Uingereza yazidisha kasi ya upanuzi wa kambi zake za kijeshi nchini!

Uingereza yazidisha kasi ya upanuzi wa kambi zake za kijeshi nchini!

Wabongo bana. Kambi ni ya mafunzo na mazoezi ya makurutu wa British Army(BATUK) wakishirikiana na KDF, sio kambi ya kivita. Maeneo ambayo wamekubaliwa kutia kambi ni mali ya Kenya Airforce, Nanyuki, na wanalipia! Vibali vya kufanya shughuli zote hizi wanapewa na GOK. Hivi ni vitu vya kawaida sana duniani, kutoka Ufilipino, Taiwan, S.Korea hadi Djibouti. Nyie tu ndio mnashangazwa na vitu vya kawaida kama hivi, aisee ujamaa uliwalemaza akili kweli kweli. Acheni ushamba majirani. [emoji1]
Saa kama ni kambi ya mafunzo na makuruta kwanini wasijenge kwao huko kwan wameishiwa maeneo ???? Endelen tu kuwabeba hao miungu wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tuliwakubalia China waje kujenga Naval Base hapa Bagamoyo na hakuna nchi ya kiafrika Pure ambayo inajitengenezea Silaha zake,Kwa hiyo hakuna Afrika wakenya wameshagundua hilo.
Hiyo navy base ya China ipo bagamoyo sehemu gan mkuu

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hiyo navy base ya China ipo bagamoyo sehemu gan mkuu

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Bado hawajajenga ila Bandari ya Bagamoyo sehemu iliyoplaniwa somaga posti zangu bila mihemko
Ukweli unabaki palepale Hatujiwezi kwenye kutengeza silaha labda kuziripea
Tena Silaha za Second world war.
 
Bado hawajajenga ila Bandari ya Bagamoyo sehemu iliyoplaniwa somaga posti zangu bila mihemko
Ukweli unabaki palepale Hatujiwezi kwenye kutengeza silaha labda kuziripea
Tena Silaha za Second world war.
Hiyo bandari ilishapigwa pini kitambo tu

Mbona kuna eneo wanaunda mpaka missile tz

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Shabaab mnawapa tu sababu za kusumbua Kenya.. Am sure hao wapo hapo kulinda maslahi ya watu weupe ikiwemo uvuvi wa kitemi Pwani ya Somalia..othwrwise wabantu wa Kenya mnahitaji military bases za watu weupe za nn?
Hawa jamaa mababu zao walipigana Mzungu Aende Ulaya Mwafrika Apate Uhuru (MAU MAU), wao sasa wanaona sifa Mzungu Aje Afrika, Mwafrika Awe Mtawaliwa (MAA MAM); ha ha ha kaaz kweli kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa kama ni kambi ya mafunzo na makuruta kwanini wasijenge kwao huko kwan wameishiwa maeneo ???? Endelen tu kuwabeba hao miungu wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu wa kijeshi wanasema hayo maeneo ya Nanyuki na Laikipia County kwa ujumla ni ya kipekee. Yaani yana mandhari ambayo wanajeshi wakifanyia mazoezi wanakuwa na uwezo wa ku'survive' vitani sehemu yeyote ile duniani. Equator inapita sehemu hizo upande mmoja ni Ml. Kenya, sehemu ambayo ina misitu na baridi kwa wingi. Ukisafiri kidogo upande wa pili ni jangwa na joto la kufa mtu, katikati eneo tambarare, savannah. Yote ndani ya sehemu ambayo haizidi 'circumfrence' ya kilomita zaidi ya mia mbili.
 
Kutengeneza silaha ndo lazima uwekewe kambi? Huwezi nunua silaha bila kuwekewa kambi za kijeshi?
Bado hawajajenga ila Bandari ya Bagamoyo sehemu iliyoplaniwa somaga posti zangu bila mihemko
Ukweli unabaki palepale Hatujiwezi kwenye kutengeza silaha labda kuziripea
Tena Silaha za Second world war.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eneo kama hilo lipo pia Serbia lakini wenyewe wamelitumia kwa kilimo na tafiti za kilimo cha mazao yote
Wataalamu wa kijeshi wanasema hayo maeneo ya Nanyuki na Laikipia County kwa ujumla ni ya kipekee. Yaani ni maandhari ambayo wanajeshi wakifanyia mazoezi wanakuwa na uwezo wa kupigana vitani sehemu yeyote ile duniani. Equator inapita sehemu hizo upande mmoja ni Ml. Kenya kuna sehemu ambazo ni misitu na zingine jangwa yote ndani ya sehemu ambayo haizidi kilomita mia mbili.

