1academ
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 2,316
- 3,567
Uingereza imekuwa ikipanua kambi zake za kejeshi nchini kwa kasi huku pia wakileta zana mpya mpya za kivita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyang'au hapo mnaona sifa, ha ha ha. RIP Dedan Kimathi.Uingereza imekuwa ikipanua kambi zake za kejeshi nchini kwa kasi huku pia wakileta zana mpya mpya za kivita. View attachment 1042744View attachment 1042745View attachment 1042746
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa mababu zao walipigana Mzungu Aende Ulaya Mwafrika Apate Uhuru (MAU MAU), wao sasa wanaona sifa Mzungu Aje Afrika, Mwafrika Awe Mtawaliwa (MAA MAM); ha ha ha kaaz kweli kweli.Na sisi tunataka kufungua kambi ya kijeshi nchini kwao vipi watakubali??
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Nadhani haya yangefanyika tz CCM ingekiona cha moto maana tz Fanya yote lakini usiuze Uhuru wetu tulioupigania.Uingereza imekuwa ikipanua kambi zake za kejeshi nchini kwa kasi huku pia wakileta zana mpya mpya za kivita. View attachment 1042744View attachment 1042745View attachment 1042746
Sent using Jamii Forums mobile app