Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mungu wangu. Tukisema utumwa mambo leo ndio huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fourth world country inanini ya kuficha ya maana...Tanzania ukipiga picha kama hivi unapewa kesi ya uhaini
Hawa jamaa mababu zao walipigana Mzungu Aende Ulaya Mwafrika Apate Uhuru (MAU MAU), wao sasa wanaona sifa Mzungu Aje Afrika, Mwafrika Awe Mtawaliwa (MAA MAM); ha ha ha kaaz kweli kweli.[/
WAKENYA NI WAPUMBAVU SANA, UHURU HAPO HAMNA
WAPO WEUPE SANA , NA WANATUMIKA KAMA RUBBER STUMPBora ata ya Tanzania walioshtukia na CIA kuwa wana share teknolojia ya kivita na north Korea aise kuliko huu ujinga wa kdf
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Jwtz wapo vizuri saana aise nimefatilia mazoezi yao toka 2012 yanahusu kupambana na ugaidi hasa wa mall na utekaji wa meli au ndegeWAPO WEUPE SANA , NA WANATUMIKA KAMA RUBBER STUMP