridhika wao ndo waje kutudanganya tuna shida?
Wajishughulikie kwanza huko wasiwashwe na yasiyowahusu.
Marekani alishamtolea matamko mengi sana hata Museven, nadhani sasa hivi yatakuwa yamejaa file zima, lkn Museven bado anadunda tu pale Uganda.Nchi yangu isidharau haya matamko ya hawa watu wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu 2020. Hawa watu huenda kuna kitu, wanatuandaa kisaikolojia. Siamini tu kwamba wanaongea hivyo alafu wanaishia hapo, anyway muda ni mwalimu mzuri
😂😂😂😂😂You are either a joker or a pathetic stupid!
Msimu wa mvua huuu tupo shambani. Demokrasia tumewaachia nyie wa mjini muitafute na mkiipata mtujulisheWatanzania mkiwa nafkira kwamba mapambano ya demokurasia nchini yatafanywa na nchi za Ulaya na Marikani naona kama hiyo ni dhana potofu......kabla ya uingereza kusikitika nyie mmefanya nini kupambana na hiyo hali?
Embu soma vizuri alichoandika tena huyo bibi analaumu serikari kwa kuondoa wagombea ambao wote walirudishwa.Naona hata angesema JPM ni rais wa Tz bado ungemwona muongo. Hayo aliyosema yalifanyika mchana kweupe! Uongo wake ni upi?
Hiki ki- ingilishi cha ras simba wengine kinatupa shida kuelewa. Andikeni kiswahili.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I don't give a damn about your opinion of me.
Go hang yourself.
Hahaha .....mkuu ila bila demokurasia na utawala washaria nchini hata hivyo utakavyo vuna vitakosa soko huru unaweza ukanyagnywa na usilipye.....kwa hiyo utawala bora na demokurasia nimuhimu kwa kila sekita nchiniMsimu wa mvua huuu tupo shambani. Demokrasia tumewaachia nyie wa mjini muitafute na mkiipata mtujulishe
Mkuu sote tupo hapa Tz tusijifanye hatujui kilichotokea kwenye huu uchaguzi.Embu soma vizuri alichoandika tena huyo bibi analaumu serikari kwa kuondoa wagombea ambao wote walirudishwa.
Analaumu serikari kwa maamuzi ya upinzani kujitoa, hata baada ya kubembelezwa mbele ya dunia.
Inawezekana huyu mama kachoka kuishi Tanzania anatafuta sababu za kutunga aichokoze serikari arudishwe kwao.
Maana hakuna la maana analoongea.
Kama ana ku-miss kwao atume tweet kushirika mjadala unaondelea huko chief Rabbi amemponda kiongozi wa labour kwa madai ya anti semitism politics swala ambalo limewakera Jewish community wanao support labours na jamii kwa kuingiza dini kwenye siasa.
Lakini kwa hili la uchaguzi ukisoma hayo malalamiko yake apeleke ushahidi ni kituo gani kilikuwa hakina majina ya wagon bra wa vyama vingine na kwa vipi serikari inahusika wapinzani kugoma wakati wametumia muda kweli kuwabembeleza. Sasa kama anao ushahidi mwingine alete.
balozi wa Uingeleza haitwi kienyeji enyeji kama unavyofikiri - hapo Wizara lazima itoe maelezo ya kina. ...hivi ndiyo viashiria kuelekea 2020Huyu sasa ndio wakuitwa atuelezee mgombea yupi alikuwa disqualified.
Mku mkumbushe balozi atoe tamko pia kwa figisu za rafiki yake huko Marekani maana inaonekana na huko uchaguzi una figisu figisu hadi mpaka sasa wanafikishana kujadili Kwenye Bunge na congress mchezo wa Bwana mkubwa Marekani kuwatolea nje wapinzani wake ili wakose sifa za kugombea. Hapo tutajua anayo fair play. Ukiona tangazo lake nibip.View attachment 1274916
Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza.
My take: Nchi inazidi kudhalilika kwenye jumuiya ya Kimataifa
Whatever the process huyu mama anatakiwa alete ushahidi wa hoja zake sio kuropoka ovyo.balozi wa Uingeleza haitwi kienyeji enyeji kama unavyofikiri - hapo Wizara lazima itoe maelezo ya kina. ...hivi ndiyo viashiria kuelekea 2020
Liko wazi upinzani umeanza tabia za kitoto kutaka kubembelezwa kushiriki kwenye misingi ya demokrasia.Mkuu sote tupo hapa Tz tusijifanye hatujui kilichotokea kwenye huu uchaguzi.
Wataishia kusikitika la kufanya hakuna juzi marekani leo uingereza kesho canada au pakistani
Nchi yangu isidharau haya matamko ya hawa watu wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu 2020. Hawa watu huenda kuna kitu, wanatuandaa kisaikolojia. Siamini tu kwamba wanaongea hivyo alafu wanaishia hapo, anyway muda ni mwalimu mzuri
Bado Canada, Finland and Germany.