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hiyo nchi imeshauzwa wazawa shtukeni, China wanawadai na wanakaribia kuchukua bandari, hao wengine nao wanajimegea tu ardhi , kadri wanavyotaka.
 
Eneo kama hilo lipo pia Serbia lakini wenyewe wamelitumia kwa kilimo na tafiti za kilimo cha mazao yote

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hata huko Laikipia County pia kuna zone ya utafiti wa ukulima wa mifugo. 'Disease free zone' ambayo inatumiwa na wanasayansi kuboresha breed za mifugo sana sana ng'ombe wa nyama. Pia ecosystem ya maeneo hayo ndio ukulima wa aina zote unafanywa. Ngano kwa wingi Laikipia, chai, kahawa, maparachichi, macadamia ukielekea Nyeri County. Mirungi, mandizi, matunda, ng'ombe wa maziwa ukielekea Meru County. Mifugo, ndengu, mtama, mawele ukielekea Tharaka Nithi County. Zaidi ya hayo yote Nanyuki ndio nyumbani kwao Kenya Airforce tangu zamani, hapo ndio kitovu cha Kenya, center, iangalie vizuri ramani ya Kenya.
 
Hiyo bandari ilishapigwa pini kitambo tu

Mbona kuna eneo wanaunda mpaka missile tz

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Missile?! Myass..Huko Mzinga wanaunda risasi za Shotgun labda na tuprojectails wewe Bm missiles tu tunaagiza nje....Narudia tena Sisi waafrika Pure hatutengenezi silaha Mobutu kwa msaada wa Wafaransa alitengeza Rocket ya Kuwatisha wazairwaa ili waendelee kumuabudu.
 
Kutengeneza silaha ndo lazima uwekewe kambi? Huwezi nunua silaha bila kuwekewa kambi za kijeshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama unanunua Silaha kuna Siri hapo?! wakenya wako sahihi.
Nakuuzia Silaha halafu naleta Walimu wa Kuwafunza namna ya kuzitumia
Yasije kutokea kama yale ya South afrika ANC imewakabizi makada Mzinga Ukawalipukia na Kuwaua
 
Gsu recce squad wakifanya mazoezi na SWAT team.
8689926_2176816411136940287626946981943049705113287n_jpeg3e4ce25e9965e7fd9d9798e09a86bac5.jpeg
 
Wabongo bana. Kambi ni ya mafunzo na mazoezi ya makurutu wa British Army(BATUK) wakishirikiana na KDF, sio kambi ya kivita. Maeneo ambayo wamekubaliwa kutia kambi ni mali ya Kenya Airforce, Nanyuki, na wanalipia! Vibali vya kufanya shughuli zote hizi wanapewa na GOK sio wao ndio wanajiamulia. Hivi ni vitu vya kawaida sana duniani, kutoka Ufilipino, Taiwan, S.Korea hadi Djibouti. Nyie tu ndio mnashangazwa na vitu vya kawaida kama hivi, aisee ujamaa uliwalemaza akili kweli kweli. Acheni ushamba majirani. [emoji1][emoji1][emoji1] Sidhani duniani kuna mtu ambaye anaogopa mzungu zaidi ya mtz. Yaani mkiwaona tu wanajeshi wenye sura nyeupe zaidi ya mia hapo tayari mnaanza kulia tumevamiwaaa! [emoji23] Ndio maana baada ya lile shambulizi la kigaidi la Dusit mlifungua nyuzi zaidi ya hamsini humu mkimsifia mzungu mmoja tu! Eti ni Commando kama wa wa kwenye filamu za action. Badilikeni bana.
[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Rethink again

Sent using Jamii Forums mobile app
 
eh ktk hilo kwa kweli ndugu zetu hongereni ..ss al shabaab hawata fua dafu tena hapo bila shaka au sio wana 254 ?
 
Back
Top Bottom