Uingereza yazidisha kasi ya upanuzi wa kambi zake za kijeshi nchini!

Uingereza yazidisha kasi ya upanuzi wa kambi zake za kijeshi nchini!

Ha ha ha ha
Akili za Wakenya hovyo sana.

Hili ni jambo la kujivunia kweli??
 
eh ktk hilo kwa kweli ndugu zetu hongereni ..ss al shabaab hawata fua dafu tena hapo bila shaka au sio wana 254 ?
It's true but the reality is different at times.
Terrorist organizations just need to get lucky once and their will make headlines.
while the security apparatus need to be on top of their game 100 percent of their time. That the sad nature assymetrical of warfare .
 
It's true but the reality is different at times.
Terrorist organizations just need to get lucky once and their will make headlines.
while the security apparatus need to be on top of their game 100 percent of their time. That the sad nature assymetrical of warfare .
okay ! good point ... that will shock them !
 
I am completely uncomfortable with these white pigs colonizing Kenya again. Hakuna kitu ya kucelebrate hapa. Hawa mashetani tuliwapiga miaka hamsini iliyopita sasa wamerudi kututawala tena halafu waafrika wajinga wanacelebrate eti mzungu amerudi na zana zake za vita. Huu ni upumbavu mkubwa.
 
I am completely uncomfortable with these white pigs colonizing Kenya again. Hakuna kitu ya kucelebrate hapa. Hawa mashetani tuliwapiga miaka hamsini iliyopita sasa wamerudi kututawala tena halafu waafrika wajinga wanacelebrate eti mzungu amerudi na zana zake za vita. Huu ni upumbavu mkubwa.
Wambie wakenya wenzako tukisema sisi tunaoneka washamba na wajamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tuliwakubalia China waje kujenga Naval Base hapa Bagamoyo na hakuna nchi ya kiafrika Pure ambayo inajitengenezea Silaha zake,Kwa hiyo hakuna Afrika wakenya wameshagundua hilo.
acha kuwadanganya wakenya wewe, nchi ilishauzwa zamani
 
Wabongo bana. Kambi ni ya mafunzo na mazoezi ya makurutu wa British Army(BATUK) wakishirikiana na KDF, sio kambi ya kivita. Maeneo ambayo wamekubaliwa kutia kambi ni mali ya Kenya Airforce, Nanyuki, na wanalipia! Vibali vya kufanya shughuli zote hizi wanapewa na GOK sio wao ndio wanajiamulia. Hivi ni vitu vya kawaida sana duniani, kutoka Ufilipino, Taiwan, S.Korea hadi Djibouti. Nyie tu ndio mnashangazwa na vitu vya kawaida kama hivi, aisee ujamaa uliwalemaza akili kweli kweli. Acheni ushamba majirani. [emoji1][emoji1][emoji1] Sidhani duniani kuna mtu ambaye anaogopa mzungu zaidi ya mtz. Yaani mkiwaona tu wanajeshi wenye sura nyeupe zaidi ya mia hapo tayari mnaanza kulia tumevamiwaaa! [emoji23] Ndio maana baada ya lile shambulizi la kigaidi la Dusit mlifungua nyuzi zaidi ya hamsini humu mkimsifia mzungu mmoja tu! Eti ni Commando kama wale wa filamu za action. Badilikeni bana.
na kama siyo yule commando wa kiingereza, kenya ingesimama zaidi ya mwezi na wangekufa maelfu ya watu.
 
Makenya majinga mweee... Mbaya zaidi hayo mazungu yanapanua kambi afu mikenya ikipigwa na al shabab hata wazungu hao na kambi zao hawawasaidii saa cjui hiyo mikambi ya kaz gani

Sent using Jamii Forums mobile app
wazungu wapo pale wakilinda masilahi yao ya kiuchumi vikiwamo, estates, mashamba, viwanda na mabiashara yao, nyangau anashangilia tu hajui anaibiwa
 
nato allies tuko vizuri mazee dah.
 
Sasa ni jambo zuri hilo kwa nchi zetu. Binafsi ningeomba fursa hiyo tungeipatw watanzania mmoja wa watemi wa dunia kuweka kambi nchini kwetu.
 
Back
Top Bottom